Straight Talk: Mwanaume toa ushauri wa moja kwa moja kwa mwanamke kuhusu jambo lolote lile

Straight Talk: Mwanaume toa ushauri wa moja kwa moja kwa mwanamke kuhusu jambo lolote lile

A. Kama mtu hajakukosea au kukuvunjia heshima usimuongeleshe au kumjibu vibaya.
B. Mwanamke ukiwa kwenye taratibu za kuolewa acha mazoea ya kuwasiliana na wanaume hasa ma ex itakugharimu na hawatokuwa na faida yeyote nawewe.
C. Mheshimu, mpende na kumjali mumeo bila kusahau kumuombea , usimloge.
Vichwa vingine vigumu bila kurogwa havikai kwenye mstari 😜
 
1. Tendo la ndoa/ngono vina umri , baada ya muda hivyo hua sio vipaumbele Kwa mwanaume (ukiona kaanza kpunguza Hilo Jua kaanza kukua)

2. Nakazia mwanamke kuwa na kitu Cha ziada Kwa mumewe zaidi ya ngono/tendo la ndoa na kama huna hakikisha unasapot movement zake zote in a positive way.
 
A. Kama mtu hajakukosea au kukuvunjia heshima usimuongeleshe au kumjibu vibaya.
B. Mwanamke ukiwa kwenye taratibu za kuolewa acha mazoea ya kuwasiliana na wanaume hasa ma ex itakugharimu na hawatokuwa na faida yeyote nawewe.
C. Mheshimu, mpende na kumjali mumeo bila kusahau kumuombea , usimloge.
Umeanza vizuri...hapo mwisho umepuyanga sasa kwann asilogwe 🤣🤣🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom