Naanto Mushi
JF-Expert Member
- Oct 16, 2015
- 6,236
- 15,677
Lakini kwanini usimuulize mkuu wa shule? Kwani ulilazimishwa kumpeleka hiyo shule?Tatizo mtoto hayupo shule.
UNALIPA ADA YA NINI?
"baba unahonga hawara elfu kumi,
watoto wanakufa na njaa nyumbani"
Hivi Kwanini huwa hushughulishi ubongo wako? Ada ya shule ni mwaka mzima! Ila kwa huruma ya shule inaweza kulipwa kwa awamu. Mtoto akisajiliwa ni jukumu la mzazi kulipa ada. Huduma gani unadai? Anatakiwa kulipa in advance kama ambavyo unaweka kifurushi cha maongezi au data katika simu yako na haijalishi hukukitumia kwa vile simu yako ni mbovu na baada ya mwezi kinakatika huwezi wadai Voda
Ndiko tulikotoka wataalamuHyo elimu Bora ni darasa moja wanafunzi wamejirundika Hadi ubaoni halafu chini, ndo elimu Bora huku wakiongoza na zero
Sent using Jamii Forums mobile app
Hao wazazi wanatoa wp hela kipindi hiki kigumu!!!??Una kataa kulipa ada hao waalimu wana familia pia, wazazi, watoto nk wale nini? Tufikirie mara mbili juu kwenye kila jambo
Hyo elimu Bora ni darasa moja wanafunzi wamejirundika Hadi ubaoni halafu chini, ndo elimu Bora huku wakiongoza na zero
Sent using Jamii Forums mobile app
Nitajie public figure aliyesoma international katika viongoziWataalamu wapi Yani shule walimu wawili shule nzima wanafunzi 1000 hapa tunaangalia quality ya elimu unaweza hata ku compete East Africa
Sent using Jamii Forums mobile app
Ukiona hivyo hujue shule level za academic is not for you, maana hata huko IST ada bado zinalipwa na husikii wazazi wakilalamika..
Inategemea shule anayosoma mwanao ni level gani. Kama level za juu lazima ulipe tu. Hutaki muhamishe mwanao maana hawajakulazimisha kumpeleka kwao
Mkuu usihangaike na misukule hata hela ya kununulia chunvi makwao haitoi....Shida sio level ya shule watoto wako nyumbani why ulipe full amount ya hela zote it's not about level ya shule unaona sawa tu kwa Jambo hili lilivokuja ghafla hafu kwa mazingira yetu ya kitanzania yalivo hata ukisema online vyuo vikubwa vyenyewe havifanyi hivo. Hyo IST inachukua wanafunzi hawafiki 200 nchi nzima hapa tunaongelea majority ya shule za academy za kingereza?
Sent using Jamii Forums mobile app
Huna watoto wanasoma hizo shule mabuttock yako!!!Lakini mleta mada unachekesha,mkataba ni kulipa ada kwa tem mbili kwa mwaka.Sasa hii term haijaisha lazima ulipe ada ya watu.June lazima siku zitafiidiwa je hilo haujiulizi?
Sent using Jamii Forums mobile app
Hakuna sehemu wamesema usipolipa Basi mwanao atafukuzwa shule, bali failing to pay your child would be excluded from online activities organised by the school as well as promotion to the next level. Maamuzi ni yako
wataje sasa hao mazezeta wakoHao wabongo walio foji elimu wengi zero vyeti na hawana Cha ku deliver waloosoma international School exposure yao kubwa wengi wanafanya ka international expert kwenye mashirika makubwa huko nje.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mleta maada siyo mjinga yeye hana uhakika kama maisha yatarudi baki to normal au ndiyo yatakua wesi zaidi kwenye hili Janga la Corona!PUMBA
Shida sio level ya shule watoto wako nyumbani why ulipe full amount ya hela zote it's not about level ya shule unaona sawa tu kwa Jambo hili lilivokuja ghafla hafu kwa mazingira yetu ya kitanzania yalivo hata ukisema online vyuo vikubwa vyenyewe havifanyi hivo. Hyo IST inachukua wanafunzi hawafiki 200 nchi nzima hapa tunaongelea majority ya shule za academy za kingereza?
Sent using Jamii Forums mobile app
Una uhakika na hiki ulichokiandika? How do you monitor and evaluate kabla ya kulipa ada? Acha utoto wenu wa kupinga pinga kila kitu. Mwanzisha mada alimpeleka shule kwa hiari yake ni lazima alipe ada ya mwaka mzima. Haya mambo ya kusubiri hadi mtoto aende shule ni irrelevant. Kama mtoto yupo darasa la 5 mfano, yeye analipa mpaka kumaliza darasa la tano....... Mzazi analipa ada kutokana na huduma atakayopata mtoto wake, ......
Una uhakika na hiki ulichokiandika? How do you monitor and evaluate kabla ya kulipa ada? Acha utoto wenu wa kupinga pinga kila kitu. Mwanzisha mada alimpeleka shule kwa hiari yake ni lazima alipe ada ya mwaka mzima. Haya mambo ya kusubiri hadi mtoto aende shule ni irrelevant. Kama mtoto yupo darasa la 5 mfano, yeye analipa mpaka kumaliza darasa la tano.
GUSSIE hiyo ada ya elfu ishirini iliishia 2015. Kuanzia mwaka 2016 elimu ya msingi na O-Level ni BURE!!!!!!!!!!