Suala la China vs Taiwan, vita ya Urusi na Ukraine. Kusema ukweli kuna mataifa yametu-disappoint sana. A luta continua

Suala la China vs Taiwan, vita ya Urusi na Ukraine. Kusema ukweli kuna mataifa yametu-disappoint sana. A luta continua

Komeo Lachuma

JF-Expert Member
Joined
Oct 31, 2014
Posts
7,926
Reaction score
17,030
Kiukweli niliwaamini sana Urusi, sasa sina imani nao. Hii vita kwa nguvu ambazo wanazo Russia ilikuwa waimalize ndani ya week moja zikizidi mbili. Sasa sielewi kwa nini wanapiga dana dana nyingi sana?!

Russia ni Taifa ambalo tumekuwa tukitegemea liitishe Marekani. Sasa Ukraine ka nchi ambako kamejibanza pembeni ya Russia tu kweli ka kuchukua miezi miwili kukachapa?

Yericko Nyerere alianza kuwa anaandika makala zake akitufurahisha sisi mashabiki wa Russia, sasa hata hataki tena kuandika. Russia wamefikia hatua wanatumia wafungwa vitani, hii wadau imekaaje? Very unprofessional.

Putin atakuwa anashauriwa vibaya. Russia tupo ndani ya Ukraine tunashindwa nini kumaliza mchezo? Kwa nini danadana nyingi na passes ambazo hazina maana?

Na tunajua namna ambayo Russia amewasubiria NATO ili awachape na NATO Wameogopa. Sasa hapo ndo palikuwa pa kutoa somo. Haya mambo nashindwa kuyaelewa kabisa. Maana nikitizama kule Taiwan naona China nao waliishia tu kupiga jalamba, mpaka leo hii hawaiingii uwanjani wanafanya tu mazoezi.

Natamani sana Marekani apate kipigo maana amezidi ubabe. Kama vipi China na Russia waungane wamchape, tuangalie kipigo kinavyotolewa.

Yericko ulitupa matumaini sana sisi ndugu na jamaa zako kwa Russia. Ila sasa naona kama umepoa sana. Hebu tengeneza makala ya kututia nguvu please. Wewe ni Jasusi wa Kimataifa na unajua sana haya mambo ya Kivita. Tuambie Russia hapa wanatumia mbinu gani kuchelewesha hivi vita?

Au basi angalau andika kuwa vita Russia walishamaliza kitambo sema tu zimebaki propaganda n.k, maana mtaani kuna jamaa ananisumbua kinyama. Karibuni wana Russia wenzangu. A luta Continua Mpaka kieleweke.

Yericko Nyerere et al tusiache kupeana support please.
 
Jana meli za vita za Marekani zimepita kwenye ghuba ya Taiwan na kuzizima kabisa sauti za chura zilizokuwa zikisikika zikipiga kelele!

1661755388787.png
 
Hivi Ukrein kasha rudisha hata shamba moja ambalo Urusi amesha chukua?

Mkuu vita ina Mambo mengi Sana hata huyu USA alichezea kichapo Cha dog Somalia mpaka kutoka nduki Sasa jiulize Somalia kweli niya kumfanya USA akimbia kwenye mapigano?

Hii Urusi tena kipindi ikiwa kwenye ule muungano wa nchi za kijamaa na nguvu zote lakini ilishindwa kuitawala Graveyard empire ndani ya miaka 10.

Hivyo hivyo kwa USA amekaa ndani ya Graveyard empire kwa miaka 20 mwisho kakimbia na kuwa acha wavaa kobazi wakitawala nchi yao.

Tuache ushabiki wa kushabikia Vita kisa tu ushabiki maandazi wa pro-usa +eu na pro-urusi + china.kingine muhimu movie zimeharibu akili za watu.
 
Jana meli za vita za Marekani zimepita kwenye ghuba ya Taiwan na kuzizima kabisa sauti za chura zilizokuwa zikisikika zikipiga kelele!
Hii kitu mimi binafsi mkuu nilikuwa napenda kuona USA akipitisha meli zake kwenye Bahari nyeusi karibu na interest za Urusi tuone majibu yangekuwaje.

