Kennedy
JF-Expert Member
- Dec 28, 2011
- 54,894
- 64,043
Build Better TomorrowVijana tujiajiri au sio.....
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Build Better TomorrowVijana tujiajiri au sio.....
😂😂😂Huyu Mzee, ni Babu yangu kabisa.. Ila bado anaendelea kula mema ya nchi.
Hongera kwake
Huyo mzee ndio dawa, wengine wana chapa ya makundi.Yani wamekosa kijana au mtu mzima, wanamtaka jizee hivyo 😂
Kijana Steven Wassira amebugia keki za vizazi vinne na anaanza na kizazi cha tano.Ulaji wake hajawahi kusikia kukinaiwa na keki kabisa wala kuchoka.Ndo huyu makongoro alimwongelea sana au!!
Labda tukabe na kuiba tu. I'm Maana hata upinzani mzee Mbowe hataki kutoka.Vijana tujiajiri au sio.....
Kwahiyo mambo yanaenda kuwa fire 😂Hili jibaba lissu analijua ubabe wake, mziki utakuwa mnene kama lissu naye atakuwa mwenyekiti wa chadema
Freeman Aikaeli Maridhiano MboweLabda tukabe na kuiba tu. I'm Maana hata upinzani mzee Mbowe hataki kutoka.
anakula kama atakiKijana Steven Wassira amebugia keki za vizazi vinne na anaanza na kizazi cha tano.Ulaji wake hajawahi kusikia kukinaiwa na keki kabisa wala kuchoka.
Safi sio kama wale wengine walikuwa na mipango Yao ya SiriChama Cha Mapinduzi kimempendekeza Ndugu Stephen Masatu Wassira kuwa Makamu Mwenyekiti wa CCM Bara.
Mwenyekiti wa CCM na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan amewasilisha jina la mwanasiasa mkongwe nchini
Stephen Wassira kwa wajumbe wa mkutano mkuu maalum wa CCM wa Taifa unaofanyika Jijini Dodoma, kwa ajili ya kupigiwa kura kuwa Makamu Mwenyemiti wa CCM Bara.
Wasira aliyezaliwa Julai Mosi, 1945 wilayani Bunda Mkoa wa Mara, kwa zaidi ya nusu karne amejijengea heshima kutokana na mchango wake mkubwa katika siasa, uchumi na maendeleo ya jamii.
Wasira ni miongoni mwa wana CCM waliowahi kutangaza nia ya kuwania urais katika uchaguzi mkuu wa mwaka 2015.
Ni mmoja wa viongozi wakongwe wenye ushawishi mkubwa ndani ya CCM, ambapo tangu mwaka 2007 amekuwa mjumbe wa Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) na Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM tangu mwaka 2011.
Rekodi yake ya uongozi na uchapakazi wake, imemuweka kuwa katika nafasi nzuri ya kuonekana kama nguzo muhimu ndani ya CCM.
View attachment 3205242
Akina mwashambwa ndo wajifunze sasa*Nimelia sana kwa uteuzi huu.
*Ninawaonea huruma vijana wa ccm.
*Ninaona gen Z wa nchi hii ajira yao kuu ni bodaboda.
TeenaaaaNi muda wa Wassira kula cake ya taifa