Stereotype kuhusu Zoezi la ujazwaji maji Bwawa La Nyerere (JNHPP)

Stereotype kuhusu Zoezi la ujazwaji maji Bwawa La Nyerere (JNHPP)

ubarinolutu

JF-Expert Member
Joined
Oct 22, 2012
Posts
2,424
Reaction score
4,954
Mods Msitoe huu Uzi.

Serikali Juzi imefanya sherehe ya kurudisha mtiririko wa asili wa Mto Rufiji Kwa Kufunga geti la kupitisha maji katika diversion tunnel( njia ya mchepuko), sherehe zilizohudhuriwa na Rais wa Tanzania na zilizotumia gharama nyingi.
Ukweli uliopo Serikali haikuzindua kuanza kujazwa maji katika bwawa Bali ulikuwa uzinduzi wa kurudisha mto katika njia yake ya asili.
Ili Maji yaweze kujazwa katika bwawa Ujenzi wa jumba ya mitambo power house unapaswa kukamilika Kwa asilimia 100%, lakini Ujenzi wa sehemu ya mitambo upo asilimia 60, na maji hayataweza kujaa kwani Bado upande wa bwawa yanapokaa maji Bado Kuna watu wanafanya kazi, hivyo maji hayajazwi Bali yanapita Moja Kwa moja na kupitia matundu yaliyopo katikati mwa ukuta.

Hivyo kilichofanyika juzi ilikuwa ni Dan............ya Toto, Ili Maji yaweze kuanza kujazwa inabidi, saddle dam zikamilike, na pia njia za kupeleka maji katika mitambo zikamilike. Japo Bado ni hatua nzuri na ya kupongezwa ila Kuna upotoshwaji mkubwa umefanyika kisiasa Tena Kwa kutumia pesa nyingi Ili wananchi waone juhudi za kupambana na mgao
 
Mods Msitoe huu Uzi.

Serikali Juzi imefanya sherehe ya kurudisha mtiririko wa asili wa Mto Rufiji Kwa Kufunga geti la kupitisha maji katika diversion tunnel( njia ya mchepuko), sherehe zilizohudhuriwa na Rais wa Tanzania na zilizotumia gharama nyingi.
Ukweli uliopo Serikali haikuzindua kuanza kujazwa maji katika bwawa Bali ulikuwa uzinduzi wa kurudisha mto katika njia yake ya asili.
Ili Maji yaweze kujazwa katika bwawa Ujenzi wa jumba ya mitambo power house unapaswa kukamilika Kwa asilimia 100%, lakini Ujenzi wa sehemu ya mitambo upo asilimia 60, na maji hayataweza kujaa kwani Bado upande wa bwawa yanapokaa maji Bado Kuna watu wanafanya kazi, hivyo maji hayajazwi Bali yanapita Moja Kwa moja na kupitia matundu yaliyopo katikati mwa ukuta.

Hivyo kilichofanyika juzi ilikuwa ni Dan............ya Toto, Ili Maji yaweze kuanza kujazwa inabidi, saddle dam zikamilike, na pia njia za kupeleka maji katika mitambo zikamilike. Japo Bado ni hatua nzuri na ya kupongezwa ila Kuna upotoshwaji mkubwa umefanyika kisiasa Tena Kwa kutumia pesa nyingi Ili wananchi waone juhudi za kupambana na mgao
Mbona poa tu, vyovyote ni sawa tu, tulidanganywa tukipata uhuru tutaishi kwa raha badala yake tunaishi kwa kufikiria ushindi wa uchaguzi ujao.
 
Mods Msitoe huu Uzi.

Serikali Juzi imefanya sherehe ya kurudisha mtiririko wa asili wa Mto Rufiji Kwa Kufunga geti la kupitisha maji katika diversion tunnel( njia ya mchepuko), sherehe zilizohudhuriwa na Rais wa Tanzania na zilizotumia gharama nyingi.
Ukweli uliopo Serikali haikuzindua kuanza kujazwa maji katika bwawa Bali ulikuwa uzinduzi wa kurudisha mto katika njia yake ya asili.
Ili Maji yaweze kujazwa katika bwawa Ujenzi wa jumba ya mitambo power house unapaswa kukamilika Kwa asilimia 100%, lakini Ujenzi wa sehemu ya mitambo upo asilimia 60, na maji hayataweza kujaa kwani Bado upande wa bwawa yanapokaa maji Bado Kuna watu wanafanya kazi, hivyo maji hayajazwi Bali yanapita Moja Kwa moja na kupitia matundu yaliyopo katikati mwa ukuta.

Hivyo kilichofanyika juzi ilikuwa ni Dan............ya Toto, Ili Maji yaweze kuanza kujazwa inabidi, saddle dam zikamilike, na pia njia za kupeleka maji katika mitambo zikamilike. Japo Bado ni hatua nzuri na ya kupongezwa ila Kuna upotoshwaji mkubwa umefanyika kisiasa Tena Kwa kutumia pesa nyingi Ili wananchi waone juhudi za kupambana na mgao
Thanks for truth
 
Daah! Hii nchi kuzeeka bila vidonda vya tumbo ama utaahira ni ngumu Sana. CCM hawa! Basi tu!

