Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wapi nimeandika sinunui viwanja na kusimamia mijengo mkuu?[emoji1781][emoji16][emoji16], njia uliyo chagua hiyo ni mbaya mkuu, bora ukanunue viwanja tu, uaze kusimamisha mijengo.
🤣🤣🤣🤣😄😄, kule ndo kubaya zaidi, yaweza kuwa ni ki ben10,
Kwahiyo kumbe kiroho kilikuwa kinauma.??😂😂😂Sasa kupewa taarifa na mbususu wapi na wapi jirani? Ye alinitafuta anirushe roho anaolewa ila mimi nikamzimia juu kwa juu.
Unaogopa kutaja jirani hujiamini?? 😂😂Mtaje wewe si ndio unamjua.
Jina lake lina herufi.
waache kukataa tamaa ya kuolewa au kuzaa na kuanza kusagana au kujiuza.Habari WanaJamiiforums, Poleni na majukumu ya hapa na pale 🤝, Imekuwa kawaida Wanawake kulalamika kwamba wanaume hawaangalii wala kutilia mkazo kikamilifu kuhusu shida zao. Lakini ukweli ni kwamba kuna mambo ambayo wanaume nao wanatamani wanawake wajue baadhi ya mambo:-
|-• Wanaume wengi wanatamani, wanawake wao waelewe umuhimu wa mawasiliano ya wazi na kuheshimiana, kuwa na kusudi/lengo la pamoja, kusaidiana katika kujenga maisha. Pia, kuwa na nafasi ya kujitambua kibinafsi na kudumisha uhuru ndani ya uhusiano.
||-• Na kama watafanya uhusiano wao au ndoa yao itakuwa bora na wanaume wao watawatendea vizuri zaidi, watafanya kazi kwa pamoja ili kuboresha mawasiliano, kuelewa mahitaji ya mwenza, na kushiriki katika hali ya furaha na changamoto kwa pamoja,
|||-• Wanaume toa Ushauri Kwa wanawake juu ya kitu chochote ungetamani wanawake wajue.
. Hapa inaonyesha kuwa aliolewa ili kutimiza maana ya ndoa[ jamaa alikuwa hapendwi ] , na si moyo wake ulimtuma kufanya masuala ya ndoa.Hawajifunzi, yupo mmoja mwaka jana alinicheki akanijulisha anaolewa, nikamwambia poa kila la heri, sikuwa na namba zake akaniuliza ina maana namba zangu ulizifuta zanini, nikamwambia kwa afya ya maisha yako ya mahusiano na ndoa sio vyema kuwa na mawasiliano na mimi. Akaendelea kuongea nikamuuliza jamaa yako anajua una mawasiliano na mimi? Akaomba akate simu hana majibu.
Nikajiuliza huyu mtu anajielewa kweli kwa hatua aliyofikia?
🙂🙂, hapo ujue anataka wote mkose, pia anajilaumu kile alicho kifanya,, yaweza kuwa alifanya kwa mkumbo wa marafiki zake, bila kupembua athari za maisha ya baadae.Ewe mwanamke Kama ulimsaliti mtu na akakuacha kwa amani usiwe kero kwenye maisha yake maana wewe ndo ulikua msaliti.
Nilifikia huko kwa sababu alianza kuhoji kwann nilifuta namba yake alipozidi ili kumzima ndio nikamuhoji hilo la mumewe ili atulize wenge.Kwahiyo kumbe kiroho kilikuwa kinauma.??😂😂😂
Ww ungemjibu Ahsante kwa taarifa na hongera, ndoa njema.!
Sasa maneno ya mmeo anajua km una namba yangu umeyatoa wapi??
Mbona hujamuuliza km “mumeo ana taarifa uliwahi kubanduliwa na mimi” hujamuuliza??
Mtu akishaendekeza mawasiliano na ukaribu na ex basi jua fika bado kuna anachokihitaji. Binafsi nisijue tu ke wangu anawasiliana na ex wake, nikijua namuweka kwenye kundi la mafurushi, na mafurushi huwa yanavurumishwa mbali.. Hapa inaonyesha kuwa aliolewa ili kutimiza maana ya ndoa[ jamaa alikuwa hapendwi ] , na si moyo wake ulimtuma kufanya masuala ya ndoa.
. Na ungejaribu kumuomba 6*6, ingekuwa mapema sana 😑😑.
Akija gheto utamfukuza?? 😜Nilifikia huko kwa sababu alianza kuhoji kwann nilifuta namba yake alipozidi ili kumzima ndio nikamuhoji hilo la mumewe ili atulize wenge.
Naheshimu mahusiano ya watu hasa yakishafikia hatua fulani, nilifanya vile kwa sababu namjua alishaapa kutokunitafuta na namba anablock lakin akikaa ananitafuta.
Kuna siku kanitafuta ananiambia amevaa Tshirt aliyoichukua kwangu, nikabaki nashangaa 😁
Mimi sinaga kinyongo na mtu, hata wabaya wangu nawaombea mema kikubwa wapate mahitaji ya mioyo yao na waridhike.
Kwanini aje? We jirani maswali yako 😂Akija gheto utamfukuza?? 😜
Najiamini nisije nikamtaja my wangu ambae ni my wake na mtu 😁Unaogopa kutaja jirani hujiamini?? 😂😂
Si anarudisha T-shirt yako aliyochukua 😜Kwanini aje? We jirani maswali yako 😂
Mtaje watajuana wenyewe 🤣🤣🤣Najiamini nisije nikamtaja my wangu ambae ni my wake na mtu 😁
Hapo kwenye kuloga inaonekana ni hatari, kuna mwanamke alishawahi kuniambia mimi ni mchawi, inaonekana alizunguka kwa waganga lakini dawa zikadunda.Wapige vizinga imilivu siyo vya kuumiza na wapunguze kwenda kwa waganga kutuloga
Sikumpa chochote ili arudisheSi anarudisha T-shirt yako aliyochukua 😜