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Ukiachilia MAKALA za Yeriko kuna Bwana mmoja humu Jf (jina lake moja ni la chuo maarufu uku Urusi) ni msomi kweli kweli before ya huu uvamizi wa Russia alikuwa akianza kuelezea uwezo wa Urusi na akili za Putini zilivyo katika nyuzi zake wewe msomaji unabaki kusema basi, basi basi:

Acha Urusi iwe na nguvu za kupiga nchi zote za Nato kwa wakati mmoja. alikuwa anachambua kila engo ya kwanini Urusi inauwezo wa kupiga nchi zote za Nato kwa wiki kadhaa. kwa kuwa ni mjuzi wa mambo na msomi anajua ku- analyse mambo wewe msomaji utabaki bila mashaka dhidi ya alichokiandika.

Mara ya mwisho kuona komenti yake kwenye ili jukwaa la kimataifa ususani vita ya Ukraine ni pale Urusi ilipoanza kupitisha ule msafara wa 64 kilometers na kuanza mashambulizi, aliandika koment ya kusifia vile Putin alivyo Genius, ili kusapoti hoja yake akeleta clip ya Baba yake na Bush na kiongozi mmoja mkubwa wa US wakielezea uwezo mkubwa wa akili wa Putin.. Mara mambo yalivyobadilika hajawai kukoment tena.. mara nyingi yupo kwenye jukwaa la mapenzi na ule uzi wa WA MWISHO NDIYE MSHINDI.

NILICHOJIFUNJA:
Takwimu za kwenye makalatasi na Field ni Mbingu na Ardhi jamaaa amekuwa dispointed na ili kutoutonesha moyo wake ameamua kuwasusia Jukwaaa lenu la kimataifa😂😂
 
Putin na nchi za kijamaa ni kama mandonga tu maneno mengi propaganda kibao. Vita hii imewa expose sana urusi.

Mashabiki wao wengine walisema urusi bado hajaanza kutumia red army anatumia mercenaries ajabu ma luten wanatangazwa kufa kila uchao.

Sasahivi hali ni tete naimani hata wale waliokuwa wakiogopa sahiv wanaomba ajichanganye wampasue.
 
Ukiachilia MAKALA za Yeriko kuna Bwana mmoja humu Jf (jina lake moja ni la chuo maarufu uku Urusi) ni msomi kweli kweli before ya huu uvamizi wa Russia alikuwa akianza kuelezea uwezo wa Urusi na akili za Putini zilivyo katika nyuzi zake wewe msomaji unabaki kusema basi, basi basi:

Acha Urusi iwe na nguvu za kupiga nchi zote za Nato kwa wakati mmoja. alikuwa anachambua kila engo ya kwanini Urusi inauwezo wa kupiga nchi zote za Nato kwa wiki kadhaa. kwa kuwa ni mjuzi wa mambo na msomi anajua ku- analyse mambo wewe msomaji utabaki bila mashaka dhidi ya alichokiandika.

Mara ya mwisho kuona komenti yake kwenye ili jukwaa la kimataifa ususani vita ya Ukraine ni pale Urusi ilipoanza kupitisha ule msafara wa 64 kilometers na kuanza mashambulizi, aliandika koment ya kusifia vile Putin alivyo Genius, ili kusapoti hoja yake akeleta clip ya Baba yake na Bush na kiongozi mmoja mkubwa wa US wakielezea uwezo mkubwa wa akili wa Putin.. Mara mambo yalivyobadilika hajawai kukoment tena.. mara nyingi yupo kwenye jukwaa la mapenzi na ule uzi wa WA MWISHO NDIYE MSHINDI.

NILICHOJIFUNJA:
Takwimu za kwenye makalatasi na Field ni Mbingu na Ardhi jamaaa amekuwa dispointed na ili kutoutonesha moyo wake ameamua kuwasusia Jukwaaa lenu la kimataifa😂😂
Bcc: MALCOM LUMUMBA, gwiji la uchambuzi makala za kimedani ndani ya JF.
 
Putin na nchi za kijamaa ni kama mandonga tu maneno mengi propaganda kibao. Vita hii imewa expose sana urusi.

Mashabiki wao wengine walisema urusi bado hajaanza kutumia red army anatumia mercenaries ajabu ma luten wanatangazwa kufa kila uchao.

