Story gani katika kitabu cha dini yako unafikiri ni hadithi ya ngano tu?

Adam kwa miaka yake hyo alizaa watoto wengi sana na hakuzaa na Haea pekee, aliishi miaka kama 900 hivi ambayo ni mingi sana na kwetu sisi ni vizazi kwa vizazi, na apo bado alizaa na watoto wake wengi kulingana na tetesi, na apo mwanzo undugu ulikuwa ni kama haupo
Hao Abel na Keini walikuwa ni moja ya watoto tu
Kulingana na maandiko, na enz zile walikuwa wanazaa kwelii, hakuna kumwaga nje
 
Hiyo miaka mia900 alizaa watoto wengi sana na ukichukulia miaka hyo ni ming na ilikuwa ni kujaza tu dunia
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]View attachment 1827606
Apa nadhani una nadhalia tofauti wakati iliyoandikwa ni tofauti, yann biblia inamaamini siku ni tatu yani ijumaa, jumamosi na jumapili uku we unahesabu kimasaa
Unanikumbusha enzi zile bado miez8 necta ila waalim wanapunguza mpaka inabaki wiki
 
Binafsi kwenye kitabu cha dini yangu ya Kikristo, yaani BIBLIA TAKATIFU, sijawahi wala sitarajii kusikia Ngano humo ndani. Yote yaliyomo humo ni kweli tupu. Ni mafundisho ya kweli na ya UHALISIA.
Et dini yako😄😄 kama ww ni mzungu ni sawa. Lakini kama ww ni wa hapahapa basi usijifanye unaijua sana kuliko walioianzisha bwa shee. Hujui chochote zaidi ya mapokeo
 
Niliposhikwa ni hapa...
Ni
pale kaini alipo muua ndugu yake
Alipata laana,
kuwa kila atakaye mwona atamuua.
Ilimbidi akimbielie
mji unaoitwa"Enoko"

Kisha akaambiwa
"nitakuweka alama katika paji la uso ili kila akuonaye asikudhuru"

Je kina nani wangemdhuru wakati huo duniani walikuwa watu watatu tu yaani
Adam, Eva , kaini na
mwili wa kaini uliokuwa ndani ya tombo la adhri

Je kuliku na watu zaidi ?
Au
Wazazi wawangemdhuru mtoto wao?
 
Kuna wakati uwa Nna kuwa na imani na kuamini sana uwepo wa mungu,mfano mm nnatabia ya kuona nyoka na wachawi usiku na wananifukuzaa,ila kila nikitaja jina Yesu kristo au kufanya maombi huko ndotoni uwa nawashinda hao wabaya wangu,ila sasa story za kwenye hayo maandiko uwa zinanichanganya sana Kichwa!!!
 
Yaani wewe ni mimi kabisa
 
We chalii wewe!! Usiharibu biashara za watu!!
 
Kweli mkuu na atusamehe tu!! tunajaribu kufikiri tu!!
 
Allah ni nani? Ndiye Hamadi?

Sent from my Infinix X624 using JamiiForums mobile app
 
Hakuna mambo ya kielimu hapo.
 
Duuh hyo ni bibilia mkuu siyo quraan karI'm, maana bibilia inasema waziwazi ibrahimu ni mzinifu, samsoni naye mtu wa mademu alafu hao ndio wabarikiwa na mungu , ktk quraan hakuna hizo ngano
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…