Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ukichungulia vizuri kuna wipes na huggies pia.Kwenye picha ya kwanza kuna wheelchair ya nini?
Yaani anatumia ndege ya biashara kwenda kusalimiana na magarasa wenzake.Ndugu zangu Watanzania,
Chuma cha Reli, Mwamba Mwenyewe ,Nguli wa Siasa na Jabali la siasa Stephen Wasira Makamu Mwenyeki wa CCM Taifa Ametua kibabe kwelikweli katika uwanja wa ndege wa Songwe na kwa ajili ya kuanza ziara katika mkoa wa Songwe.Ambako anatarajiwa kuwasha Moto 🔥 mkali kwelikweli kwa siku tatu mfululizo bila kupumzika.
Kabla ya kuweka miguu yake chini alipokelewa na kulakiwa na viongozi mbalimbali ngazi ya mkoa wakiwemo Mkuu wa Mkoa wa songwe Mheshimiwa sana Daniel Chongolo , Mwenyekiti wa CCM mkoa wa Songwe Ndugu Radwell Mwampashe na viongozi wengine wengi sana wakiwepo wabunge mbalimbali wa Mkoa wa Songwe.
Akiwa mwenye tabasamu ,furaha na bashasha,nguvu ,stamina Mheshimiwa Wasira akisalimiana na viongozi hao kikakamavu kabisa kama komandoo aliyetoka Kumaliza mafunzo yake na kufaulu vyema kabisa.
Tayari wananchi wa mkoa wa songwe wanashauku kubwa sana ya kumsikiliza na kumpokea Makamu wetu wa CCM Taifa. Hii ni kutokana na kutambua uchapakazi wake,uhodari wake na uzalendo wake uliotukuka katika utumishi wa umma na namna alivyojitoa na kujitolea Maisha yake kwa ajili ya chama na Taifa letu.View attachment 3269466View attachment 3269467View attachment 3269468View attachment 3269469View attachment 3269471
Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
😄 🤣 😂Wameambiwa Wasipeane Mikono Kuna M~Pox
Ila Wagumu Bado Wanagawa Mikono
Angalie asije akarudi kama.mzigo..hamna kitu mleNdugu zangu Watanzania,
Chuma cha Reli, Mwamba Mwenyewe ,Nguli wa Siasa na Jabali la siasa Stephen Wasira Makamu Mwenyeki wa CCM Taifa Ametua kibabe kwelikweli katika uwanja wa ndege wa Songwe na kwa ajili ya kuanza ziara katika mkoa wa Songwe.Ambako anatarajiwa kuwasha Moto 🔥 mkali kwelikweli kwa siku tatu mfululizo bila kupumzika.
Kabla ya kuweka miguu yake chini alipokelewa na kulakiwa na viongozi mbalimbali ngazi ya mkoa wakiwemo Mkuu wa Mkoa wa songwe Mheshimiwa sana Daniel Chongolo , Mwenyekiti wa CCM mkoa wa Songwe Ndugu Radwell Mwampashe na viongozi wengine wengi sana wakiwepo wabunge mbalimbali wa Mkoa wa Songwe.
Akiwa mwenye tabasamu ,furaha na bashasha,nguvu ,stamina Mheshimiwa Wasira akisalimiana na viongozi hao kikakamavu kabisa kama komandoo aliyetoka Kumaliza mafunzo yake na kufaulu vyema kabisa.
Tayari wananchi wa mkoa wa songwe wanashauku kubwa sana ya kumsikiliza na kumpokea Makamu wetu wa CCM Taifa. Hii ni kutokana na kutambua uchapakazi wake,uhodari wake na uzalendo wake uliotukuka katika utumishi wa umma na namna alivyojitoa na kujitolea Maisha yake kwa ajili ya chama na Taifa letu.View attachment 3269466View attachment 3269467View attachment 3269468View attachment 3269469View attachment 3269471
Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Kwa akili yake roporopo anaweza akajibu kwamba, mbona nata papa Francis sometimes anahutubia akiwa kwenye wheelchair?Kwenye picha ya kwanza kuna wheelchair ya nini?
Utaletewa wewe.Angepelekewa machela
Utakufa wewe na kumuacha Chuma akiendelea kupiga kaziMtamuuwa huyu Mzee.....baridi ya mbeya ataiweza? Muda wote anashinda juani ataweza?
Utakufa wewe.Mjazeni ujinga tu.
Mtamuua kikongwe wa watu.
Mungu ndiye Mlinzi wetu.Wameambiwa Wasipeane Mikono Kuna M~Pox
Ila Wagumu Bado Wanagawa Mikono
Acha ujinga wako hapa ewe uliye laaniwa.Uzee nao unaita ubabe mi nilijua jeneza limepokelewa kibabe maana hata mizinga ya maraisi wote ilibidi apigiwe
Umelaaniwa wewe na roho yako ya kishetaniMarehemu stieven wasira....
Nimeshampokea tayari au unataka uzungumze naye hapa kwa simuVipi wewe haukwenda kumpokea mkuu?
Hicho ni chuma kipo imara muda wote.Asisinzie sasa kwenye mikutano 😹