Tatizo saivi hawafiTivu akeeee..abaki tu kua kwenye ile kamati yake ya sikuzote
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] yaan wabongo noma lolWalimkalia kooni hana pakuhemea
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]sema wanaume wa kinondoni
Yeye ndio kaliendeleza kaona kapigwa Knock OUT Eti kuna Mambo yenye Tija kwani hakuyajua kablaMsanii wa filamu na mchekeshaji, Steve Mengele maarufu Steve Nyerere, leo Ijumaa Machi 25, 2022 ametangaza kujiuzulu nafasi ya usemaji wa Shirikisho la Muziki Tanzania(SMT).
Asema kuna mambo mengi yenye tija ambayo Taifa linapaswa kuyashughulikia badala ya kuendeleza sakata la kuteuliwa kwake.
haya makofi yako nahisi kama yanapigwa kutokea dodoma mjengoni,,,,,,Steve alikuwa hawajui wanadunia wanakuchoma kinomnoma.
Sanaa.Ubinadamu kazi sana.
Bora amewaachia mfupa wao.Msanii wa filamu na mchekeshaji, Steve Mengele maarufu Steve Nyerere, leo Ijumaa Machi 25, 2022 ametangaza kujiuzulu nafasi ya usemaji wa Shirikisho la Muziki Tanzania(SMT).
Asema kuna mambo mengi yenye tija ambayo Taifa linapaswa kuyashughulikia badala ya kuendeleza sakata la kuteuliwa kwake.
Mambo yake Kama kimo chakeUtoto Stiv hakui
Msanii wa filamu na mchekeshaji, Steve Mengele maarufu Steve Nyerere, leo Ijumaa Machi 25, 2022 ametangaza kujiuzulu nafasi ya usemaji wa Shirikisho la Muziki Tanzania(SMT).
Asema kuna mambo mengi yenye tija ambayo Taifa linapaswa kuyashughulikia badala ya kuendeleza sakata la kuteuliwa kwake.
Stiglaz geji.....anazani hii ni reli?,poor SteveKujiuzulu kunahusika vipi na Rais?!πππ
View attachment 2164848