Straight Talk: Mwanaume toa ushauri wa moja kwa moja kwa mwanamke kuhusu jambo lolote lile

Wazo Zuri mkuu, asiyeelewa hapa shauri yake, na ikumbukwe tu, mwanamke akisha tafunwa na wanaume zaidi ya watatu ambao tayari wanajuana, taarifa husambaa sana kwa wanaume wengine nao watakuja kuchovya hivyo hivyo na kusepa.
Tatizo wanawake hawashauriki ni kama kenge , hawasikii mpaka masikio yatoke damu, huwa sometimes nawaza hivi mademu hujisikiaje baada ya bikra zao kunyofolewa na mafisi na baadae kutelekezwa?
 
Tatizo wanawake hawashauriki ni kama kenge , hawasikii mpaka masikio yatoke damu, huwa sometimes nawaza hivi mademu hujisikiaje baada ya bikra zao kunyofolewa na mafisi na baadae kutelekezwa?
😁😁, Hilo hijilaumu pale wakisha pigwa na kitu kizito kichwani.. Wanawake wengi virgin zimetolewa na walugaluga.
 
Wanawake wenyewe kizazi hiki ni aina ya mbunge wa Iringa mjini ataanzia wapi kuwashauri, 50/50 imeiyumbisha sana dunia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…