Story gani ya uongo uliwahi kusikia kuhusu Baba wa Taifa?

Story gani ya uongo uliwahi kusikia kuhusu Baba wa Taifa?

Kwamba kile kificho chake akikiwacha hakuna wa kukiinuwa ni yeye pekee..
 
Nilifundishwa kumuhusu na walimu akisifiwa sana kwamba alifanya ya maana sana. Kumbe alituletea Muungano na sera ya ujamaa , mbio za mwenge bila kusahau ccm iliyofanya tupo tulipo hivi leo.
Noma sana!
 
Mimi niliwahi kusikia aliamuru uwanja wa ndege wa KIA ujengwe pale ulipo ili kuzuia madini ya Tanzanite yasichimbwe kwakuwa bado hatukuwa tumeelimika kuhusu madini.

Wewe ulisikia ipi?
Kifimbo chake greda haliwezi nyanyua
 
Back
Top Bottom