Kumbe ilikuwa fix! Na mm nilijiuliza kwamba kama unajaza maji kwenye bwawa iweje liendelee kujengwa ???
 
Daah! Hii nchi kuzeeka bila vidonda vya tumbo ama utashira ni ngumu Sana. CCM hawa! Basi tu!

Kumbe ilikuwa fix! Na mm nilijiuliza kwamba kama unajaza maji kwenye bwawa iweje liendelee kujengwa ???
Pia nilihoji CRANE la mchongo aloahidi litaletwa yule muhuni halijaja, utawezaje kujaza maji KAZI Bado kukamilika😠😠
 
Mimi mwenyewe nilishangaa pale niliposikia wakisema lile eneo baada ya muda, halitaonekana milele!!

Sasa nikajiuliza, mpaka hilo eneo lije kufunikwa kabisa; si ni mchakato wa mwaka, au miaka kadhaa!
 
Mods Msitoe huu Uzi.

Serikali Juzi imefanya sherehe ya kurudisha mtiririko wa asili wa Mto Rufiji Kwa Kufunga geti la kupitisha maji katika diversion tunnel( njia ya mchepuko), sherehe zilizohudhuriwa na Rais wa Tanzania na zilizotumia gharama nyingi.
Ukweli uliopo Serikali haikuzindua kuanza kujazwa maji katika bwawa Bali ulikuwa uzinduzi wa kurudisha mto katika njia yake ya asili.
Ili Maji yaweze kujazwa katika bwawa Ujenzi wa jumba ya mitambo power house unapaswa kukamilika Kwa asilimia 100%, lakini Ujenzi wa sehemu ya mitambo upo asilimia 60, na maji hayataweza kujaa kwani Bado upande wa bwawa yanapokaa maji Bado Kuna watu wanafanya kazi, hivyo maji hayajazwi Bali yanapita Moja Kwa moja na kupitia matundu yaliyopo katikati mwa ukuta.

Hivyo kilichofanyika juzi ilikuwa ni Dan............ya Toto, Ili Maji yaweze kuanza kujazwa inabidi, saddle dam zikamilike, na pia njia za kupeleka maji katika mitambo zikamilike. Japo Bado ni hatua nzuri na ya kupongezwa ila Kuna upotoshwaji mkubwa umefanyika kisiasa Tena Kwa kutumia pesa nyingi Ili wananchi waone juhudi za kupambana na mgao
Ngoja tuone hoja za Chadema za Danganya Toto
i) Serikali kununua ndege - Chadema: Hiyo ni danganya toto. Matokeo- Ndege zilinunuliwa!
ii) Serikali kujenga SGR - Chadema: Hiyo ni danganya toto. Matokeo- SGR inajengwa njia nzima kuja Mwanza na sasa hoja ni mabehewa na sio SGR!!
iii) Serikali kuwafurumusha ACACIA - Chadema: Serikali haiwezi kuwavurumusha ACACIA tutashtakiwa MIGA. Matokeo - Leo hii hakuna cha ACACIA wala cha kushtakiwa MIGA!!

Niendeleee?
 
Ngoja tuone hoja za Chadema za Danganya Toto
i) Serikali kununua ndege - Chadema: Hiyo ni danganya toto. Matokeo- Ndege zilinunuliwa!
ii) Serikali kujenga SGR - Chadema: Hiyo ni danganya toto. Matokeo- SGR inajengwa njia nzima kuja Mwanza na sasa hoja ni mabehewa na sio SGR!!
iii) Serikali kuwafurumusha ACACIA - Chadema: Serikali haiwezi kuwavurumusha ACACIA tutashtakiwa MIGA. Matokeo - Leo hii hakuna cha ACACIA wala cha kushtakiwa MIGA!!

Niendeleee?
Kuna Inshu yoyote ya chadema, chadema haihusiki hapa, Wala mtoa maoni c mfuasi wa chama chochote
 
Mods Msitoe huu Uzi.

Serikali Juzi imefanya sherehe ya kurudisha mtiririko wa asili wa Mto Rufiji Kwa Kufunga geti la kupitisha maji katika diversion tunnel( njia ya mchepuko), sherehe zilizohudhuriwa na Rais wa Tanzania na zilizotumia gharama nyingi.
Ukweli uliopo Serikali haikuzindua kuanza kujazwa maji katika bwawa Bali ulikuwa uzinduzi wa kurudisha mto katika njia yake ya asili.
Ili Maji yaweze kujazwa katika bwawa Ujenzi wa jumba ya mitambo power house unapaswa kukamilika Kwa asilimia 100%, lakini Ujenzi wa sehemu ya mitambo upo asilimia 60, na maji hayataweza kujaa kwani Bado upande wa bwawa yanapokaa maji Bado Kuna watu wanafanya kazi, hivyo maji hayajazwi Bali yanapita Moja Kwa moja na kupitia matundu yaliyopo katikati mwa ukuta.

