Half american
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 38,283
- 97,793
😂 ngoja utajwe weweMtaje watajuana wenyewe 🤣🤣🤣
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😂 ngoja utajwe weweMtaje watajuana wenyewe 🤣🤣🤣
Kwahiyo utaifata mwenyewe uko uko alipo 😂Sikumpa chochote ili arudishe
Wewe nae umedandia treni kwa mbele, msome kwa umakini mtoa mada kaliongelea hilo ndio maana nimemuomba ufafanuzi.Hii ni topic nyengine haihusiani ondoa
Hakuna tatizo, kikubwa ww mwanaume mimi mwanamke 😜🏃♀️🏃♀️🏃♀️🏃♀️😂 ngoja utajwe wewe
Tshirt siitaki niifuate yanini😂Kwahiyo utaifata mwenyewe uko uko alipo 😂
alafu ni majiraniHakuna tatizo, kikubwa ww mwanaume mimi mwanamke 😜🏃♀️🏃♀️🏃♀️🏃♀️
Kumjulia hali 😂Tshirt siitaki niifuate yanini😂
Eee.!! Sisi sote ni majirani haina maana….!!!🏃♀️🏃♀️🏃♀️🏃♀️alafu ni majirani
Sihitaji asinijaribu maana mimi sio Yesu.Kumjulia hali 😂
😂 umenikumbusha mbali nimecheka.Eee.!! Sisi sote ni majirani haina maana….!!!🏃♀️🏃♀️🏃♀️🏃♀️
Kwaheri tutafukuzwa kwenye uzi km siku ileee😂😂😂
Tutafukuzwa ooh!! 🏃♀️🏃♀️🏃♀️😂 umenikumbusha mbali nimecheka.
liwalo na liwe tufukuzwe wote tu jiraniTutafukuzwa ooh!! 🏃♀️🏃♀️🏃♀️
Kaka mzuri ameyakanyaga, nilishamwambia it’s either watu waje kwenye harusi yetu au mazishi 😆😆Wazingatie hayo uliyoyaongeza hapo. Sikupingi
Zingatia usijeshindwana na yule kaka mzuri 😎
Usije ukamroga😁Kaka mzuri ameyakanyaga, nilishamwambia it’s either watu waje kwenye harusi yetu au mazishi 😆😆
waache kukataa tamaa ya kuolewa au kuzaa na kuanza kusagana au kujiuza.
Kwa muda muafaka na wakati wake ufaao bila kuchelewa, Mungu atawabariki ...
😁😁, haya mambo sijui kwa nini huwa yanajitokeza kwenye jamii, 🤔. Tuseme ni utafutaji au ni hulka ya mtu? 😒kusagana au kujiuza
Nawaombea Mema, kikubwa wapate mahitaji ya mioyo yao na waridhike...Nilifikia huko kwa sababu alianza kuhoji kwann nilifuta namba yake alipozidi ili kumzima ndio nikamuhoji hilo la mumewe ili atulize wenge.
Naheshimu mahusiano ya watu hasa yakishafikia hatua fulani, nilifanya vile kwa sababu namjua alishaapa kutokunitafuta na namba anablock lakin akikaa ananitafuta.
Kuna siku kanitafuta ananiambia amevaa Tshirt aliyoichukua kwangu, nikabaki nashangaa 😁
Mimi sinaga kinyongo na mtu, hata wabaya wangu nawaombea mema kikubwa wapate mahitaji ya mioyo yao na waridhike.