Pre GE2025 Stephen Wasira atua kibabe na Ndege ya kibabe Mkoani Songwe. Kuwasha moto kwa siku tatu mfululizo bila kupumzika

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Yaani anatumia ndege ya biashara kwenda kusalimiana na magarasa wenzake.
 
Wameambiwa Wasipeane Mikono Kuna M~Pox
Ila Wagumu
Bado Wanagawa Mikono
😄 🤣 😂
Mwaka wa 5 huu sijatoa mkono
Yaani sipendi kutoa mkono halafu Covid ikaja ndio ikawa sababu
Nimeendeleza mpaka leo
Jitu linapenga linakupa mkono
 
Angalie asije akarudi kama.mzigo..hamna kitu mle
 
Wakati Wasira anahama CCM kwenda NCCR na kumshinda Warioba Ubunge wa Bunda, Mama yao alikuwa bado hajadinywa na Baba yako akapata mimba ukazaliwa ?
 
Hiyo wheelchair imewekwa tayari kumsaidia miguu ikiishiwa nguvu ? 😳
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…