Sasa ndo mbna US kaingilia na kutoa msaada ( alisema ataesaidia Ukraine, na US kasaidia mpaka kesho)Una elewa nini Putin aliposema atakaye ingilia O.P yake hapo Ukraine atampiga pigo la kihistoria ?
TatizoKiukweli niliwaamini sana Urusi, sasa sina imani nao. Hii vita kwa nguvu ambazo wanazo Russia ilikuwa waimalize ndani ya week moja zikizidi mbili. Sasa sielewi kwa nini wanapiga dana dana nyingi sana?!
Russia ni Taifa ambalo tumekuwa tukitegemea liitishe Marekani. Sasa Ukraine ka nchi ambako kamejibanza pembeni ya Russia tu kweli ka kuchukua miezi miwili kukachapa?
Yericko Nyerere alianza kuwa anaandika makala zake akitufurahisha sisi mashabiki wa Russia, sasa hata hataki tena kuandika. Russia wamefikia hatua wanatumia wafungwa vitani, hii wadau imekaaje? Very unprofessional.
Putin atakuwa anashauriwa vibaya. Russia tupo ndani ya Ukraine tunashindwa nini kumaliza mchezo? Kwa nini danadana nyingi na passes ambazo hazina maana?
Na tunajua namna ambayo Russia amewasubiria NATO ili awachape na NATO Wameogopa. Sasa hapo ndo palikuwa pa kutoa somo. Haya mambo nashindwa kuyaelewa kabisa. Maana nikitizama kule Taiwan naona China nao waliishia tu kupiga jalamba, mpaka leo hii hawaiingii uwanjani wanafanya tu mazoezi.
Natamani sana Marekani apate kipigo maana amezidi ubabe. Kama vipi China na Russia waungane wamchape, tuangalie kipigo kinavyotolewa.
Yericko ulitupa matumaini sana sisi ndugu na jamaa zako kwa Russia. Ila sasa naona kama umepoa sana. Hebu tengeneza makala ya kututia nguvu please. Wewe ni Jasusi wa Kimataifa na unajua sana haya mambo ya Kivita. Tuambie Russia hapa wanatumia mbinu gani kuchelewesha hivi vita?
Au basi angalau andika kuwa vita Russia walishamaliza kitambo sema tu zimebaki propaganda n.k, maana mtaani kuna jamaa ananisumbua kinyama. Karibuni wana Russia wenzangu. A luta Continua Mpaka kieleweke.
Yericko Nyerere et al tusiache kupeana support please.
Counter offensive ya Kherson yafanyika muda huuHivi Ukrein kasha rudisha hata shamba moja ambalo Urusi amesha chukua?
Mkuu vita ina Mambo mengi Sana hata huyu USA alichezea kichapo Cha dog Somalia mpaka kutoka nduki Sasa jiulize Somalia kweli niya kumfanya USA akimbia kwenye mapigano?
Hii Urusi tena kipindi ikiwa kwenye ule muungano wa nchi za kijamaa na nguvu zote lakini ilishindwa kuitawala Graveyard empire ndani ya miaka 10.
Hivyo hivyo kwa USA amekaa ndani ya Graveyard empire kwa miaka 20 mwisho kakimbia na kuwa acha wavaa kobazi wakitawala nchi yao.
Tuache ushabiki wa kushabikia Vita kisa tu ushabiki maandazi wa pro-usa +eu na pro-urusi + china.kingine muhimu movie zimeharibu akili za watu.
😂😂😂Lengo la uvamizi wa Putin ilikuwa ni kuchukua mashamba ya Ukraine??
🤣🤣🤣 Umenikumbusha huyu jamaa sijui amepotelea wapi....Kuna mwingine anaitwa ELUNGATA huyu Naye alikuwa mbobezi sana akiisifu urusi katika masuala ya kivita, naona Naye kaishia mitini
Ulimnukuu vibaya PutinSasa ndo mbna US kaingilia na kutoa msaada ( alisema ataesaidia Ukraine, na US kasaidia mpaka kesho)
Hahahaha huyu naona kaamua achutame tuu,bado Bukyagand[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Umenikumbusha huyu jamaa sijui amepotelea wapi....
