Lord denning
JF-Expert Member
- Jun 3, 2015
- 15,819
- 33,255
Duh! Hata huyu sasa ni mtu wa kusema na kusikilizwa! Anaisemea nchi, nasi tunafurahia.
Sasa hivi sitakufa kwa stress maaana mama kashasema hataki kodi zenye dhuluma.
Kwanini unasema hivyo.nani aliwahi kupendwa kama Rais maguguli
Bora nisife kwa corona kama babakoutakufa kwa ulevi.
Mpaka umri wangu huu nilikuwa sijawahi kuona mtu akifa watu wanafanya sherehe mpaka alivyokufa jiwe... shangwe kila kona!🎂🍾🥤🎺🎻🪕🔥🔥
Bora nisife kwa corona kama babako
Ilinishangaza sana ,kuna mtu alinipigia simu akawa anafurahi yupo bwiiiiiii anashangilia MEKO kafa Daaah ila ni Mnyonge tu Mkulima wa mboga mboga.
Mimi sipo hapa kuwatukana viongozinishakuwa sukuma tena!!!
nawewe ni gang ya tezi dume??maana hao ndio maadui wakubwa wa mzee meko AKA mkata malinda.
Hoja yako hapa ninini?Sbb fisadi number moja ni jiwe labda wafuasi wake waliobaki ndio unaowazungumzia kufurahi, alibadilisha kila mahali vitengo vyote vya pesa aliweka SUKUMA GANGMimi sijafurahi, walio furahi ni wale wavivu, 10 percent, fisadi, vigogo na wala rushwa na wachumia tumbo
Mimi sipo hapa kuwatukana viongozi
Hoja yako hapa ninini?Sbb fisadi number moja ni jiwe labda wafuasi wake waliobaki ndio unaowazungumzia kufurahi, alibadilisha kila mahali vitengo vyote vya pesa aliweka SUKUMA GANG
Hoja yako hapa ninini?Sbb fisadi number moja ni jiwe labda wafuasi wake waliobaki ndio unaowazungumzia kufurahi, alibadilisha kila mahali vitengo vyote vya pesa aliweka SUKUMA GANG
Endelea kuabudu mzimu wenu,pumbafu wwmaneno yako dhidi ya jiwe ni kama kishindo cha nzi kwenye mwili wa tembo.
bure kabisa.
This is insane kabisa, yani kila mtu aweke akili yake likizo aishi kwa akili ya raisiKatiba yetu imejenga taifa la wanafiki. Rais anateua na kufukuza zaidi ya wstumishi 90% wa serikali.
Hivyo kila mmoja kwenye taifa la watu 60M ajipendekeze kwa Rais apate uteuzi, na akiyepata teuzi anagonga pambio zito asifukuzwe, aendelee kuwepo.
Naona corona ishakuingia kwenye ubongo bado tu kutangaziwa msibahujui hata tusi ni kitu gani.
Nawe nenda ukalinde kaburi au ulibomoe utumbukie humo ili uishi na jiwe wakoKabomoe fly over kisha unywe sumu
Kamfufue basi ili uendelee kuiba rasilimali za taifamaneno yako dhidi ya jiwe ni kama kishindo cha nzi kwenye mwili wa tembo.
bure kabisa.