Pre GE2025 Stephen Wasira amrithi Kinana nafasi ya Makamu Mwenyekiti CCM Tanzania Bara

Pre GE2025 Stephen Wasira amrithi Kinana nafasi ya Makamu Mwenyekiti CCM Tanzania Bara

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Mzee wa watu anabubujikwa machozi ya furaha!..🤣
 
Wenzio ndo wanamuua kwa kumumpa kazi ngumu wewe unasema yuko vizuri, kwa age ile namuonea huruma. Hawezi kuimili mikiki mikiki ya 2025. Ni kazi ngumu kwake kwa sababu ya umri
kwa umri sawa.ila naamini kazi zao ni kutoa miongozo tu. mikíkimikiki ipo kwa katibu na mwenezi.
unafikili kama angekubali pinda au makinda wangefanya nini hapo.
 
Habari Wakuu,

Fuatilia moja kwa moja yanayojiri katika Mkutano Mkuu wa CCM Dodoma leo na kesho January 19-19, 2025.

Nani kumrithi Kinana?

Makundi mbalimbali ikiwemo vyama vya siasa ndani na nje ya nchi, wasanii, taasisi za dini, mabazi na wanamichezo ni kati ya wanaohudhuria mkutano huu wa CCM unaofanyika Dododom.
Rais Samia amefungua mkutano huo kwa kuanza na hotuba ya ufunguzi, ambapo mbali na kuongelea maendeleo ya chama kwa ufupi ametoa onyo kwa wanachama wanaeonda majimboni kwa lengo la kufanya kampeni waache kufanya hivyo mara moja.

Pia awaonya CCM kuwa na makundi wakati wa kuteua wagombea.

Rais Samia awahimiza CCM kuhimiza wananchi kujiandikisha kwenye daftari la wapiga kura na wale ambao wanahitaji kuboresha taarifa zao kufanya hivyo.

====

Naibu Katibu Mkuu CCM Zanzibar amesoma azimio la kikao cha NEC kilichofanyika 18/1/2025 Dodoma ilipokea na kujadili mapendekezo na kamati kuu ya ccm taifa kuhusu mrithi wa Kinana, baada ya kujadili mapendekezo hayo Halamshauri kuu ya CCM imemteua Steven Wassira kuwa ndiye mwanachama atakayesimama katika uchaguzi wa Makamu Mwenyekiti Tanzania Bara ili kupigiwa kura.

Historia ya Mzee Wassira, soma Ijue historia ya Mzee Stephen Wasira



Habari Wakuu,

Fuatilia moja kwa moja yanayojiri katika Mkutano Mkuu wa CCM Dodoma leo na kesho January 19-19, 2025.

Nani kumrithi Kinana?

Makundi mbalimbali ikiwemo vyama vya siasa ndani na nje ya nchi, wasanii, taasisi za dini, mabazi na wanamichezo ni kati ya wanaohudhuria mkutano huu wa CCM unaofanyika Dododom.
Rais Samia amefungua mkutano huo kwa kuanza na hotuba ya ufunguzi, ambapo mbali na kuongelea maendeleo ya chama kwa ufupi ametoa onyo kwa wanachama wanaeonda majimboni kwa lengo la kufanya kampeni waache kufanya hivyo mara moja.

Pia awaonya CCM kuwa na makundi wakati wa kuteua wagombea.

Rais Samia awahimiza CCM kuhimiza wananchi kujiandikisha kwenye daftari la wapiga kura na wale ambao wanahitaji kuboresha taarifa zao kufanya hivyo.

====

Naibu Katibu Mkuu CCM Zanzibar amesoma azimio la kikao cha NEC kilichofanyika 18/1/2025 Dodoma ilipokea na kujadili mapendekezo na kamati kuu ya ccm taifa kuhusu mrithi wa Kinana, baada ya kujadili mapendekezo hayo Halamshauri kuu ya CCM imemteua Steven Wassira kuwa ndiye mwanachama atakayesimama katika uchaguzi wa Makamu Mwenyekiti Tanzania Bara ili kupigiwa kura.

Historia ya Mzee Wassira, soma Ijue historia ya Mzee Stephen Wasira


Hizo kura wanapiga za nn wakati hamna ushindani?
 
Wadau hamjamboni nyote?
 

Attachments

  • 1737197428553.jpg
    1737197428553.jpg
    370.4 KB · Views: 1
wakiskia wivu sana na wao wamchague mpiga vizinga Mzee Azaveli Lwaitama kua makamu mwenyekiti wa Chadema Bara🐒
Huyu mzee anatakiwa kuwa kwenye jumba la makumbusho mkuu, najua unajua na unaumia ila utafanyaje kucomply na maamuzi ya wapika mchuzi kule juu, wakati unataka bakuli lako la supu nawe! Lazima ukubali tu
 
Kwa mara ya kwanza CCM imempata kada na Kiongozi wa juu ambaye nyakati fulani huko nyuma aliwahi kujiunga upinzani..!

Kimtazamo, Mama bado anahitaji kufanya kazi na wakongwe na wabobezi ili kuchota hekima, busara na uzoefu. Kule serikalini yupo na mshauri Mh. Mkuchika na sasa katika Chama atakuwa na Mh. Wassira. Hawa wote wamekuwepo serikalini na katika chama toka awamu ya kwanza.
 
Huyu mzee anatakiwa kuwa kwenye jumba la makumbusho mkuu, najua unajua na unaumia ila utafanyaje kucomply na maamuzi ya wapika mchuzi kule juu, wakati unataka bakuli lako la supu nawe! Lazima ukubali tu
uzuri wa CCM,
kadiri umri unavyosonga ndivyo mwanaCCM ndivyo anavyokua, powerful, bora sana na anakua makini zaidi,

si chadema kadiri umri unavyokwenda ndio wanakua wapiga vizinga zaidi 🐒
 
Hahaha mzee wa kutuvusha kwenda karne mpya ya science za hali juu kwa kusaidiana na kumshauri mama! Dah hivi wabongo tumemkosea nini mungu? Pamoja na maombi kila kona ya mtaa bado tu twapewa adhabu kila siku.

Hii ngoma inapaswa kuwa jumba la makumbusho eti anakuwa makamu na mshauri wa rais dah!
 
Back
Top Bottom