Watu wafupi bana!
Kachawa kalikokubuhu hana hadhi ya kua msemaji wa shirikisho la muziki tuache utani
Ha haaa mi ananikosha tu anavyoongea kwa kujiboost. Tabia za watu wafupi...Kwahiyo unataka kusemaje kuhusu mheshimiwa mama?
BASATA wathibitisha Steve nyerere alichaguliwa kwa haki ,watoa barua yao kwa sasa MSEMAJI mkuu wa shirikisho ni Steve Nyerere[emoji23]Yaani ukimuangalia anavyoongea utadhani kuna jambo la muhimu sana kumbe jamaa anafurahisha umati tu.
Ndio tabia za CCM hizi kung'ang'ania madaraka, na haka si kapo kule kule
Minimum requirement wanataka school of journalism certificate. LabdaShirikisho la Muziki lina hadhi gani?
Steve ni maarufu kuliko Basata
Mwana FA ALISHINDA?
Ha haaa mi ananikosha tu anavyoongea kwa kujiboost. Tabia za watu wafupi...
Hizo lips ni zako?Tivu akee bana🤣
Kumbe ulimaanisha mama😆😆, aarg mi nazungumzia shotii wa kiume. Hawafanani kitabia na mashotii wa kikeNani, mama au Stivu?
Watanzania wenyewe ndiyo wanampa ujiko huyu jamaa. Dogo hana issue yeyote hapa mjini, kila anapojiingiza kwenye jambo fulani wanamwachia tu, wampige stop mara moja ili aje kujiua.....jamii tunaanza kumchoka sasa.Yaani ukimuangalia anavyoongea utadhani kuna jambo la muhimu sana kumbe jamaa anafurahisha umati tu.
Acha washambulie s ccm mwezake watamakizana ktk vikao vya chama ndani mle