Story gani katika kitabu cha dini yako unafikiri ni hadithi ya ngano tu?

Story gani katika kitabu cha dini yako unafikiri ni hadithi ya ngano tu?

Nimekuuliza ni kwanini viliondolewa na je tumamini kipi? Mwanzo au hivyo vya Henoko n.k?
Tuamini ndio ulichoshindwa kuelewa au unaleta janja janja tu?
Kama unaniuliza ni kitabu kipi unatakiwa kukiamini nakushauri uamini kitabu cha "karudi baba mmoja toka safari ya mbali"coz mimi sio mwalimu wako wa dini
 
Mambo shetani mwenzangu..??
Hivi kabisa ati Israel ndo taifa la Mungu nilitegemea ndo litakuwa na amani ili liwe taifa la mfano hapa duniani lakini dogo tu kama Tanzania lina amani kushinda hata hilo taifa teule la Mungu!!..
Taifa gani la Mungu linanukia damu kiasi hicho..!

Mataifa yetu ya kiafrika yanaamini yanalindwa na Mungu lakini taifa teule la Mungu lina kila Aina ya siraha ya kujilinda!.. ifike hatua tuwe na akili kumkichwa!
siraha = silaha
 
Kwamba Mungu aliumba dunia na kila kilichomo (sawa) kisha akaumba mwanaume na kuumba mwanamke kwa kumtoa ubavu mmoja mwanaume (sawa).

Kisha hao wawili (Adam na Eva/Hawa) wakazaa watoto wawili (Kaini na Abeli) - (sawa).

Kisha Abeli akawa mfugaji na Kaini akawa mkulima (sawa). Lakini Mungu alipendezwa zaidi na sadaka za Abeli kuliko za Kaini (sawa). Kaini akamuua kaka yake kwa wivu (sawa).

Mungu akampa adhabu Kaini kwa kumfukuza bustanini awe anatanga tanga huku na huko duniani (sawa).

Kaini akamwambia Mungu kuwa akitangatanga watu atakaokutana nao watamuua (shida inaanza kuja hapa). Mungu akamwekea alama usoni ili walimwengu wasimuue (shida inaendelea). Kaini akaenda huko nchi ya Nodi mashariki mwa Eden.

Kisha kaini akalala na mkewe akamzaa mtoto aitwae Henoki. (Sio sawa).

Reference: Soma kitabu cha Mwanzo 4:1-17.

Hii story haija balance kabisa hasa hapo mwishoni. Kama Mungu aliumba Adam na Hawa na wakazaa watoto wawili tu ina maana duniani palikuwa na watu wanne tu. Je hao watu aliokuwa akiwaogopa Kaini ni akina nani? Je huyo mwanamke alielala na Kaini na kuzaa nae mtoto alitoka wapi?

Wataalamu hebu naomba mtusaidie hapa.
Biblia inasema kama yote yangeandikwa basi vitabu vingekuwa vingi Sana jua biblia imeacha mengine in mengi Tu mfano Adam na ever waliandikwa kwa kuwa ni binadamunwa Kwanza lkn haina maana uumbaji uliisha Mwenyez Mungu aliendelea ndio mana kuna wachina na wengine tofauti tofauti na hao alioenda kukutana nao ndio gap wengine ambayo biblia iliwaaacha
 
Biblia inasema kama yote yangeandikwa basi vitabu vingekuwa vingi Sana jua biblia imeacha mengine in mengi Tu mfano Adam na ever waliandikwa kwa kuwa ni binadamunwa Kwanza lkn haina maana uumbaji uliisha Mwenyez Mungu aliendelea ndio mana kuna wachina na wengine tofauti tofauti na hao alioenda kukutana nao ndio gap wengine ambayo biblia iliwaaacha
Yohana 21;25...
 
Biblia inasema kama yote yangeandikwa basi vitabu vingekuwa vingi Sana jua biblia imeacha mengine in mengi Tu mfano Adam na ever waliandikwa kwa kuwa ni binadamunwa Kwanza lkn haina maana uumbaji uliisha Mwenyez Mungu aliendelea ndio mana kuna wachina na wengine tofauti tofauti na hao alioenda kukutana nao ndio gap wengine ambayo biblia iliwaaacha
Je ni nani aliamua visiandikwe vyote? Na je vitabu vingekuwa vingi unadhani tungeshindwa kuvisoma vyote?

Kama tumesoma biblia nzima, quran, analects, chand, novels zaidi ya 300, majarida yasiyohesabika, nyuzi zaidi ya laki JF je ingetushinda nini kusoma hivyo 'mlivyoviacha'?
 
Biblia ukisoma nusu nusu hutoelewa milele hasa neno lenye uchaji wa Mungu halieleweki kwa wote. Mfano kuna watu wa itelejinsia humu huwasiliana kwa maandishi haya na wengi wetu hatujui wala kuelewa chochote, note that.
Kama sio mcha Mungu sahau kuhusu kuelewa Neno LA Mungu.
Sasa Mungu kwanini awaletee viumbe wake ugumu wa kuelewa jambo analolikusudia kuwaambia?

Ina maana lengo lake ni watu wasipate kuelewa ili awaadhibu?

Kwani angeweka lugha rahisi inayoeleweka kwa kila mwanadam kuna ugumu gani?
 