Sasahivi hali ni tete naimani hata wale waliokuwa wakiogopa sahiv wanaomba ajichanganye wampasue.
... Mandonga la kimataifa; eti atazipiga nchi zote za NATO at par huku wapiganaji wake maelfu wanastawisha mapori ya Ukraine.
 
Sasa hivi sisikiag tena hypersonic missile ,Satan2 ,yan kimyaa kichapo kimemvuruga mpaka anahisi silaha zake ni cha mtoto ,ngoja tumalize kulipua kambi zote na madaraja alafu anawekwa kati ,yaan ataomba had museven aje kumwokoa
 
Lengo la uvamizi wa Putin ilikuwa ni kuchukua mashamba ya Ukraine??
Hivi Ukrein kasha rudisha hata shamba moja ambalo Urusi amesha chukua?

Mkuu vita ina Mambo mengi Sana hata huyu USA alichezea kichapo Cha dog Somalia mpaka kutoka nduki Sasa jiulize Somalia kweli niya kumfanya USA akimbia kwenye mapigano?

Hii Urusi tena kipindi ikiwa kwenye ule muungano wa nchi za kijamaa na nguvu zote lakini ilishindwa kuitawala Graveyard empire ndani ya miaka 10.

Hivyo hivyo kwa USA amekaa ndani ya Graveyard empire kwa miaka 20 mwisho kakimbia na kuwa acha wavaa kobazi wakitawala nchi yao.

Tuache ushabiki wa kushabikia Vita kisa tu ushabiki maandazi wa pro-usa +eu na pro-urusi + china.kingine muhimu movie zimeharibu akili za watu.
 
Lumumba University[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Ukiachilia MAKALA za Yeriko kuna Bwana mmoja humu Jf (jina lake moja ni la chuo maarufu uku Urusi) ni msomi kweli kweli before ya huu uvamizi wa Russia alikuwa akianza kuelezea uwezo wa Urusi na akili za Putini zilivyo katika nyuzi zake wewe msomaji unabaki kusema basi, basi basi:

Acha Urusi iwe na nguvu za kupiga nchi zote za Nato kwa wakati mmoja. alikuwa anachambua kila engo ya kwanini Urusi inauwezo wa kupiga nchi zote za Nato kwa wiki kadhaa. kwa kuwa ni mjuzi wa mambo na msomi anajua ku- analyse mambo wewe msomaji utabaki bila mashaka dhidi ya alichokiandika.

Mara ya mwisho kuona komenti yake kwenye ili jukwaa la kimataifa ususani vita ya Ukraine ni pale Urusi ilipoanza kupitisha ule msafara wa 64 kilometers na kuanza mashambulizi, aliandika koment ya kusifia vile Putin alivyo Genius, ili kusapoti hoja yake akeleta clip ya Baba yake na Bush na kiongozi mmoja mkubwa wa US wakielezea uwezo mkubwa wa akili wa Putin.. Mara mambo yalivyobadilika hajawai kukoment tena.. mara nyingi yupo kwenye jukwaa la mapenzi na ule uzi wa WA MWISHO NDIYE MSHINDI.

NILICHOJIFUNJA:
Takwimu za kwenye makalatasi na Field ni Mbingu na Ardhi jamaaa amekuwa dispointed na ili kutoutonesha moyo wake ameamua kuwasusia Jukwaaa lenu la kimataifa[emoji23][emoji23]
 
Kiukweli niliwaamini sana Urusi, sasa sina imani nao. Hii vita kwa nguvu ambazo wanazo Russia ilikuwa waimalize ndani ya week moja zikizidi mbili. Sasa sielewi kwa nini wanapiga dana dana nyingi sana?!

Russia ni Taifa ambalo tumekuwa tukitegemea liitishe Marekani. Sasa Ukraine ka nchi ambako kamejibanza pembeni ya Russia tu kweli ka kuchukua miezi miwili kukachapa?

Yericko Nyerere alianza kuwa anaandika makala zake akitufurahisha sisi mashabiki wa Russia, sasa hata hataki tena kuandika. Russia wamefikia hatua wanatumia wafungwa vitani, hii wadau imekaaje? Very unprofessional.

Putin atakuwa anashauriwa vibaya. Russia tupo ndani ya Ukraine tunashindwa nini kumaliza mchezo? Kwa nini danadana nyingi na passes ambazo hazina maana?