Hivyo kilichofanyika juzi ilikuwa ni Dan............ya Toto, Ili Maji yaweze kuanza kujazwa inabidi, saddle dam zikamilike, na pia njia za kupeleka maji katika mitambo zikamilike. Japo Bado ni hatua nzuri na ya kupongezwa ila Kuna upotoshwaji mkubwa umefanyika kisiasa Tena Kwa kutumia pesa nyingi Ili wananchi waone juhudi za kupambana na mgao

Hata mimi kitendo cha kusema kuwa hilo bwawa litajaa maji baada ya misimu miwili limenipa mashaka sana. Kwani hao wanaotumbia hivyo wao wanajua kiwango cha mvua kitakachonyesha msimu ujao, au hata mvua ikinyesha msimu ujao bado kuna maji yataendelea kuachiwa, kisha msimu wa pili ndio yaruhusiwe kujaa kabisa?
 
Of course huwezi kujaza bwawa la square kilometer zote zile kwa mwezi mmoja au miwili

Umejuaje mkuu kwa hizi mvua ambazo hakuna anayejua zinaweza kunyesha kwa kiwango gani? Ingekuwa kuna uhakika mvua itanyesha lita ngapi hapo sawa. Lakini hizi mvua zinazoweza kuonyesha hata masaa 10 mfululizo, au zaidi ya mwezi unabashiri vipi?
 
Mods Msitoe huu Uzi.

Serikali Juzi imefanya sherehe ya kurudisha mtiririko wa asili wa Mto Rufiji Kwa Kufunga geti la kupitisha maji katika diversion tunnel( njia ya mchepuko), sherehe zilizohudhuriwa na Rais wa Tanzania na zilizotumia gharama nyingi.
Ukweli uliopo Serikali haikuzindua kuanza kujazwa maji katika bwawa Bali ulikuwa uzinduzi wa kurudisha mto katika njia yake ya asili.
Ili Maji yaweze kujazwa katika bwawa Ujenzi wa jumba ya mitambo power house unapaswa kukamilika Kwa asilimia 100%, lakini Ujenzi wa sehemu ya mitambo upo asilimia 60, na maji hayataweza kujaa kwani Bado upande wa bwawa yanapokaa maji Bado Kuna watu wanafanya kazi, hivyo maji hayajazwi Bali yanapita Moja Kwa moja na kupitia matundu yaliyopo katikati mwa ukuta.

Hivyo kilichofanyika juzi ilikuwa ni Dan............ya Toto, Ili Maji yaweze kuanza kujazwa inabidi, saddle dam zikamilike, na pia njia za kupeleka maji katika mitambo zikamilike. Japo Bado ni hatua nzuri na ya kupongezwa ila Kuna upotoshwaji mkubwa umefanyika kisiasa Tena Kwa kutumia pesa nyingi Ili wananchi waone juhudi za kupambana na mgao
Tatizo kubwa viongozi na Serikali yangu sio yenye kusema ukweli!
Ni jambo la kushangaza na hata waandishi wa habari taarifa wanazozitoa kwenye magazeti na vyombo habari ni ukakasi mtupu.
Waliandika Rais afungue ujazaji maji, wakati huku Nyuma kulikuwa na msemaji ujenzi imekamilika asilimia 70 Sasa tueleweje!?
Chawa wakiwa kazini ni shida misifa tuu.
 
Tatizo kubwa viongozi na Serikali yangu sio yenye kusema ukweli!
Ni jambo la kushangaza na hata waandishi wa habari taarifa wanazozitoa kwenye magazeti na vyombo habari ni ukakasi mtupu.
Waliandika Rais afungue ujazaji maji, wakati huku Nyuma kulikuwa na msemaji ujenzi imekamilika asilimia 70 Sasa tueleweje!?
Chawa wakiwa kazini ni shida misifa tuu.
Sarakasi
 
Pia ni lazima lijae mpaka litapike ndio uzalishaji uanze? Mahali nimechoka ni pale mkurugenzi wa TANESCO aliposema hata hilo bwawa likianza, bado tuendelee kutegemea mgao wa umeme!
Sidhani lakini lina mita zake za ujazo ambazo ni minimum
 
Umejuaje mkuu kwa hizi mvua ambazo hakuna anayejua zinaweza kunyesha kwa kiwango gani? Ingekuwa kuna uhakika mvua itanyesha lita ngapi hapo sawa. Lakini hizi mvua zinazoweza kuonyesha hata masaa 10 mfululizo, au zaidi ya mwezi unabashiri vipi?
Labda kuwe na mafuriko ya Nabii Nuhu lakini kwa mvua hizi haziwezi kujaza bwawa kwa mwezi mmoja au miwili.

Unajua kuna hydrological studies zimefanyika na rainfall patterns zinaeleweka kutokana na vipimo vya muda mrefu na ndiyo vinavotumika kutabiri muda wa kujaza hilo bwawa.
 
Back
Top Bottom