inner brain
Senior Member
- May 25, 2020
- 182
- 475
Kumnyima Steve Nyerere Usemaji Kisa Ni Mchekeshaji Hii Hoja Haina Mashiko Mbona Rais wa Ukraine Alikua Mchekeshaji [emoji23][emoji23]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aah! Kumbe huyu macho kumchuzi ndiye Steve, nilimsikia aliposhinda ubunge wa Iringa kupitia CCM dhidi ya Msigwa (Chadema).Steve Nyerere anazungumza na waandishi wa habari leo Jumanne Machi 22, 2022
“Nawashukuru wasanii wenzangu na Watanzania wote kwa mchakato ambao ulikuwa unaendelea na bado utaendelea.
“Muungano na ushirikiano wetu ndiyo utatutoa na kutufikisha mbali, kama tukishikamana tukatoa mioyo yetu chuki tutapiga hatua mbele…
Hana qualification ya kushika nafas hiyo according to katiba ya shirikishoKumnyima Steve Nyerere Usemaji Kisa Ni Mchekeshaji Hii Hoja Haina Mashiko Mbona Rais wa Ukraine Alikua Mchekeshaji [emoji23][emoji23]
kuna sehemu amesema eti Mwana FA kwani ulishinda?
Labda mkuu ndio ile Kwenye vita hatuchagulia sirahaWabunge wa Darasa la Sba ndiyo wanaofanya vizuri kuliko wewe msomi, usisahau ulipotoka, mshindi wa sita ndiyo unakuja kuliongoza Jimbo, hatutaki ubunge wa vimemo, hii ni awamu ya sita .... Automatic Hii ni personal attack aliyofanya Steve Mengere Kwa Hamis MwiniJuma, nadhani yeye alipashwa adeal na Kile alichokizungumza MwanaFA na Sio Jinsi ya MwanaFA alivyopatikana Kuwa Mbunge.
Sent using Jamii Forums mobile app
Katoka mbali anajua kujichomekaHahahaaaa........ Huyu alikuwa house boy wa akina Ray Kigosi pale Sinza!
Ndio ujiulize kwanini anang'ang'ania? Si atoke?Steve aache ujinga wasanii hawamtaki atoke
Hata kama hili ndiyo lilikua lengo nafikiri si sahihi taasisi kama hii kutangaza kwamba imedhamiria kua subordinate wa serikali.Rais wa shirikisho🐒🐒🐒
View attachment 2160252
Kabla Steve hajaongea nilidharau maneno ya mbunge aliongea kwa dharau na mamlaka alafu aliongea kama mtu ambaye hajasomaWabunge wa Darasa la Sba ndiyo wanaofanya vizuri kuliko wewe msomi, usisahau ulipotoka, mshindi wa sita ndiyo unakuja kuliongoza Jimbo, hatutaki ubunge wa vimemo, hii ni awamu ya sita .... Automatic Hii ni personal attack aliyofanya Steve Mengere Kwa Hamis MwiniJuma, nadhani yeye alipashwa adeal na Kile alichokizungumza MwanaFA na Sio Jinsi ya MwanaFA alivyopatikana Kuwa Mbunge.
Sent using Jamii Forums mobile app