π€π€, Hayo hutokea sana kwenye jamii, hasa Akikutana na X mrugaruga, umuhimu wa ndoa huonekana baada ya kuvurunda ndoa. [ ningejua, ningejua, ningejua hutawala idara Zima ya ubongo ]Nimelishuhudia hilo na likaleta madhara kwa mtu wangu wa karibu ndio maana nimewaasa japo hayanaga miongozo.
Foleni mkuu.π€π€, Period au foleni.
Vichwa vingine vigumu bila kurogwa havikai kwenye mstari πA. Kama mtu hajakukosea au kukuvunjia heshima usimuongeleshe au kumjibu vibaya.
B. Mwanamke ukiwa kwenye taratibu za kuolewa acha mazoea ya kuwasiliana na wanaume hasa ma ex itakugharimu na hawatokuwa na faida yeyote nawewe.
C. Mheshimu, mpende na kumjali mumeo bila kusahau kumuombea , usimloge.
Bora ufanye mengine yote ila usiniroge, si aniroge na maunoVichwa vingine vigumu bila kurogwa havikai kwenye mstari π
Taja sasa baba Jay tujue kuoffer zaidi ya mbususuMwanamke kwny mahusiano yako,
Jitahidi uwe na cha kuoffer Zaid ya tendo la ndoa
Unarogwa na vyote, usirogwe ww nani??Bora ufanye mengine yote ila usiniroge, si aniroge na mauno
Hii ni topic nyengine haihusiani ondoaNaomba kuelimishwa kuhusu uhuru ndani ya uhusiano.
Niitieni yule fulani wangu nimuulize kama ataniroga ili nijue nafanya nini mapema kabisa πUnarogwa na vyote, usirogwe ww nani??
Ukikubali kuzaliwa Africa utarogwa tyuuu!!π‘
πππ Unao wengi jirani, yupi sasa tukuitieNiitieni yule fulani wangu nimuulize kama ataniroga ili nijue nafanya nini mapema kabisa π
Inatupa motisha mkuu , mimi natafuta pesa nikijua kuna mambo ya ziada kama, kuhonga na mitungi inanifanya niwe aggressive kiasi chake.Wamekusikia mkuu, hii kwao ni kazi ndogo sana π
Zingatia kuleπNouma sana, inalika huku na kule.
Umeanza vizuri...hapo mwisho umepuyanga sasa kwann asilogwe π€£π€£π€£π€£π€£A. Kama mtu hajakukosea au kukuvunjia heshima usimuongeleshe au kumjibu vibaya.
B. Mwanamke ukiwa kwenye taratibu za kuolewa acha mazoea ya kuwasiliana na wanaume hasa ma ex itakugharimu na hawatokuwa na faida yeyote nawewe.
C. Mheshimu, mpende na kumjali mumeo bila kusahau kumuombea , usimloge.