Pre GE2025 Stephen Wasira amrithi Kinana nafasi ya Makamu Mwenyekiti CCM Tanzania Bara

Pre GE2025 Stephen Wasira amrithi Kinana nafasi ya Makamu Mwenyekiti CCM Tanzania Bara

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
uzuri wa CCM,
kadiri umri unavyosonga ndivyo mwanaCCM ndivyo anavyokua, powerful, bora sana na anakua makini zaidi,

si chadema kadiri umri unavyokwenda ndio wanakua wapiga vizinga zaidi 🐒
Ungesemaje sasa kujustify bakuli lako la uji? Umakini wa kulala usingizi? Sasa kama alilala miaka karibu 10 iliyopita leo hii si itakuwa unamboost kbs hata kula? 😛 😛
 
Habari Wakuu,

Fuatilia moja kwa moja yanayojiri katika Mkutano Mkuu wa CCM Dodoma leo na kesho January 19-19, 2025.

Nani kumrithi Kinana?

Makundi mbalimbali ikiwemo vyama vya siasa ndani na nje ya nchi, wasanii, taasisi za dini, mabazi na wanamichezo ni kati ya wanaohudhuria mkutano huu wa CCM unaofanyika Dododom.
Rais Samia amefungua mkutano huo kwa kuanza na hotuba ya ufunguzi, ambapo mbali na kuongelea maendeleo ya chama kwa ufupi ametoa onyo kwa wanachama wanaeonda majimboni kwa lengo la kufanya kampeni waache kufanya hivyo mara moja.

Pia awaonya CCM kuwa na makundi wakati wa kuteua wagombea.

Rais Samia awahimiza CCM kuhimiza wananchi kujiandikisha kwenye daftari la wapiga kura na wale ambao wanahitaji kuboresha taarifa zao kufanya hivyo.

====

Naibu Katibu Mkuu CCM Zanzibar amesoma azimio la kikao cha NEC kilichofanyika 18/1/2025 Dodoma ilipokea na kujadili mapendekezo na kamati kuu ya ccm taifa kuhusu mrithi wa Kinana, baada ya kujadili mapendekezo hayo Halamshauri kuu ya CCM imemteua Steven Wassira kuwa ndiye mwanachama atakayesimama katika uchaguzi wa Makamu Mwenyekiti Tanzania Bara ili kupigiwa kura.

Historia ya Mzee Wassira, soma Ijue historia ya Mzee Stephen Wasira


Chukuwachakomapema hawana JIPYA!
Twajuwa WANAIBA KURA! Ila haiwezekani MDANGANYIKA akawa anadanyika miaka na miaka!
It's beyond our beliefs kabisa kabisa kabisa 😡😡😡😡😡
 
Hahaha mzee wa kutuvusha kwenda karne mpya ya science za hali juu kwa kusaidiana na kumshauri mama! Dah hivi wabongo tumemkosea nini mungu? Pamoja na maombi kila kona ya mtaa bado tu twapewa adhabu kila siku.

Hii ngoma inapaswa kuwa jumba la makumbusho eti anakuwa makamu na mshauri wa rais dah!
Hahaha, mkuu ukichunguza Kwa jicho la kiroho utagundua kuwa nchi hii Mungu ameshaikataa, na hata kelele za maombi zinazopogwa ni chukizo mbele zake.
 
Naona makamanda povu linawatoka CCM inapoenda kujipatia Makamu wake wa Mwenyekiti

Kwenye Uongozi wa kisiasa Mzee Wassira hana tofauti yoyote na Mzee Freeman Mbowe

Kunya anye kuku dadeki 😂😂
CCM wamemsaidia Mbowe pakubwa sana kwenye huu uchaguzi. Uteuzi wa Wasira unawafumba midomo waliokuwa wanasema Mbowe kakaa madarakani muda mrefu .
 
