Pre GE2025 Stephen Wasira amrithi Kinana nafasi ya Makamu Mwenyekiti CCM Tanzania Bara

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Huwa mnajisikiaje kujivunjia heshima
 
Hivi vijana hamna hadi wanateuliwa wazee wasiojiweza
Wewe ni mjinga na huijui CCM, usidhani CCM ni kama CHADEMA!
Nyie ndo mnafikiri Makonda anaweza kuwa Makamu Mwenyekiti!! Tambua kuwa Makamu Mwenyekiti wa CCM ni kama ndiye Mwenyekiti wa vikao vingi vya CCM kwani Mwenyekiti/Rais ana majukumu mengi sana!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…