Pre GE2025 Stephen Wasira atua kibabe na Ndege ya kibabe Mkoani Songwe. Kuwasha moto kwa siku tatu mfululizo bila kupumzika

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Mwaaashambwa hapo ni yupi?
 
Utakufa tu ili ukachomwe moto haraka .
 
The Beautyful Ones Are Not Yet Born
The Beautyful Ones Are Not Yet Born
 
Kwenye picha ya kwanza kuna wheelchair ya nini?
Mama muhula wake wa kwanza unaanza 2025 .
Muhula wake unaanzia pale anapopewa ridhaa ya kwa kura kwa kipindi cha miaka mitano mitano .

Kwa hiyo mama anaweza kugombea tena mwaka 2030 kwa Mujibu wa katiba.
Japo hatoshi kuwadhibiti mafisadi ,wahuni na matapeli mpaka wake wanaotaka kununua umeme kutoka Ethiopia waka umeme kutoka Rufiji inatafuta soko nje ya nchi .Yaani mafisadi wamemzidi kwa mbali sana .
Sijui angeweza kuongoza nchi kwa mwezi mzima bila Mawaziri kama alivyokua amefanya chuma JPM na nchi inaonyesha uelekeo ndani ya miezi miwili tangu kuapishwa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…