Story gani ya uongo uliwahi kusikia kuhusu Baba wa Taifa?

Story gani ya uongo uliwahi kusikia kuhusu Baba wa Taifa?

Hii ni jokes alitupa teacher wetu SHULE ya msingi

Kawawa na Nyerere walienda kwa malkia wakawa wako mezani wanakula Sasa kulikuwa na vijiko vya Gold kawawa akajiongeza akaficha kimoja sema design kama Nyerere alimshtukia so Nyerere akaona asitoke kizembe akasema ngoja niwaonyeshe mazingaumbwe ya kitanzania "nitaweka kijiko kwenye mfuko wangu huku halafu kawawa atatoa kwenye mfuko wake kule"

Basi kawawa kishingo upande akajua kuwa ashapigwa bao [emoji28][emoji28][emoji28]
Hahaha hahahaha
 
Eti kuna siku alikisahau kile kifimbo chake sehemu, hakuna aliyeweza kukinyanyua mpaka mwenyewe akaja kukinyanyua.

Yule jamaa alikuwa anapiga kamba mpaka leo nikimuona simmalizi.
Niliambiwa same story
 
Nilifundishwa kumuhusu na walimu akisifiwa sana kwamba alifanya ya maana sana. Kumbe alituletea Muungano na sera ya ujamaa , mbio za mwenge bila kusahau ccm iliyofanya tupo tulipo hivi leo.
Tunapokuwa makini kuna mengi watoto wetu watakuja kuongopewa kuhusu Magu
 
Eti kile kifimbo chake kina uchawi mwingi yaani akiamuru atakacho chenye matokeo chanya knakuwa .
 
Eti alikua akiongea jambo hapingwi anasikilizwa sababu alienda msituni akaona simba anakunywa maji na simba kbla ya kunywa maji Kuna kiirizi anakitema pembeni eti akakichukua akakimeza ndomana akawa na roho ya SIMBA
 
Eneo kubwa la KIA kuna mkondo wa miamba ya Tanzanite...
Ila eneo rasmi ni siri... Na hii taarifa siyo ya uongo
Ilo eneo lina uspecial gan mpaka liwe siri? Mbona maeneo kibao tu ambayo yanahisiwa kuwa na reserve ya madini au gas yanawekwa wazi!
 
hata hii point yako ni porojo plus..
Ukweli unajulikana, labda huelewi wanavyochinbabtanzanite. Usifikiri wanapoingilua ndiyo Tanzaniye zipo hapo, chini huko wanakwenda mbali sana, kama hawajafika chini ya KIA basi hawapo mbali.

Ngoja wsje wachinbaji wa Tanzanite wamwage ujuzi hapa. Nimeongea wenginwenye uzoefu wakuzama chini machimboni.
 
Ukweli unajulikana, labda huelewi wanavyochinbabtanzanite. Usifikiri wanapoingilua ndiyo Tanzaniye zipo hapo, chini huko wanakwenda mbali sana, kama hawajafika chini ya KIA basi hawapo mbali.

Ngoja wsje wachinbaji wa Tanzanite wamwage ujuzi hapa. Nimeongea wenginwenye uzoefu wakuzama chini machimboni.
Sasa wa kulaumiwa ni nani kati ya nyerere na viongozi wako hawa wanaotoa vibali ili madini yachimbwe kwa wizi...!!?
 
Ilo eneo lina uspecial gan mpaka liwe siri? Mbona maeneo kibao tu ambayo yanahisiwa kuwa na reserve ya madini au gas yanawekwa wazi!
Halina uspecial wowote.. Ila mkondo wa madini umepita hapo..
Hawataki wananchi wavamie
 
Alikuwa anajua mambo yote yaani kumbe alikuwa anaangalia kwenye tv then anawaambia wenzie..
Hii mwenyewe nliiskia alikuwa akitazama news za majuu,halafu kwenye hotuba anawambia wadanganyika kuwa kapewa maono,na walimuogopa kishenzi kwa unabii wake huo.
 
Kuna siku Nyerere alienda znz Sasa kwenye ukaguzi wa gwaride la makomandoo, Nyerere alimsalimia komando mmoja kwa mkono Sasa yule komando akionyesha utii akajibu

Mwalimu unaniumiza huku akionyesha kama anaumizwa mkono tokea siku hio Nyerere akatoa amri kuanzia Leo wanajeshi wote waende bara kufanya mazoezi
 
Mimi niliwahi kusikia kwamba amechonga meno, ndio maana aliitwa mchonga...
Siku ya mazishi ya Mwl nilimnyima bibi yangu wali akalala njaa daah
 
Kwamba kama kuna hatari akitazama saa yake inabadilika rangi kuwa nyekundu, hivyo anaahirisha hiyo safari.
 
Back
Top Bottom