Hivi CCM haina vyama rafiki humu nchini? naona vya nje tu, FRELIMO, ANC, UMPLA, RPF, Chama cha museveni. Sijaona CHAUMA, CUF, CHADEMA wala ACT, aliyeona aseme
 
Hahaha, mkuu ukichunguza Kwa jicho la kiroho utagundua kuwa nchi hii Mungu ameshaikataa, na hata kelele za maombi zinazopogwa ni chukizo mbele zake.
Unaweza kukufuru yani kwa hali hii! Why Tz tu maboya kila level?
 
Ungesemaje sasa kujustify bakuli lako la uji? Umakini wa kulala usingizi? Sasa kama alilala miaka karibu 10 iliyopita leo hii si itakuwa unamboost kbs hata kula? 😛 😛
Gentleman,
elewa point ya msingi gentleman,
kadiri umri wa mwanaCCM unavyosonga ndivyo mwanaCCM huyo anakua powerful and strong enough to lead others, tofauti na vyama vingine 🐒
 
Gentleman,
elewa point ya msingi gentleman,
kadiri umri wa mwanaCCM unavyosonga ndivyo mwanaCCM huyo anakua powerful and strong enough to lead others, tofauti na vyama vingine 🐒
Hana uwezo huo!
 
Habari Wakuu,

Fuatilia moja kwa moja yanayojiri katika Mkutano Mkuu wa CCM Dodoma leo na kesho January 19-19, 2025.

Nani kumrithi Kinana?

Makundi mbalimbali ikiwemo vyama vya siasa ndani na nje ya nchi, wasanii, taasisi za dini, mabazi na wanamichezo ni kati ya wanaohudhuria mkutano huu wa CCM unaofanyika Dododom.
Rais Samia amefungua mkutano huo kwa kuanza na hotuba ya ufunguzi, ambapo mbali na kuongelea maendeleo ya chama kwa ufupi ametoa onyo kwa wanachama wanaeonda majimboni kwa lengo la kufanya kampeni waache kufanya hivyo mara moja.

Pia awaonya CCM kuwa na makundi wakati wa kuteua wagombea.

Rais Samia awahimiza CCM kuhimiza wananchi kujiandikisha kwenye daftari la wapiga kura na wale ambao wanahitaji kuboresha taarifa zao kufanya hivyo.

====

Naibu Katibu Mkuu CCM Zanzibar amesoma azimio la kikao cha NEC kilichofanyika 18/1/2025 Dodoma ilipokea na kujadili mapendekezo na kamati kuu ya ccm taifa kuhusu mrithi wa Kinana, baada ya kujadili mapendekezo hayo Halamshauri kuu ya CCM imemteua Steven Wassira kuwa ndiye mwanachama atakayesimama katika uchaguzi wa Makamu Mwenyekiti Tanzania Bara ili kupigiwa kura.

Historia ya Mzee Wassira, soma Ijue historia ya Mzee Stephen Wasira

 

Attachments

  • VID-20250118-WA0021.mp4
    4.4 MB
  • IMG-20250118-WA0012.jpg
    IMG-20250118-WA0012.jpg
    269.9 KB · Views: 1
Tena Wasira ana afadhali maana kapendekezwa, lkn Mbowe anang'ang'ania.
 
Kwa mara ya kwanza CCM imempata kada na Kiongozi wa juu ambaye nyakati fulani huko nyuma aliwahi kujiunga upinzani..!

Kimtazamo, Mama bado anahitaji kufanya kazi na wakongwe na wabobezi ili kuchota hekima, busara na uzoefu. Kule serikalini yupo na mshauri Mh. Mkuchika na sasa katika Chama atakuwa na Mh. Wassira. Hawa wote wamekuwepo serikalini na katika chama toka awamu ya kwanza.
Alijiunga kipindi ambacho msemo wa kukatika mkia haujaingia rasmi kule anga za mtaa wa Lumumba. Jiwe ndiye alileta huu ubaguzi wa mwanasiasa wa CCM akihamia upinzani halafu baadaye karudi CCM kuwa ni sawa na ng'ombe aliyekatwa mkia. Thamani yake inakuwa imepungua.
 
Back
Top Bottom