Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahahahaaaa, ila 'kakipaji' unako!
U wish to mit the angel,
NO u went 2 far jameni.....lolest
Kweli mkuu ameweza kuniteka hata mm ili nifahamu tu kilicho endelea..
Hahaha I mean if anything like this happens,u wish to meet the angel
kwi kwi kwi kwi......YES i wish to meet one of the angels but in a different scenario nt of the accident
Ya kujifunza:Nilitumia fursa hiyo kukuuliza majina yako (km cjakosea ni Elizabeth), umri, ndugu zako, mtaa na nyumba unayoishi! Nashukuru mungu ulijaribu kuyajibu!
Wakaniomba PF3, nikawajibu sina, hatukupata muda wa kuipitia. Nikaambiwa nikatoe maelezo kituo cha polisi Superstar, nikaenda!
Kurudi - nikakuta ushapelekwa chumba cha x-ray, nikaambiwa mtu wa x-ray amelala, kwa hiyo mgonjwa wangu hawezi kuhudumiwa mpk asubuhi! Nazifahamu sana lugha hz! Nikatoa elfu 5 (ipe jina utakalo). Muda tena, nikaambiwa nikakununulie dawa ya maumivu, nikaenda! Sifahamu nini kilitokea, lkn ulipigwa x-ray ndani ya dak 5.
Polisi: una uhusiano gn na hy majeruhi?
Mimi: simfahamu!
Polisi: Sisi tunaamini wewe ndiye uliemgonga kisha ukajifanya Msamariamwema. Unabisha?
Mimi: Afande mimi sina leseni na wala sijui kuendesha gari.
Its a nice story,
Cku nyingine muwe mnaandikaga basi ndo mposti. Hizi habari za episodes wengine hatuna patience! Yani hapa inabidi nibaki hadi mda wa futari upite
Mmh nimepata hisia za hasira baada ya maelezo marefu... aya kwa hiyo unasubiria fadhila yakupewa penzi au ni nini?