Biblia ukisoma nusu nusu hutoelewa milele hasa neno lenye uchaji wa Mungu halieleweki kwa wote. Mfano kuna watu wa itelejinsia humu huwasiliana kwa maandishi haya na wengi wetu hatujui wala kuelewa chochote, note that.
Kama sio mcha Mungu sahau kuhusu kuelewa Neno LA Mungu.
funguka zaid mkuu
 
ukute huyu ndo alimdanganya Eva akatombanamo na Adamu.

halafu ukute ndo shetani mwenyewe anayetuvuruga.

ila Mimi sijui
 
Wakuu hizi dini zote duniani ni stori za kusadikika hazina ukweli wowote zilitungwa ili kututisha wanadamu tukifanya maovu tujue kuna adhabu kali inayotusubiria
 
Kwamba Mungu aliumba dunia na kila kilichomo (sawa) kisha akaumba mwanaume na kuumba mwanamke kwa kumtoa ubavu mmoja mwanaume (sawa).

Kisha hao wawili (Adam na Eva/Hawa) wakazaa watoto wawili (Kaini na Abeli) - (sawa).

Kisha Abeli akawa mfugaji na Kaini akawa mkulima (sawa). Lakini Mungu alipendezwa zaidi na sadaka za Abeli kuliko za Kaini (sawa). Kaini akamuua kaka yake kwa wivu (sawa).

Mungu akampa adhabu Kaini kwa kumfukuza bustanini awe anatanga tanga huku na huko duniani (sawa).

Kaini akamwambia Mungu kuwa akitangatanga watu atakaokutana nao watamuua (shida inaanza kuja hapa). Mungu akamwekea alama usoni ili walimwengu wasimuue (shida inaendelea). Kaini akaenda huko nchi ya Nodi mashariki mwa Eden.

Kisha kaini akalala na mkewe akamzaa mtoto aitwae Henoki. (Sio sawa).

Reference: Soma kitabu cha Mwanzo 4:1-17.

Hii story haija balance kabisa hasa hapo mwishoni. Kama Mungu aliumba Adam na Hawa na wakazaa watoto wawili tu ina maana duniani palikuwa na watu wanne tu. Je hao watu aliokuwa akiwaogopa Kaini ni akina nani? Je huyo mwanamke alielala na Kaini na kuzaa nae mtoto alitoka wapi?

Wataalamu hebu naomba mtusaidie hapa.
Kwani wapi kwenye Biblia kumeandikwa Adamu na Hawa walizaa watoto wawili tu? Ni kweli kwamba CKaini na Abeli ndio wanaotajwa sana kwenye Biblia. Lakini pia kuna mtoto mwingine anayetajwa akiitwa Seth. Kutokana na mfumo wa kianaume uliokuwepo, Biblia inataja watu kwa umaarufu wao
 
Kwamba Mungu aliumba dunia na kila kilichomo (sawa) kisha akaumba mwanaume na kuumba mwanamke kwa kumtoa ubavu mmoja mwanaume (sawa).

Kisha hao wawili (Adam na Eva/Hawa) wakazaa watoto wawili (Kaini na Abeli) - (sawa).

Kisha Abeli akawa mfugaji na Kaini akawa mkulima (sawa). Lakini Mungu alipendezwa zaidi na sadaka za Abeli kuliko za Kaini (sawa). Kaini akamuua kaka yake kwa wivu (sawa).

Mungu akampa adhabu Kaini kwa kumfukuza bustanini awe anatanga tanga huku na huko duniani (sawa).

Kaini akamwambia Mungu kuwa akitangatanga watu atakaokutana nao watamuua (shida inaanza kuja hapa). Mungu akamwekea alama usoni ili walimwengu wasimuue (shida inaendelea). Kaini akaenda huko nchi ya Nodi mashariki mwa Eden.

Kisha kaini akalala na mkewe akamzaa mtoto aitwae Henoki. (Sio sawa).

Reference: Soma kitabu cha Mwanzo 4:1-17.

Hii story haija balance kabisa hasa hapo mwishoni. Kama Mungu aliumba Adam na Hawa na wakazaa watoto wawili tu ina maana duniani palikuwa na watu wanne tu. Je hao watu aliokuwa akiwaogopa Kaini ni akina nani? Je huyo mwanamke alielala na Kaini na kuzaa nae mtoto alitoka wapi?

Wataalamu hebu naomba mtusaidie hapa.
Wataalamu wa Dini wanasema zamani mtoto wa kike alikua haesabiwi ndani ya familia

kama nyumba ina watoto wakiume watatu mmoja wa kike ikipita sensa wataandika nyumba ina watoto wa 3.

Naomba usiniulize swali gumu! sitoweza jibu
 
Screenshot_20230330-131823.jpg
 
Kwani wapi kwenye Biblia kumeandikwa Adamu na Hawa walizaa watoto wawili tu? Ni kweli kwamba CKaini na Abeli ndio wanaotajwa sana kwenye Biblia. Lakini pia kuna mtoto mwingine anayetajwa akiitwa Seth. Kutokana na mfumo wa kianaume uliokuwepo, Biblia inataja watu kwa umaarufu wao
Mnatoa sababu za kitoto sana 🚮
 
Back
Top Bottom