Striker wa Yanga Clement Mzize abadili Dini

Striker wa Yanga Clement Mzize abadili Dini

Je unazaliwa na kuwa muislam bila kushahadia? Je unaweza kuwa muislam bila kufuata nguzo za uislam? Quran inasema muislam wa kwanza ni nani na ili uwe muislam unatakuwa ufanyaje?
Nadhani ukielewa maana ya neno "Uislam" utaelewa kuwa wote tunazaliwa tukiwa Waislam.

Unaelewa maana ya neno Uislam?
 
Huna haja ya kupandisha mzuka, twende taratibu.

Rudia kunisoma:

Nadhani ukielewa maana ya neno "Uislam" utaelewa kuwa wote tunazaliwa tukiwa Waislam.

Unaelewa maana ya neno Uislam?
Dustibin, haya vimbilwa hapo na futari wewe maamuma. Nimekudharau rasmi leo, daku njema.
 
Mfuasi wa kweli wa Yesu ni Muislam.
Hii ni noma na Nusu ndio maana Kwarezima inaanza kabla haijaisha inaingia Ramadhan Leo ndio nimeelewa kwanini, inaanza Pasaka alafu Idd El Fitri inafuatia hapo sasa nmeelewa vizuri kweli Yesu ni Muslamu
 
Mshambuliaji wa klabu ya Yanga Clement Mzize amebadili dini na kuwa muislamu hii leo mbele ya Kaimu Sheikh Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Sheikh Walid Alhad Omari, ikiwa ni siku ya kwanza ya mfungo wa Mwezi Mtukufu wa Ramadhan.

Mzize kwa sasa atakuwa akitumia jina la Walid Mzize.

Ramadhan Kareem

View attachment 2562549
Hongera kwake
 
Nadhani ukielewa maana ya neno "Uislam" utaelewa kuwa wote tunazaliwa tukiwa Waislam.

Unaelewa maana ya neno Uislam?

Faiza mbona hoja zake hujazibu umejibu kiujanja ujanja

Ngoja ni copy and paste ili ujibu maswali yake

Je unazaliwa na kuwa muislam bila kushahadia?

Je unaweza kuwa muislam bila kufuata nguzo za uislam?

Quran inasema muislam wa kwanza ni nani ?

na ili uwe muislam unatakuwa ufanyaje?
 
Shida c kubadil shida waislamu wanavyoizungumzia
Mara ooh karibu din ya haki as if alikotoka kupoje cjui
Haya mambo nafananisha na mike tyson
 
Mshambuliaji wa klabu ya Yanga Clement Mzize amebadili dini na kuwa muislamu hii leo mbele ya Kaimu Sheikh Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Sheikh Walid Alhad Omari, ikiwa ni siku ya kwanza ya mfungo wa Mwezi Mtukufu wa Ramadhan.

Mzize kwa sasa atakuwa akitumia jina la Walid Mzize.

Ramadhan Kareem

View attachment 2562549
Hii ndiyo Faida ya Mchezaji kupenda Shirki na kutaka Kupandisha Nyota yake ili Kumfunika mwenye Uwezo Uwanjani, Anayejituma Mazoezini na Bingwa wa Kujikinga Kiuchawi ( tena ule Mkali wa Kwao Congo DR ) Fiston Kalala GENTAMYCINE Mayele.
 
Back
Top Bottom