Eng. Zezudu
JF-Expert Member
- Aug 23, 2012
- 8,024
- 11,546
Mi nimejiandikisha na kura ndapiga . Sijawahi piga kura Ila saizi nimefuatilia sana kitambulisho . Option yangu ni kwamba Mbunge atakuwa CCM raisi optional atakaye faa .Vijana hawa hawa ambao wameshajiapia kutokupiga kura.?
Na wengine hata kwenye daftari la wapiga kura hawajajiandikisha.? Labda
Hii tume ndo shida Mana huwa inatangaza viceversa. Ila mda mwingine . Ila mda mwingine unaweza chagua mwenyekiti wa tume hafu akatenda hakiHahaha alisema inategemea ameamkaje siku hiyo, anaweza akawateua vijana wote wasiokuwa na ajira wakawa ma naibu wakuu wa wilaya na mikoa, akawa ame solve tatizo lako kwa siku hiyo moja.
Kuna wizara kuna manaibu wawili, anaweza ongeza wakawa 10 kila wizara au 100, yule mkitaka hilo msifieni tu.
Mkimponda hakawii kufukuza hata wapiga kura, anafahamu mshindi ni anayetangazwa na tume ya uchaguzi, siyo anayeshinda uchaguzi.
Alishinda kihalali Ila 2010 alichechemea sababu ya fisadi uliojitokeza katika serikali yake.2005 JK alishinda kihalali
Labda ingekuwa vijana wa US. au hata vijana wa Kenya. Hawa waliolewa moshi wa koroboi wala usiwahesabie. Hawajitambui.
Nchi za mbele ajira ni haki ya vijana but Tanzania mnaambiwa chapeni kazi while kazi zenyewe hatoi
we hujui kitu kaa kimya! Mbona jk aliajiri na utawala huu msisitizo ni watu kujiajiri. Hii serikali ina manufaa gani sasa kwa vijana na watu wote kwa ujumla. Pili lina maisha huwa yanasimama ili kupisha miundombinu ijengwe kwanza! We hujitambui
Kipengele gani cha katiba au sheria gani inasema Raisi anawajibu wa kukutafutia kazi?
Kuzaa azae mama yako, kusoma usomeshwe na serikali, tena ikukopeshe pesa ya kujikimu shule, ukitoka shule tena serikali ikutafutie ajira. Mwishowe mtataka serikali iwaolee na kuwazalia.
Hivi wazazi wenu majukumuu yao ni kustarehe tu kukuzaa? Au raisi ndo alimdunga mimba mama yako?
Vijana mlioenda shule, mnazidiwa na akina Zuckerberg ambao hata shule hawakumaliza? Mnashindwa kutafsiri mliyokariri darasani kuwa nadharia?
Mnashindwa hata kuwa inspired na akina Kishimba, Laizer, etc walioshindwa hata kufika darasa la 7?
Kaazi kwelikweli.
By Ally Kesi, Namanyele NkasiNa ATAKE ASITAKE 2025 Tutamuongezea muda tu.
Rais Wa Jamhuri Ya Muungano Wa TanzaniaKujiajiri nako pia ni ajira sio lazima ile ya serikali tu vijana wengi wamejiajiri na wanaipenda CCM.
wachaneNakuunga mkuu Uvivu+ ngono vyuoni + kutokujielewa
yaani bado sana,mtu anazeekea kwao ana miaka 30 anatafuta ajira!
Changamoto iliyopo saiv ni umuchknow sana! + ujuaji ndio maana wazee wenye busara zao bado wanazeekea huko makazini ilihali vijana kila kukicha vilio tuu
hakuna nchi duniani hakuna tatizo la ajira, USA na ukubwa wake wa dollar ila serikali imepelekwa mahakamani kisa tatizo la ajira, kama ndo mmepanga kutumia hii kama gia nawapa tu pole maaana magufuli is here to stay
Sahihi mkuu,Rais Wa Jamhuri Ya Muungano Wa Tanzania
John Pombe Joseph Magufuli
Atuongoze Tu
Five yrs hamna ajira umeshaiona wapi hii!
Piga usipige mshindi ni kijani atatangazwa tuuSimpigii kura yangu mwana wa kijani yeyote kama mbwai mbwai tu