Pre GE2025 Stephen Wasira amrithi Kinana nafasi ya Makamu Mwenyekiti CCM Tanzania Bara

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Kumbe ilikua awe yeye!
Ndio maana amesimamishwa aweke sawa, hata sauti yake inaonyesha hana furaha sana na uteuzi huu.
 
Pinda ni mtu wa katavi vijijini. Tangu ameingia madarakani hakufanya maendeleo yoyote. Jamii yao ni watu wasiopenda maendeleo hata kijiji anachotoka watu wanaomiliki biashara kilimo na ufugaji sio wazawa. Miundo mbinu ni mibovu lakini hakuna anaejali. Inasemekana ni jamii ya wale wazee wa sumbawanga wanaoogopwa. Kupewa umakamu mwenyekiti kunaweza kuwa ni sababu ya kulinda kiti cha mwenyekiti kama kuna watu wanakiwania akiwepo pinda hawatoboi.
 
kwa nafasi za kuteuliwa tena zisizo hitaji utaalamu vijana kutoboa ni ngumu

kdg zile za kuhitaji utaalamu wanaweza tokeza kichwa ila hizi za kusifu na kuabudu wanapena wenyewe
 
Stephen Wassira Vs Tundu Lissu, ngoma inogile, ni vibe, amshaamsha za kisiasa mwanzo mwisho. kabla ya uchaguzi mkuu waandaliwe kipindi studioni ijulikane nanh gwiji wa siasa nchini
 
Duuuu kuna shida mahali aseee Wasira? Wanataka afie kwenye kwenye chama? Daaaa
 
Safi sio kama wale wengine walikuwa na mipango Yao ya Siri
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…