Nadhani ukielewa maana ya neno "Uislam" utaelewa kuwa wote tunazaliwa tukiwa Waislam.Je unazaliwa na kuwa muislam bila kushahadia? Je unaweza kuwa muislam bila kufuata nguzo za uislam? Quran inasema muislam wa kwanza ni nani na ili uwe muislam unatakuwa ufanyaje?
Acha mbwembwe nijibu hapo we ajuza.Nadhani ukielewa maana ya neno "Uislam" utaelewa kuwa wote tunazaliwa tukiwa Waislam.
Unaelewa maana ya neno Uislam?
Huna haja ya kupandisha mzuka, twende taratibu.Acha mbwembwe nijibu hapo we ajuza.
Dustibin, haya vimbilwa hapo na futari wewe maamuma. Nimekudharau rasmi leo, daku njema.Huna haja ya kupandisha mzuka, twende taratibu.
Rudia kunisoma:
Nadhani ukielewa maana ya neno "Uislam" utaelewa kuwa wote tunazaliwa tukiwa Waislam.
Unaelewa maana ya neno Uislam?
Unajuwa maana ya neno Uislam?Dustibin, haya vimbilwa hapo na futari wewe maamuma. Nimekudharau rasmi leo, daku njema.
Mbinguni unapajua? Ushafika?Amemkataa Kristo kuwa Bwana na mwokozi wake!! Hasara iliyoje mbinguni ni huzuni kubwa
Bei ya Magimbi sokoni imepanda kutoka 50,000/- junia 1 hadi 100,000/- junia 1, hivi Ramadhan ni baraka au laana?, hushakhum sio matusiMzize kwa sasa atakuwa akitumia jina la Walid Mzize.
Wewe ndiyo huna ujualo Yesu siyo IsaElimu huna.
Iysah, yehoshuah, Yesu, Jesus
Hii ni noma na Nusu ndio maana Kwarezima inaanza kabla haijaisha inaingia Ramadhan Leo ndio nimeelewa kwanini, inaanza Pasaka alafu Idd El Fitri inafuatia hapo sasa nmeelewa vizuri kweli Yesu ni MuslamuMfuasi wa kweli wa Yesu ni Muislam.
Hongera kwakeMshambuliaji wa klabu ya Yanga Clement Mzize amebadili dini na kuwa muislamu hii leo mbele ya Kaimu Sheikh Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Sheikh Walid Alhad Omari, ikiwa ni siku ya kwanza ya mfungo wa Mwezi Mtukufu wa Ramadhan.
Mzize kwa sasa atakuwa akitumia jina la Walid Mzize.
Ramadhan Kareem
View attachment 2562549
Nadhani ukielewa maana ya neno "Uislam" utaelewa kuwa wote tunazaliwa tukiwa Waislam.
Unaelewa maana ya neno Uislam?
Hii ndiyo Faida ya Mchezaji kupenda Shirki na kutaka Kupandisha Nyota yake ili Kumfunika mwenye Uwezo Uwanjani, Anayejituma Mazoezini na Bingwa wa Kujikinga Kiuchawi ( tena ule Mkali wa Kwao Congo DR ) Fiston Kalala GENTAMYCINE Mayele.Mshambuliaji wa klabu ya Yanga Clement Mzize amebadili dini na kuwa muislamu hii leo mbele ya Kaimu Sheikh Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Sheikh Walid Alhad Omari, ikiwa ni siku ya kwanza ya mfungo wa Mwezi Mtukufu wa Ramadhan.
Mzize kwa sasa atakuwa akitumia jina la Walid Mzize.
Ramadhan Kareem
View attachment 2562549