Pre GE2025 Stephen Wasira amrithi Kinana nafasi ya Makamu Mwenyekiti CCM Tanzania Bara

Pre GE2025 Stephen Wasira amrithi Kinana nafasi ya Makamu Mwenyekiti CCM Tanzania Bara

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Naona makamanda povu linawatoka CCM inapoenda kujipatia Makamu wake wa Mwenyekiti

Kwenye Uongozi wa kisiasa Mzee Wassira hana tofauti yoyote na Mzee Freeman Mbowe

Kunya anye kuku dadeki 😂😂
Ukilinganisha umri, Mbowe ni mdogo kwa Wassira kwa zaidi ya miaka 20.
Ajabu na tofauti ni kwamba Mbowe anaondolewa wakati Wassira anaingizwa
 
Mwenyekiti wa CCM amemtangaza Mhe. Pinda ambaye ni Waziri Mkuu mstaafu kuwa mrithi wa Kinana. Wajumbe na wanachama sambamba na wananchi wameonekana kutopokea positive pendekezo hili au wameshtuka kwa kilichotokea. Je, walimtegemea nani?

Tukumbuke cheo hiki hakuna kugombania bali linapelekwa jina moja ambalo litapata kura za ndio na hawana. Lakini pia historia inaonyesha kila pendekezo la Mwenyekiti huwa linapita kwa asilimia 90+ hivyo ni wazi Pinda ndiye makamu mwenyekiti ajaye wa CCM Bara.
Yupo?
 
Timu Kinana wako humo? Je watatoa speech?
Vipi mzee wa Bumbuli atatoa speech?
Je wajane wamealikwa?
 
Tanganyika tunaenda tunaenda mbere, halafu tunarudi kinyumenyume harafu mbere?

Alaaah! Ni Tanzania kumbe nimeandika T'nyika! 😄
 
Naona makamanda povu linawatoka CCM inapoenda kujipatia Makamu wake wa Mwenyekiti

Kwenye Uongozi wa kisiasa Mzee Wassira hana tofauti yoyote na Mzee Freeman Mbowe

Kunya anye kuku dadeki 😂😂
Mbowe akirejea chadema, ccm watakuwa na hoja nyingi ziadi za kushambulia chadema
 
Naona makamanda povu linawatoka CCM inapoenda kujipatia Makamu wake wa Mwenyekiti

Kwenye Uongozi wa kisiasa Mzee Wassira hana tofauti yoyote na Mzee Freeman Mbowe

Kunya anye kuku dadeki 😂😂
wakiskia wivu sana na wao wamchague mpiga vizinga Mzee Azaveli Lwaitama kua makamu mwenyekiti wa Chadema Bara🐒
 
Unaambiwa Mbwembwe na chereko zote zimezimika mithili ya Mshumaa Jangwani!
 
siokweli. wassira yupo vizuri sana. ndio waliku wazee muhimu sana kwenye serikali ya kikwete.kama unakumbuka kipindi cha jk alikua na uwezo wa kudili hadi na wageni wanaokuja kutoka nje jk alimuamini sana alikua akiwapokea kuishauli utawala kitugani cha kufanya dhidi mgeni huyo. hapa nazungumzia wageni muhimu kwenye nchi na sio hawa wa kawaida.
wassira ni jasiri.nafasi hiyo inamfaa hasa.

Wenzio ndo wanamuua kwa kumpa kazi ngumu wewe unasema yuko vizuri, kwa age ile namuonea huruma. Hawezi kuimili mikiki mikiki ya 2025. Ni kazi ngumu kwake kwa sababu ya umri. Ndo atajua kuna umri ukifika unapaswa kukaa na kushauri tu na siyo kufanya kazi. Angalia uso wa JK, he is melting, ndo iwe wasira.
 
Habari Wakuu,

Fuatilia moja kwa moja yanayojiri katika Mkutano Mkuu wa CCM Dodoma leo na kesho January 19-19, 2025.

Nani kumrithi Kinana?


Makundi mbalimbali ikiwemo vyama vya siasa ndani na nje ya nchi, wasanii, taasisi za dini, mabazi na wanamichezo ni kati ya wanaohudhuria mkutano huu wa CCM unaofanyika Dododom.
Rais Samia amefungua mkutano huo kwa kuanza na hotuba ya ufunguzi, ambapo mbali na kuongelea maendeleo ya chama kwa ufupi ametoa onyo kwa wanachama wanaeonda majimboni kwa lengo la kufanya kampeni waache kufanya hivyo mara moja.

Pia awaonya CCM kuwa na makundi wakati wa kuteua wagombea.

Rais Samia awahimiza CCM kuhimiza wananchi kujiandikisha kwenye daftari la wapiga kura na wale ambao wanahitaji kuboresha taarifa zao kufanya hivyo.

====

Naibu Katibu Mkuu CCM Zanzibar amesoma azimio la kikao cha NEC kilichofanyika 18/1/2025 Dodoma ilipokea na kujadili mapendekezo na kamati kuu ya ccm taifa kuhusu mrithi wa Kinana, baada ya kujadili mapendekezo hayo Halamshauri kuu ya CCM imemteua Steven Wassira kuwa ndiye mwanachama atakayesimama katika uchaguzi wa Makamu Mwenyekiti Tanzania Bara ili kupigiwa kura.


1736700772892_1.jpg
 
Back
Top Bottom