Na tunajua namna ambayo Russia amewasubiria NATO ili awachape na NATO Wameogopa. Sasa hapo ndo palikuwa pa kutoa somo. Haya mambo nashindwa kuyaelewa kabisa. Maana nikitizama kule Taiwan naona China nao waliishia tu kupiga jalamba, mpaka leo hii hawaiingii uwanjani wanafanya tu mazoezi.

Natamani sana Marekani apate kipigo maana amezidi ubabe. Kama vipi China na Russia waungane wamchape, tuangalie kipigo kinavyotolewa.

Yericko ulitupa matumaini sana sisi ndugu na jamaa zako kwa Russia. Ila sasa naona kama umepoa sana. Hebu tengeneza makala ya kututia nguvu please. Wewe ni Jasusi wa Kimataifa na unajua sana haya mambo ya Kivita. Tuambie Russia hapa wanatumia mbinu gani kuchelewesha hivi vita?

Au basi angalau andika kuwa vita Russia walishamaliza kitambo sema tu zimebaki propaganda n.k, maana mtaani kuna jamaa ananisumbua kinyama. Karibuni wana Russia wenzangu. A luta Continua Mpaka kieleweke.

Yericko Nyerere et al tusiache kupeana support please.
Mkuu hiyo sio vita kamili ni special ops ya raia wanaongea ki russia kujitenga na ukraine.kwahiyo inabidi wawe waangalivu wasiue raia wao na pia usisahau kuwa waukraine ni ndugu wa russia.vita kamili ni kama ilivyokuwa WW2 ambapo warussia walimpiga mjerumani hadi nyumbani kwake au vita ya chenchnyia.Russia anataka kuimega tu Ukraine kitu ambacho wamefanikiwa pia alikuwa anataka hicho kinu cha nuclear.
 
Hii kitu mimi binafsi mkuu nilikuwa napenda kuona USA akipitisha meli zake kwenye Bahari nyeusi karibu na interest za Urusi tuone majibu yangekuwaje.

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Ana pima mizani Kuna watu wakuwaletea madharau na kuna watu ambao hawataki madharau . Mfanyie madharu madonga hatokufanya kitu kibaya Ila mfanyie madharu Tyson moja kwa moja ICU .

# U.S.A hawezi kumletea madharau Russia Kama haya anayo mfanyia China.
 
Ukiachilia MAKALA za Yeriko kuna Bwana mmoja humu Jf (jina lake moja ni la chuo maarufu uku Urusi) ni msomi kweli kweli before ya huu uvamizi wa Russia alikuwa akianza kuelezea uwezo wa Urusi na akili za Putini zilivyo katika nyuzi zake wewe msomaji unabaki kusema basi, basi basi:

Acha Urusi iwe na nguvu za kupiga nchi zote za Nato kwa wakati mmoja. alikuwa anachambua kila engo ya kwanini Urusi inauwezo wa kupiga nchi zote za Nato kwa wiki kadhaa. kwa kuwa ni mjuzi wa mambo na msomi anajua ku- analyse mambo wewe msomaji utabaki bila mashaka dhidi ya alichokiandika.

Mara ya mwisho kuona komenti yake kwenye ili jukwaa la kimataifa ususani vita ya Ukraine ni pale Urusi ilipoanza kupitisha ule msafara wa 64 kilometers na kuanza mashambulizi, aliandika koment ya kusifia vile Putin alivyo Genius, ili kusapoti hoja yake akeleta clip ya Baba yake na Bush na kiongozi mmoja mkubwa wa US wakielezea uwezo mkubwa wa akili wa Putin.. Mara mambo yalivyobadilika hajawai kukoment tena.. mara nyingi yupo kwenye jukwaa la mapenzi na ule uzi wa WA MWISHO NDIYE MSHINDI.

NILICHOJIFUNJA:
Takwimu za kwenye makalatasi na Field ni Mbingu na Ardhi jamaaa amekuwa dispointed na ili kutoutonesha moyo wake ameamua kuwasusia Jukwaaa lenu la kimataifa[emoji23][emoji23]
Ha ha ha ha ha ha ha mkuu jamaa anaitwa nani huyo?
 
Back
Top Bottom