Prof Griff
JF-Expert Member
- Aug 29, 2008
- 6,772
- 5,258
Steve alivyoona kapata audience na attention basi kachukua fursa ku act bongo movie kwa kutumia sauti ya Mwalimu Nyerere kwenye ile presser. Huyu jamaa ni mhuni tu inabidi apigwe stop.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kabisa, na kuna kitu kakisema kuhusu itikadi za wanaompinga........hebu tuangalie na humu anatukanwa zaidi na kina nani inaweza kuleta maana sana. Ukiweka chuki pembeni, ana kitu katika mazungumzo yake.Japo kaongea upuuzi ila kama kuna ukweli ndani yake vile
Anasema walimuita mara 2 akakataa mara ya tatu akakubali [emoji1787][emoji1787]Hivi huyu aliteuliwa na nani?
AnasemajeeAnasema walimuita mara 2 akakataa mara ya tatu akakubali [emoji1787][emoji1787]
[emoji1787][emoji1787] kaamua kutoa siri za chama sijui wakimuita ajieleze kuhusu vimemo kama atakua na ushahidi.Kumbe CCM wenyewe kwa wenyewe wanajua wabunge wao walivopatikana kwa vimemo.
wana maelekezo hawa toka chama chakavuRais wa shirikisho🐒🐒🐒
View attachment 2160252