Stori: Uko wapi rafiki? Kuna cha kujifunza hapa?

Stori: Uko wapi rafiki? Kuna cha kujifunza hapa?

Its a nice story,
Cku nyingine muwe mnaandikaga basi ndo mposti. Hizi habari za episodes wengine hatuna patience! Yani hapa inabidi nibaki hadi mda wa futari upite
 
hii story inavyoonekana ni kama 24 series, aya tony almeda tunasubiri baada ya futari na hata baada ya daku tutakuwepo macho maana du una script nzuri. the following is takng place between 1:00pm-2:00pm..............
 
Hahaha I mean if anything like this happens,u wish to meet the angel

kwi kwi kwi kwi......YES i wish to meet one of the angels but in a different scenario nt of the accident
 
Mmh nimepata hisia za hasira baada ya maelezo marefu... aya kwa hiyo unasubiria fadhila yakupewa penzi au ni nini?
 
Nilitumia fursa hiyo kukuuliza majina yako (km cjakosea ni Elizabeth), umri, ndugu zako, mtaa na nyumba unayoishi! Nashukuru mungu ulijaribu kuyajibu!

Wakaniomba PF3, nikawajibu sina, hatukupata muda wa kuipitia. Nikaambiwa nikatoe maelezo kituo cha polisi Superstar, nikaenda!

Kurudi - nikakuta ushapelekwa chumba cha x-ray, nikaambiwa mtu wa x-ray amelala, kwa hiyo mgonjwa wangu hawezi kuhudumiwa mpk asubuhi! Nazifahamu sana lugha hz! Nikatoa elfu 5 (ipe jina utakalo). Muda tena, nikaambiwa nikakununulie dawa ya maumivu, nikaenda! Sifahamu nini kilitokea, lkn ulipigwa x-ray ndani ya dak 5.
Polisi: una uhusiano gn na hy majeruhi?
Mimi: simfahamu!

Polisi: Sisi tunaamini wewe ndiye uliemgonga kisha ukajifanya Msamariamwema. Unabisha?
Mimi: Afande mimi sina leseni na wala sijui kuendesha gari.
Ya kujifunza:
1:Ni muhimu kutembea na vitambulisho mda wote.
2:Kuwe na utaratibu wa kumpatia majeruhi matibabu mambo ya pf3 ndo yafuate HILI NI MUHIMU SANA KWANI UHAI NI WA MUHIMU KULIKO HICHO KIKARATASI.
3😛OLICE wawe wanafanya uchunguzi sio kukimbilia hypothesis nyepesi coz watu wanaogopa hata kutoa taarifa za muhim police kwa usumbufu wao wa kijinga nafikiri hata Mwakyembe alishalizungumzia hili.Askari badilikini mambo ya miaka nenda rudi bado ninyi mnayo tu.
 
Its a nice story,
Cku nyingine muwe mnaandikaga basi ndo mposti. Hizi habari za episodes wengine hatuna patience! Yani hapa inabidi nibaki hadi mda wa futari upite

Watu wanatafuta umaarufu kwa njia nyingi sana.

Mi namfagilia sana mdogo wangu Mentor. Hana huu ubweg.e wa kuweka vi episodes visivyo na maana yoyote zaidi ya kutafuta attention.
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom