Straight Talk: Mwanaume toa ushauri wa moja kwa moja kwa mwanamke kuhusu jambo lolote lile

Straight Talk: Mwanaume toa ushauri wa moja kwa moja kwa mwanamke kuhusu jambo lolote lile

Mtu akishaendekeza mawasiliano na ukaribu na ex basi jua fika bado kuna anachokihitaji. Binafsi nisijue tu ke wangu anawasiliana na ex wake, nikijua namuweka kwenye kundi la mafurushi, na mafurushi huwa yanavurumishwa mbali.
• 😬😬😬, Wapo secret sana hao watu, mpaka ujue uwakamate ni safari ndefu inayo hitaji undercover.

• Anyway maisha ni mafupi sana, tuendelee kula bata, panapo uwezekano.
 
😁😁, haya mambo sijui kwa nini huwa yanajitokeza kwenye jamii, 🤔. Tuseme ni utafutaji au ni hulka ya mtu? 😒
nina mifano halisi kabisa,
kuna pisi mahali fulani ni kali mno kwa sura and for sure pisi zimekamilika kila idara, ni kali sana.....

pisi nyingine zilivurugana kwenye ndoa zikatemana na wenzi wao na wengine hawako kwenye ndoa na ni pisi pisi kweli....

huwez amini mambo matatu yamewatumbikiza kwenye kusagana na kujiuza....

1.umri umeenda, mahitaji ya kimwili na vichocheo vyake na hali ya maisha( life reality forces) yamewaforce kujoin hiyo uchafu...
2. Hasira za kuachwa, kukata tamaa ya ukoelewa au kuzaa wanahisi hawapendeki tena na yeyote...
3. Maradhi mathalani umeme.
 
Wanawake wajitahidi sana wasiwe single maza. Soko lao la kuolewa ni gumu sana

Kwa kumalizia wajitahidi kabla ya 27 wawe wameolewa. Kuanzia 27+ huyo ni msimbe

Nao kama single maza soko la kuolewa ni gumu sana

Wanawake wajitahidi sana wasiwe single maza. Soko lao la kuolewa ni gumu sana.
USingle maza huazia miaka 14,15,16-20 hivi, hapa damu huwa imechemka sana, kama hakuna usimamizi ulio tukuka basi ni ngumu sana kukwepa hicho kikomo,



Kwa kumalizia wajitahidi kabla ya 27 wawe wameolewa. Kuanzia 27+ huyo ni msimbe
Kuolewa ni hatua ya bahati kwa kila mwanamke, ingawa wengine huchezea bahati, bahati ikisha pita basi nao huamka kutafuta hitaji la kuolewa.
 
Hakuna mwanaume anamuangalia msichana nywele zake bandia, kucha wala kope ndo akampenda

Kama mwanaume kakupenda na wewe umempenda usimzungushe sana . Tuna tabia upendo unakata ghafla kinachobaki ni kisasi cha kukupata ili kufidia muda aliopoteza


Ukitaka mwanaume akupe hela mara nyingi mara moja moja jiongeze
Nauli jilipie mara moja moja ukienda kwake, mlipie bill mara moja moja mkitoka out

Mwanaume ashazoea wanawake ambao hawajiongezi ukijiongeza kidogo tu huwa tunakutoa kwenye kundi la walewale tunakuweka kwenye “pengine mama watoto tuu bee”
Trust me😁

tunamwaga pesa sanaa ila tamaa za mwanzo ndo zinasakosesha upate hela toka kwa mwanaume
 
USingle maza huazia miaka 14,15,16-20 hivi, hapa damu huwa imechemka sana, kama hakuna usimamizi ulio tukuka basi ni ngumu sana kukwepa hicho kikomo,




Kuolewa ni hatua ya bahati kwa kila mwanamke, ingawa wengine huchezea bahati, bahati ikisha pita basi nao huamka kutafuta hitaji la kuolewa.
Mabibi na mishangazi ya kuanzia 27+ tunayo mitaani yanajuta nafasi yalizopoteza wakati wakiwa kwenye peak ya urembo wao wakisubiri wenye vibunda
 
