This guy is very stupid.
Hii kitu ya kuchanganya siasa kwenye kila jambo, taasisi na mambo mengine ndio inatukula sana watanzania. Yani Stive badala ajibu kuhusu jambo husika, anaingiza mifano ya kisiasa mala vimemo mala sjui wengine chadema sjui ACT[emoji34] he is totally politics person kwa hivyo hqta akiachwa hapo kwenye hiyo nafasi atafanya kwa matakwa ya kisiasa na wanasiasa na sio matakwa ya wasanii wa muziki, ataongea kile wanasiasa wanataka kusikia ila sio kile wanamuziki wanataka, KIFUPI HAFAI HATA KIDOGO.
Pili, yeye sio msanii wa muziki wala hayuko kwenye category yoyote inayohusu mziki, hajawahi kua hata producer, mcheza dance wala kitu yoyote inayohusu mziki, hivyo hawezi kuongelea kitu asichokijua wala changamoto zake, atakua anafanya drama tu ambazo hazitakua ka impact, hivyo HAFAI HATA KIDOGO.
Tatu, amewahi kua msemaji wa viti vingi sana, ni wapi ashawahi kuleta positive impact? Only stupid person can choose him.....
Sent from my vivo X6D using
JamiiForums mobile app