Nahisi kabadili ID[emoji23]
Ndugu, ukalianzisha halafu ukakimbia kivuli chako. Ile nyuzi yenye majibu yangu kuhusu hizi kashfa zako uko wapi ???Ukiachilia MAKALA za Yeriko kuna Bwana mmoja humu Jf (jina lake moja ni la chuo maarufu uku Urusi) ni msomi kweli kweli before ya huu uvamizi wa Russia alikuwa akianza kuelezea uwezo wa Urusi na akili za Putini zilivyo katika nyuzi zake wewe msomaji unabaki kusema basi, basi basi:
Acha Urusi iwe na nguvu za kupiga nchi zote za Nato kwa wakati mmoja. alikuwa anachambua kila engo ya kwanini Urusi inauwezo wa kupiga nchi zote za Nato kwa wiki kadhaa. kwa kuwa ni mjuzi wa mambo na msomi anajua ku- analyse mambo wewe msomaji utabaki bila mashaka dhidi ya alichokiandika.
Mara ya mwisho kuona komenti yake kwenye ili jukwaa la kimataifa ususani vita ya Ukraine ni pale Urusi ilipoanza kupitisha ule msafara wa 64 kilometers na kuanza mashambulizi, aliandika koment ya kusifia vile Putin alivyo Genius, ili kusapoti hoja yake akeleta clip ya Baba yake na Bush na kiongozi mmoja mkubwa wa US wakielezea uwezo mkubwa wa akili wa Putin.. Mara mambo yalivyobadilika hajawai kukoment tena.. mara nyingi yupo kwenye jukwaa la mapenzi na ule uzi wa WA MWISHO NDIYE MSHINDI.
NILICHOJIFUNJA:
Takwimu za kwenye makalatasi na Field ni Mbingu na Ardhi jamaaa amekuwa dispointed na ili kutoutonesha moyo wake ameamua kuwasusia Jukwaaa lenu la kimataifa[emoji23][emoji23]
Bwana Utam umshana Champagnee lee van cliff TUJITEGEMEE Mathanzua 1954 Econometrician dudus HIMARS Missile of the Nation ...mjibuni mdauKiukweli niliwaamini sana Urusi, sasa sina imani nao. Hii vita kwa nguvu ambazo wanazo Russia ilikuwa waimalize ndani ya week moja zikizidi mbili. Sasa sielewi kwa nini wanapiga dana dana nyingi sana?!
Mleta mada hili halikustui!? Mfungwa anapewa mafunzo anaenda kupigana na nchi inayoungwa Mkono na NATO? Na wafungwa hao wakitumia kampuni ya ulinzi wanafanya kazi iliyotukuka kwa kiwachapa hao neo Nazi wanoungwa Mkono na NATO kwa rasilimali watu na fedha? Bado husituki?Russia wamefikia hatua wanatumia wafungwa vitani, hii wadau imekaaje? Very unprofessional.
Nimemjibu! Leta swali la mwingine. Ha ha ha haaaa
Akirusha kombora wamarekani wanamfira PuttinMbna anamsaidia Direct Ukraine kwa kutuma silaha na Russia kaunyata mkia matakon, si alitangaza kwa mbwembwe ataemsaidia Ukraine atapigika, sasa mbna hajarusha kombora kwa meli za marekani zinazopeleka vifaa
Umeandika mambo ambayo hata vyanzo vya kuyathibitisha huna.Mleta mada hili halikustui!? Mfungwa anapewa mafunzo anaenda kupigana na nchi inayoungwa Mkono na NATO? Na wafungwa hao wakitumia kampuni ya ulinzi wanafanya kazi iliyotukuka kwa kiwachapa hao neo Nazi wanoungwa Mkono na NATO kwa rasilimali watu na fedha? Bado husituki?
