Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wasanii wanapambana na dubwana kubwa sana nyuma yake 😆Hivi huyu aliteuliwa na nani ?
Wabunge wote (2020-2025) ni wa vimemo. Ukinunua pumba, usitarajie ukilipika litabadilika kuwa wali. Taifa limepata hasara sana. yaani Taifa bila bunge makini na wanakula pesa ya walipa kodi tu bureee. Acha watukanane wenyewe kwa wenyewe kwanza, sisi tutamalizia baadae. Yuko wapi Ndugai na na naaaa!!!!!!!! ndio hao hao wa vimemo.Wabunge wa Darasa la Sba ndiyo wanaofanya vizuri kuliko wewe msomi, usisahau ulipotoka, mshindi wa sita ndiyo unakuja kuliongoza Jimbo, hatutaki ubunge wa vimemo, hii ni awamu ya sita .... Automatic Hii ni personal attack aliyofanya Steve Mengere Kwa Hamis MwiniJuma, nadhani yeye alipashwa adeal na Kile alichokizungumza MwanaFA na Sio Jinsi ya MwanaFA alivyopatikana Kuwa Mbunge.
Sent using Jamii Forums mobile app
Na role model wao ndio steve nyerere eti..!😀Tunataifa la vijana wa hovyo sana
USSR
Tena wala asisogee hata hatua moja. Ashikilie HAPO HAPO, Mbunge anaondoka!!! Wa VIMEMO!Steve point anayo mbele ya mbunge kwasababu bongo tunapenda personal attacks than points.
Kwahiyo kwetu siye hiyo personal attack ndio point yake.
Steve shikiria hapohapo.
Yote tisa, kubwa ni mbunge wa VIMEMO!!!!!!!!!!!!!!! Na sijui jumla yao ni wangapi kama sio wote.Ila haka kajamaa kana gundu balaa. Ni kama vile kametembea na bundi. Yani kila sehemu akigusa lazima kutakuwa na walakini. Kwenye misiba kinasemakana kinakula rambirambi, kwenye ubunge wajumbe wakafanya yao, kwenye uigizaji kinaitwa kikuwadi. Yani huyu kiumbe anahitaji aombewe pepo la kukataliwa na kupingwa limtoke.
hapo kawasema wote japo dhamira yake ilikuwa kumsema mmoja. Bunge lililopo sasa lote ni la vimemoYote tisa, kubwa ni mbunge wa VIMEMO!!!!!!!!!!!!!!! Na sijui jumla yao ni wangapi kama sio wote.
We unashangaa KAMATI! Anza kushangaa na wabunge wa VIMEMO!Twende mbele na turudi nyuma hao waliokaa wakamteua huyo jamaa kua kwenye hiyo nafasi hawakutumia akili zao vizuri.Bado tunachukulia sanaa kama kitu cha ovyo ovyo wakati hiyo ni sekta rasmi tunayoweza kuitumia kuleta manufaa makubwa kwa nchi......Lakini pia hii tabia ya kupeana nafasi za usemaji kwenye taasisi mbali mbali kwasababu tu mtu anaongea maneno mengi ya ovyo ovyo ifike mahali iishe.Nasimama na Mheshimiwa Mbunge kwenye hili.hatuwezi kuendekeza ujinga kwakuwapa watu wa ovyo nafasi zakushughulikia mambo yanayoitambulisha nchi kimataifa.
Steve hana hojaJapo kaongea upuuzi ila kama kuna ukweli ndani yake vile
Wanajua ila huwa hawasemi wakigombana ndio wanatoa ya moyoni[emoji28]Kumbe CCM wenyewe kwa wenyewe wanajua wabunge wao walivopatikana kwa vimemo.
Steve hana hoja
Hoja ya wasanii ni kuwa Steve kapatikana kwa njia ya kuvunja katiba ya shirikisho,
Yeye anasema wabunge ni darasa la saba, ndio katiba ya Tz inataka mbunge anaejua kusoma na kuandika,