Stereotype kuhusu Zoezi la ujazwaji maji Bwawa La Nyerere (JNHPP)

Stereotype kuhusu Zoezi la ujazwaji maji Bwawa La Nyerere (JNHPP)

Nilijua ni kazi ya crane ya tani 30k au bado mnabisha?
 
Mama aloenda kuzindua mradi wa maji kigamboni wakati kule ndio kwanza watu wanachimba mitaro ya kupitishia mabomba kazi ambayo kwa siku anazuia haikuwa hata 30%, sijui saa hizi watakiwa wamefikia wapi.
 
Mods Msitoe huu Uzi.

Serikali Juzi imefanya sherehe ya kurudisha mtiririko wa asili wa Mto Rufiji Kwa Kufunga geti la kupitisha maji katika diversion tunnel( njia ya mchepuko), sherehe zilizohudhuriwa na Rais wa Tanzania na zilizotumia gharama nyingi.
Ukweli uliopo Serikali haikuzindua kuanza kujazwa maji katika bwawa Bali ulikuwa uzinduzi wa kurudisha mto katika njia yake ya asili.
Ili Maji yaweze kujazwa katika bwawa Ujenzi wa jumba ya mitambo power house unapaswa kukamilika Kwa asilimia 100%, lakini Ujenzi wa sehemu ya mitambo upo asilimia 60, na maji hayataweza kujaa kwani Bado upande wa bwawa yanapokaa maji Bado Kuna watu wanafanya kazi, hivyo maji hayajazwi Bali yanapita Moja Kwa moja na kupitia matundu yaliyopo katikati mwa ukuta.

Hivyo kilichofanyika juzi ilikuwa ni Dan............ya Toto, Ili Maji yaweze kuanza kujazwa inabidi, saddle dam zikamilike, na pia njia za kupeleka maji katika mitambo zikamilike. Japo Bado ni hatua nzuri na ya kupongezwa ila Kuna upotoshwaji mkubwa umefanyika kisiasa Tena Kwa kutumia pesa nyingi Ili wananchi waone juhudi za kupambana na mgao

Serikali mambo mengi wanayofanya ni maigizo tu.
 
Labda kuwe na mafuriko ya Nabii Nuhu lakini kwa mvua hizi haziwezi kujaza bwawa kwa mwezi mmoja au miwili.

Unajua kuna hydrological studies zimefanyika na rainfall patterns zinaeleweka kutokana na vipimo vya muda mrefu na ndiyo vinavotumika kutabiri muda wa kujaza hilo bwawa.

Uko sahihi, lakini kwenye suala la vipimo sidhani kama tuko vizuri, maana kila mara mamlaka ya hali ya hewa huwa wanatangaza utabiri ambao huenda kinyume kabisa. Haya mabadiliko ya tabia nchi chochote chaweza kutokea. Hata hivyo sipingi moja kwa moja huo utafiti wa Kiwango cha mvua, japo sio lazima iwe kama wanavyotabiri.
 
Mods Msitoe huu Uzi.

Serikali Juzi imefanya sherehe ya kurudisha mtiririko wa asili wa Mto Rufiji Kwa Kufunga geti la kupitisha maji katika diversion tunnel( njia ya mchepuko), sherehe zilizohudhuriwa na Rais wa Tanzania na zilizotumia gharama nyingi.
Ukweli uliopo Serikali haikuzindua kuanza kujazwa maji katika bwawa Bali ulikuwa uzinduzi wa kurudisha mto katika njia yake ya asili.
Ili Maji yaweze kujazwa katika bwawa Ujenzi wa jumba ya mitambo power house unapaswa kukamilika Kwa asilimia 100%, lakini Ujenzi wa sehemu ya mitambo upo asilimia 60, na maji hayataweza kujaa kwani Bado upande wa bwawa yanapokaa maji Bado Kuna watu wanafanya kazi, hivyo maji hayajazwi Bali yanapita Moja Kwa moja na kupitia matundu yaliyopo katikati mwa ukuta.