Kwahiyo kumbe kiroho kilikuwa kinauma.??[emoji23][emoji23][emoji23]
Ww ungemjibu Ahsante kwa taarifa na hongera, ndoa njema.!
Sasa maneno ya mmeo anajua km una namba yangu umeyatoa wapi??
Mbona hujamuuliza km “mumeo ana taarifa uliwahi kubanduliwa na mimi” hujamuuliza??
Wewe lamomy unaminyege mpaka basi nimekushtukia, bahati mbaya hujapata wakukushughulikia akakupelekea moto mpaka mripuke wote
 
nina mifano halisi kabisa,
kuna pisi mahali fulani ni kali mno kwa sura and for sure pisi zimekamilika kila idara, ni kali sana.....

pisi nyingine zilivurugana kwenye ndoa zikatemana na wenzi wao na wengine hawako kwenye ndoa na ni pisi pisi kweli....

huwez amini mambo matatu yamewatumbikiza kwenye kusagana na kujiuza....

1.umri umeenda, mahitaji ya kimwili na vichocheo vyake na hali ya maisha( life reality forces) yamewaforce kujoin hiyo uchafu...
2. Hasira za kuachwa, kukata tamaa ya ukoelewa au kuzaa wanahisi hawapendeki tena na yeyote...
3. Maradhi mathalani umeme.
• Points zako zimeshiba mkuu, ingawa bado naona sababu hizo wazichukulia maamuzi mapema kabla ya kufikilia vizuri, kuhusu maisha.
• kuachika, kutokuolewa na umeme sioni sababu ya kumpelekea mtu ajiunge na hayo mambo.
 
Hakuna mwanaume anamuangalia msichana nywele zake bandia, kucha wala kope ndo akampenda

Kama mwanaume kakupenda na wewe umempenda usimzungushe sana . Tuna tabia upendo unakata ghafla kinachobaki ni kisasi cha kukupata ili kufidia muda aliopoteza


Ukitaka mwanaume akupe hela mara nyingi mara moja moja jiongeze
Nauli jilipie mara moja moja ukienda kwake, mlipie bill mara moja moja mkitoka out

Mwanaume ashazoea wanawake ambao hawajiongezi ukijiongeza kidogo tu huwa tunakutoa kwenye kundi la walewale tunakuweka kwenye “pengine mama watoto tuu bee”
Trust me😁

tunamwaga pesa sanaa ila tamaa za mwanzo ndo zinasakosesha upate hela toka kwa mwanaume
😁😁, hapo umeeleweka mkuu, maana kichwani inakuwa zimeaki hasira na kisasi, kwa kile alicho kifanya kukuzunguza wakati huo wa utafutaji,

Lakini shida inakuja pale naye mwanamke anakua anaogopa kuliwa kizembe akihofia kuachwa mapema kabla ya malengo yake.
 
Mabibi na mishangazi ya kuanzia 27+ tunayo mitaani yanajuta nafasi yalizopoteza wakati wakiwa kwenye peak ya urembo wao wakisubiri wenye vibunda
, maisha yanaenda speed sana 27+ kwa mwanamke wa sasa kama hajaolewa tayari ndo basi tena,
 
Bila kulipia hupati channel usisahau hilo, wamesha tuharibia hadi hawa mademu zetu wa Kijijini ambao tulikua tunapata free to air channel, wakienda mjini wakirudi bila kulipia hupati matangazo
😂😂😂, sasa hivi vijijini kumechangamka sana, hizo free channel zipo blocked. Labda upate mzee unaweza pata airtime ya bure.
 
• Points zako zimeshiba mkuu, ingawa bado naona sababu hizo wazichukulia maamuzi mapema kabla ya kufikilia vizuri, kuhusu maisha.
• kuachika, kutokuolewa na umeme sioni sababu ya kumpelekea mtu ajiunge na hayo mambo.
hiyo ni kwa uchache sana mkuu, mambo ni mazito ajabu ukiona sababu zingine🐒

utashangaa ,
hii dunia inapelekesha watu mbaya sana aise....

kuna historia ya malezi na makuzi ya hawa dada utatoa machozi ukipata maelezo yake 🐒
mpaka anakwambia hata wew mwenyewe fikiria kwa hali hiyo nawezaje kuacha hii chafu 🤭
 
Back
Top Bottom