Suala Bandari tunataka uzalendo wa kitaifa siyo Uislamu na Ukristo

Suala Bandari tunataka uzalendo wa kitaifa siyo Uislamu na Ukristo

Kwanini wakristo mnapinga mkataba mzuri kama huu? Hamtaki Tanganyika kuwa kama Dubai?
 
Mleta mada ubarikiwe. Wanaojificha kwenye udini juu ya jambo hili hawana akili kabisa au ni walemavu wa akili.
 
Mbona kampaini za kupinga mkataba wa bandari zina ongozwa na viogozi wa kanisa katoliki kama kadinari Mpengo. Kampaini ziko wazi wazi ndani ya kanisa katoliki kwa nini?

Kanisa nitaasisi inayojitegemea na kujisimamia,achana na zile zingine ambazo ni rubber stamp za serikali ya kifisadi,
 
Zanzibar Hoyeeeeeeeeeeee......eeeeeeeee........eeeeee


Tanganyika Ziiiiiiiiiiiiiiiiiiiii.......iiiiiii


Haya tuendelee na kazi
 
Kuna watu wanataka kugeuza issue ya Bandari zetu kuwa ya dini... Kusema kwamba watu hawataki DP world kisa ni waislamu ni upotoshaji mchana kweupe..and cheap politics ujinga na kukosa hoja.

Sisi hatutaki mwekezaji tumkabidhi rasilimali zenu Kwa upendeleo wowote ule. Eti kisa Raisi ni muislamu wawekezaji waislamu wafanye wanavyotaka Big NO NO... Nchi Hii ni ya wantazania walio na wasio na dini

The Same applies to Christians huwezi kugeuza Tanzania kuwa Vatican. Hoja ya msingi hapa ni ulinzi wa Rasilimali zetu Over. Mwekezaji unamkabidhi bandari zenú zooote milele Kwa mashariti maandazi whaaat .

Msitupotezee lengo letu Sisi Huo mkataba wa kindwanzi hatuutaki. Kama ni u dini Mbona Araabs contractors walipewa Tenda ujenzi bwawa la Nyerere hatukulalamika kikubwa ni uwazi kwenye mikataba

Tatizo Hapa mkataba ni Mbovu uliosainiwa kihuni, unakiuka katiba ya jamhuri ya muungano. Mtanzania yeyote ana wajibu wa kulikemea hili swala waziwazi bila kujificha ndo maana na viongozi wa dini nao wametoa Neno....

DP World afanye KAZI alizokuwa anafanya TICS Kwa mkataba wenye maslshi kwa Taifa, Hakuna anayekataa wawekezaji.

Uislamu na ukristo hatuutaki Kwenye issue ya Banari tunataka Utaifa.
Hapana, siyo upotoshaji. Huo ndiyo ukweli.

Mbona huo uzalendo hatukuuona alipokuwepo TICTS?
 
Uzalendo tunaoutaka sasa ni misamaha yote ya kodi ya taasisi za kidini na wabunge ifutwe:

Mbona hilo mpo kimya?

 
Mbona kampaini za kupinga mkataba wa bandari zina ongozwa na viogozi wa kanisa katoliki kama kadinari Mpengo. Kampaini ziko wazi wazi ndani ya kanisa katoliki kwa nini?
Sasa ukiwa mkataba mbovu unataka akae kimya au shida yako ni askofu. Miafrica ni bongolala aisee. Mi nikafikir ungempongeza kwa kuvunja miiko kusaidia taifa kuingia hasara kumbe kwako ni tatizo. Ndio kawaida ya watu dhaifu lakin. Mnamjadili mtu badala ya hoja.
 
Back
Top Bottom