Hivyo kilichofanyika juzi ilikuwa ni Dan............ya Toto, Ili Maji yaweze kuanza kujazwa inabidi, saddle dam zikamilike, na pia njia za kupeleka maji katika mitambo zikamilike. Japo Bado ni hatua nzuri na ya kupongezwa ila Kuna upotoshwaji mkubwa umefanyika kisiasa Tena Kwa kutumia pesa nyingi Ili wananchi waone juhudi za kupambana na mgao
Nenda kazikwe naye, kaburi lake bado Lina nafasi
 
Mods Msitoe huu Uzi.

Serikali Juzi imefanya sherehe ya kurudisha mtiririko wa asili wa Mto Rufiji Kwa Kufunga geti la kupitisha maji katika diversion tunnel( njia ya mchepuko), sherehe zilizohudhuriwa na Rais wa Tanzania na zilizotumia gharama nyingi.
Ukweli uliopo Serikali haikuzindua kuanza kujazwa maji katika bwawa Bali ulikuwa uzinduzi wa kurudisha mto katika njia yake ya asili.
Ili Maji yaweze kujazwa katika bwawa Ujenzi wa jumba ya mitambo power house unapaswa kukamilika Kwa asilimia 100%, lakini Ujenzi wa sehemu ya mitambo upo asilimia 60, na maji hayataweza kujaa kwani Bado upande wa bwawa yanapokaa maji Bado Kuna watu wanafanya kazi, hivyo maji hayajazwi Bali yanapita Moja Kwa moja na kupitia matundu yaliyopo katikati mwa ukuta.

Hivyo kilichofanyika juzi ilikuwa ni Dan............ya Toto, Ili Maji yaweze kuanza kujazwa inabidi, saddle dam zikamilike, na pia njia za kupeleka maji katika mitambo zikamilike. Japo Bado ni hatua nzuri na ya kupongezwa ila Kuna upotoshwaji mkubwa umefanyika kisiasa Tena Kwa kutumia pesa nyingi Ili wananchi waone juhudi za kupambana na mgao
Mjumbe unajiamini sana sijui ni kwa kitu gani. Mamilioni ya watu wameangalia, Rais, marafiki na maadui, mabeberu na wasaliti, wameshuhudia wote. Wewe mmoja unasema ni danganya toto?
 
Mods Msitoe huu Uzi.

Serikali Juzi imefanya sherehe ya kurudisha mtiririko wa asili wa Mto Rufiji Kwa Kufunga geti la kupitisha maji katika diversion tunnel( njia ya mchepuko), sherehe zilizohudhuriwa na Rais wa Tanzania na zilizotumia gharama nyingi.
Ukweli uliopo Serikali haikuzindua kuanza kujazwa maji katika bwawa Bali ulikuwa uzinduzi wa kurudisha mto katika njia yake ya asili.
Ili Maji yaweze kujazwa katika bwawa Ujenzi wa jumba ya mitambo power house unapaswa kukamilika Kwa asilimia 100%, lakini Ujenzi wa sehemu ya mitambo upo asilimia 60, na maji hayataweza kujaa kwani Bado upande wa bwawa yanapokaa maji Bado Kuna watu wanafanya kazi, hivyo maji hayajazwi Bali yanapita Moja Kwa moja na kupitia matundu yaliyopo katikati mwa ukuta.

Hivyo kilichofanyika juzi ilikuwa ni Dan............ya Toto, Ili Maji yaweze kuanza kujazwa inabidi, saddle dam zikamilike, na pia njia za kupeleka maji katika mitambo zikamilike. Japo Bado ni hatua nzuri na ya kupongezwa ila Kuna upotoshwaji mkubwa umefanyika kisiasa Tena Kwa kutumia pesa nyingi Ili wananchi waone juhudi za kupambana na mgao
Dah namuons Rais Samia anavyodanganywa kama katoto, inasikitisha. Walianzia kule kigoma kwenye kuzima generator
 
Mama aloenda kuzindua mradi wa maji kigamboni wakati kule ndio kwanza watu wanachimba mitaro ya kupitishia mabomba kazi ambayo kwa siku anazuia haikuwa hata 30%, sijui saa hizi watakiwa wamefikia wapi.
Yaani Rais Samia walishamjulia, wanampa vipigi vya uongo huku na kule ila inasikitisha sana.
 
Back
Top Bottom