Hao Wanajeshi wa NATO wanaopigana bega kwa bega na Ukraine neo Nazi wakishakudunguliwa na Kampuni ya ulinzi ( Wagner), NATO kwa kuepuka aibu wamewaelekeza wakate miili ya askari hao kwa kuondoa vichwa na mikono na miguu ili kuepuka askari katoka nchi gani ya NATO (Ushahidi upo). Ukatili wanafanya Hata kwa Marehemu!
Hawana utu kabisa.
Kwa ufupi, Russia hataki kuumiza raia wa Ukraine yeye anashida na hao ambao wanaotumia serikali ya Ukraine kufanya uhalifu! Ndiyo maana kwa Sasa hanatumia nguvu kiasi dhidi ya adui!
Nitakuwa nimeeleweka.
Jambo gani?nikupe Ushahidi!Umeandika mambo ambayo hata vyanzo vya kuyathibitisha huna.
Malcolm ni moja wa great thinker na bro wangu hapa Jf asiejua kuwa"kuna mdogo wake mjinga mjinga katika hii forum anamkubali kinoma" na sijawai kuwa na altercation nae kivile.So, niseme tu kuwa Unataka kunichonganisha na huyu bro. I'm no body kwake kwa heshima aliyonayo hapa jamvini. Kupishana katika hoja kupo tu hapa jamvini ila sijawai kufanya ujinga ujinga wangu kwake.Ndugu, ukalianzisha halafu ukakimbia kivuli chako. Ile nyuzi yenye majibu yangu kuhusu hizi kashfa zako uko wapi ???
Siku kama huwezi kufanya mjadala na mimi tafadhali sana usinipotezee muda na kuzichosha akili zangu kuandika hapa, na usirudie kunija-taja tena kwa lengo la kunichafua. Nitakujibu halafu wewe na wakubwa zako mtaghafirika kama mlivyofanya siku ile
Ukiachilia MAKALA za Yeriko kuna Bwana mmoja humu Jf (jina lake moja ni la chuo maarufu uku Urusi) ni msomi kweli kweli before ya huu uvamizi wa Russia alikuwa akianza kuelezea uwezo wa Urusi na akili za Putini zilivyo katika nyuzi zake wewe msomaji unabaki kusema basi, basi basi:
Acha Urusi iwe na nguvu za kupiga nchi zote za Nato kwa wakati mmoja. alikuwa anachambua kila engo ya kwanini Urusi inauwezo wa kupiga nchi zote za Nato kwa wiki kadhaa. kwa kuwa ni mjuzi wa mambo na msomi anajua ku- analyse mambo wewe msomaji utabaki bila mashaka dhidi ya alichokiandika.
Mara ya mwisho kuona komenti yake kwenye ili jukwaa la kimataifa ususani vita ya Ukraine ni pale Urusi ilipoanza kupitisha ule msafara wa 64 kilometers na kuanza mashambulizi, aliandika koment ya kusifia vile Putin alivyo Genius, ili kusapoti hoja yake akeleta clip ya Baba yake na Bush na kiongozi mmoja mkubwa wa US wakielezea uwezo mkubwa wa akili wa Putin.. Mara mambo yalivyobadilika hajawai kukoment tena.. mara nyingi yupo kwenye jukwaa la mapenzi na ule uzi wa WA MWISHO NDIYE MSHINDI.
NILICHOJIFUNJA:
Takwimu za kwenye makalatasi na Field ni Mbingu na Ardhi jamaaa amekuwa dispointed na ili kutoutonesha moyo wake ameamua kuwasusia Jukwaaa lenu la kimataifa😂😂
Bcc: MALCOM LUMUMBA, gwiji la uchambuzi makala za kimedani ndani ya JF.