Steve Nyerere ajiuzulu nafasi ya Usemaji wa Shirikisho la Muziki Tanzania

Yeye ndio kaliendeleza kaona kapigwa Knock OUT Eti kuna Mambo yenye Tija kwani hakuyajua kabla
 
Kujiuzulu kunahusika vipi na Rais?!πŸ’πŸ’πŸ’
Your browser is not able to display this video.
 
Huyu aliwahi kuwa mwanamuziki?
Anawasemeaje watu ambao hajui shida zao?
Nani alimteua kuwa msemaji?
Huyu si ndie yule anaejipaga cheo cha mkusanayaji michango ya wasanii? hivi huwa inafika kweli? πŸ˜„
 
Bora amewaachia mfupa wao.
 

Isomeke Kafukuzwa kafurumishwa sio kajiuzulu/kajihudhuru
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…