MAPITO Mwanza
JF-Expert Member
- Aug 21, 2018
- 4,236
- 5,907
Siasa huiwezi ungeendelea na kuchekesha watu mbona maisha yangesonga tuuView attachment 2931490
Msanii Steve Nyerere amefanya tathmini ya uongozi wa Rais Samia Suluhu kwa kipindi cha miaka mitatu na kumpongeza kwa kufanya mambo makubwa ikiwemo kuondoa tatizo la upatikanaji wa umeme, kuleta reli ya kisasa inayowezesha wananchi kusafiri kwa muda wa saa moja kutoka Dar es Salaam hadi Morogoro.
Watu wenye TUMWILI TUDOGO shida sanaView attachment 2931490
Msanii Steve Nyerere amefanya tathmini ya uongozi wa Rais Samia Suluhu kwa kipindi cha miaka mitatu na kumpongeza kwa kufanya mambo makubwa ikiwemo kuondoa tatizo la upatikanaji wa umeme, kuleta reli ya kisasa inayowezesha wananchi kusafiri kwa muda wa saa moja kutoka Dar es Salaam hadi Morogoro.
TANZANIA INA LAANAAFRIKA INA LAANA & WAAFRIKA WANA LAANA
ThubutuuuSamia anapaswa kukataa kusifiwa na watu wa aina hii.
Yap graph imeshuka drasticallyKama urais wa Tanzania umeshuka thamani kiasi hiki, simshauri mmoja wa ndugu zangu kugombea hapa nchini.
π€£π€£π€£Hii ndio Think Tank ya CCM, Ukisema mtu mweusi amelaaniwa kuna watu wanabisha. Huyu mtu unaweza kuta wanakaa meza moja na Lameck madelu wanaplan future ya uchumi wa Taifa hili kwa miaka 30 ijayo. We're doomed
π€£ π€£ π€£Kaaaaziii kweli kweli, tumepoteana jangwani, kila mtu atafute pa kuponea
Mkuu huyo ndio kioo cha jamii! Anaakisi tabia na uwezo wa kiakili wa watanzania wengi! Kuanzia kwa viongozi hadi wananchi mashinani! Hiyo ndiyo taswira ya Taifa letu.View attachment 2931490
Msanii Steve Nyerere amefanya tathmini ya uongozi wa Rais Samia Suluhu kwa kipindi cha miaka mitatu na kumpongeza kwa kufanya mambo makubwa ikiwemo kuondoa tatizo la upatikanaji wa umeme, kuleta reli ya kisasa inayowezesha wananchi kusafiri kwa muda wa saa moja kutoka Dar es Salaam hadi Morogoro.
π€£π€£π€£π€πSteve akomae na michango ya misiba tu, siasa ishamtokea sehemu ya Siri.
Nchi ina vituko kweliYaani imefikia hadi rais anasemewa na msanii uchwara tena anapewa airtime kabisa!
Watu wauheshimu urais aise. Hiyo ni dharau sana.
Kutoka ukuwadi mpaka usemaji wa kiongozi,si mchezoSiku hizi kuna chawa wa ajabu wameibuka.
Yes,View attachment 2931490
Msanii Steve Nyerere amefanya tathmini ya uongozi wa Rais Samia Suluhu kwa kipindi cha miaka mitatu na kumpongeza kwa kufanya mambo makubwa ikiwemo kuondoa tatizo la upatikanaji wa umeme, kuleta reli ya kisasa inayowezesha wananchi kusafiri kwa muda wa saa moja kutoka Dar es Salaam hadi Morogoro.
Msimlaumu sana jamanView attachment 2931490
Msanii Steve Nyerere amefanya tathmini ya uongozi wa Rais Samia Suluhu kwa kipindi cha miaka mitatu na kumpongeza kwa kufanya mambo makubwa ikiwemo kuondoa tatizo la upatikanaji wa umeme, kuleta reli ya kisasa inayowezesha wananchi kusafiri kwa muda wa saa moja kutoka Dar es Salaam hadi Morogoro.
nitoe mimiAFRIKA INA LAANA & WAAFRIKA WANA LAANA