Suala la DP WORLD na chuki za Watanganyia dhidi ya Wazanzibar

Suala la DP WORLD na chuki za Watanganyia dhidi ya Wazanzibar

Chizi wewe magufuli alipokataa upuuzi wa kikwete.mbona taasisi ilikubali sababu kikwete alikubali. Unapochangia kuwa na kumbukumbu. Zanzibar inayo bahari pia wapeni si waliwatawala hao waarabu.

Wenye dhamana kwa sasa Tanganyika ni Wazanzibar, na Wazanzibar ni Waarabu, ndio maana Mbuga anachukua Mwarabu Bandari Mwarabu, ipo siku na Tanganyika itakuwa chini ya Mwarabu kwa mara nyingine., Watanganyika tuamkeni hii ndio ile akili ndogo kutawala akili kubwa.

Kwanini huwapendi waarabu? Why uwachukie! Shida nini!
 
Hii issue imedhihirisha chuki waliokua nayo Watanganyika dhidi ya Wazanzibar na chuki hii inaongozwa na roho mbaya na roho ya Kwa nini

Tulitegemea unge dadavuliwa Mkataba na mapungufu yake lkn la ajabu matusi Kwa MAMA ndio ilikua pumulio la watanganyika dhidi ya Mkataba haikutukanwa Serikali halikutukanwa Bunge matusi yoooote Kwa mama na Uzanzibar wake

Watanganyika wamesahau kama uraisi NI TAASISI wamesahau kwamba kuna Baraza la mawaziri wamesahau kwamba issue ilienda Bungeni na Bunge limeamua Kwa mujibu WA Sheria

Lkn tujiulize Mama hakuna Jambo aliowafanyia watanganyika? Mbona mama aliwakita taabani Kwa kila kitu si kiuchumi kisiasa kijamii nk hata wale aloelewana NAO wameropokwa na wakatishia kuingia mabarabarani

Watanganyika mtachelewa Sana kuendelea akili hamna NDIO Maana pamoja na utajiri mlonao kila Leo Kwa maelfu mnakimbilia ZANZIBAR kuja kuuza shanga kahawa magazeti na kufanya ukahaba hivi wamasai na rasilimali zote walizonaxo NI wakija kuuza ugoro ZANZIBAR??

Dhahabu yenu inafanya nini?
Almasi mwaifanya nini?
Gesi jee mwaipeleka wapi?
Tanzanait IPO wapi?
Makaa ya mawe hamna?
Mbuga zenu mnazifanyia nini
Mapori ya hakiba jee?
Maziwa ?
Mito ?
Ngombe nasikia Kwa Afrika hampo nambari ya mbali
Nini milchokua hamna?

Jee vyote hivyo mbona vimeshindwa kuwatoa ktk umasikini ?

Huko bandarini si miaka yote kunaneemesha matumbo ya wachache tuonesheni manufaa mliyopata katika kuendesha bandari zenu,?

Mwacheni MAMA awakombowe na hamtojkuja msahau mshasahau mlivyokuwa mkitumbwikizwa ktk Mto msimbaz ?
Au mumemiss kuibiwa fedha zenu kwenye akaunti zenu?
Au mumemiss kutekwa?

WAZANZIBAR NI AKILI KUBWA
Anae kudharau na kukutukana hakuchagulii Yudi!
Ilaha unapokula na kipofu usimshike mkono

Sent from my vivo Y67 using JamiiForums mobile app
 
Hivi Kuna Mtanganyika yeyote mwenye akili timamu, asiyekuwa na maslahi yoyote kwenye uongozi wa Rais Mzanzibar ,anaweza akaridhia kuongozwa na Mzanzibar?
SSH ni bora kuliko naniuliuuu yule ,ila Uzanzibar wake sasa!
 
Chizi wewe magufuli alipokataa upuuzi wa kikwete.mbona taasisi ilikubali sababu kikwete alikubali. Unapochangia kuwa na kumbukumbu. Zanzibar inayo bahari pia wapeni si waliwatawala hao waarabu.

Ninyi dawa yenu mtawaliwe kinyerere, yani kinguvu nguvu, hakuna uhuru hata wa kumiliki tv wala nini! Kudhulumu na kutaifisha mali za watu n.k, kama hawa ndio mnawakubali sio!! Wale wanaoongoza nchi kwa haki bila dhulma wala mabavu hamuwakubali!!
 
Mimi ninachofirahi kuona ni hizi harakati za kuficha matatizo!
Tunamdanganya nani??
 
Wewe kama nani uwaamrishe wenzio warudi kwao? Hivi kwa akili yako hii ardhi ya Mwenyezi Mungu ni yakwako peke yako! Pole sana, acha ubaguzi, acha chuki na roho mbaya, Mwenyezi Mungu hapendi
Tufanye Serkali Moja ili iwe Dalili na Ushahidi kwamba Nyinyi wa-zenj Sio wabaguzi

Sent from my vivo Y67 using JamiiForums mobile app
 
Acha chuki fanya kazi lisha familia yako, mwanaume mzima unalalamika hata aibu huoni! Halafu unataka wanaowapenda waarabu wafuate nyayo zako!! Hivi fainali ya juzi kati ya Al ahly na Wydad casablanca uliifurahia kweli?
Tena nyamaza uwe na adabu nakulipia umeme halafu unaleta kibesi
 
Zanzibar IPO miaka Zaid ya 500 nyuma wakati nyinyi mnavaa ngozi tuu


Hawa waarabu ndio wanasema ukweli. Sio wewe mtumwa ulietelekezwa.
Msikilize Waziri wa Sultani anavyoeleza mbinu za Nyerere kuunda ASP chini ya utawala wa Sultani 1957
 
Haya mambo yakulalamika kila siku wakati nyinyi ndio mnafaidika na huu muungano ndio mana mnaonekana watu wa ajabu, muungano wa mchongo bora ufe kila mtu ale 50 zake me sioni hata faida yake mpaka sasa,naomba siku atokee raisi mtanganyika mzalendo tuuvunjilie mbali na ipigwe kura watakao taka kubaki huku waseme nyie wengine muwe mnakuja na visa tuone kama mtaweza kuhama na majumba,maduka au mashamba yenu mnayomilki huku!Watanganyika hawana chakupoteza hawamiliki ardhi huko!
 
Kati ya vilaza niliosoma nao chuo walikuwa ni wazanzi.

Walikuwa slow learners sana class.

Mdembwedo sanaaaa

Mtihani ukifika ni kutetemeka mikono na jasho Hadi kwenye meno
Mimi watanganyika nilisoma nao chuo mbwebwe nyingiiiii lkn ukifika Mtihani ni kuingia na vibomu Tu hawasomi KAZI ulevi na umalaya
 
Hivi kwenye huu Muungano Wazanzibari wana faida gani??.Let them go where they belong. Mbarawa asiwe kuwadi wa kuuza Rasilimali za Watanganyika.
 
Zanzibar kuna uchumi gani wa watu kukimbilia watu ma mwinyi kama nyinyi kazi yenu kuvizia wazungu tu kuomba omba hela na kutaka kulelewa.
Njoo uone wanyamwezi walivyojazana huku washamba wakubwa wanashangaa kila kitu hawajawahi kuona wauza ugoro mnatusumbua sana
 
Back
Top Bottom