Suala la DP WORLD na chuki za Watanganyia dhidi ya Wazanzibar

Suala la DP WORLD na chuki za Watanganyia dhidi ya Wazanzibar

Huu muungano batili unapaswa kuangaliwa sasa!
Kama unastahili kuwepo au la!
Tumewabeba sana enyi waswahili!

Rais aliyeridhia mkataba ni mzanzibari!
Waziri aliyepewa dhamana kusaini mkataba ni mzanzibari!
Katibu mkuu wa wizara husika na mkataba pia ni mzanzibari!

Halafu bado mnataka tuendelee kuwachekea shwine nyie!
 
Watanganyika mtachelewa Sana kuendelea.... akili hamna
Umejaa chuki🤮
Kwa kuwa nyie mshaendelea??
Mna maendeleo zaidi yetu.
Hii ni kuuliza tu maana umeandika kichuki.
 
[emoji2][emoji2][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]tutukane we yakhe
 
Uvunjwe haraka bara tunaumia
Bila ya muungano iyo mishahara yenu mutalipana vipi? Zanzibar ndio nchi pekee duniani inayolipa kodi mara mbili, Wazanzibar wanalipa ZRB kwa maendeleo ya Zanzibar lakini pia wanalipa TRA ni hela inayoenda Tanganyika kufanya maendeleo yenu huko bara mukajenga na barabara na mishahara yenu
 
Mjinga mkubwa wewe mapato ya bara ndiyo yanalipa mishahara Zanzibar na kila kitu
Zanzibar ndio inaipushi Tanganyika mika yote, Zanzibar wanalipa kodi mara 2, moja ya ZRB kwa maendeleo ya Zanzibar lakini hela zinazokusanywa za TRA zinaletwa Bara kwa maendeleo ya Tanzania bara mishahara yenu na hizo barabara na flyover ni fedha kutoka Zanzibar
 
Hii issue imedhihirisha chuki waliokua nayo Watanganyika dhidi ya Wazanzibar na chuki hii inaongozwa na roho mbaya na roho ya Kwa nini

Tulitegemea unge dadavuliwa Mkataba na mapungufu yake lkn la ajabu matusi Kwa MAMA ndio ilikua pumulio la watanganyika dhidi ya Mkataba haikutukanwa Serikali halikutukanwa Bunge matusi yoooote Kwa mama na Uzanzibar wake

Watanganyika wamesahau kama uraisi NI TAASISI wamesahau kwamba kuna Baraza la mawaziri wamesahau kwamba issue ilienda Bungeni na Bunge limeamua Kwa mujibu WA Sheria

Lkn tujiulize Mama hakuna Jambo aliowafanyia watanganyika? Mbona mama aliwakita taabani Kwa kila kitu si kiuchumi kisiasa kijamii nk hata wale aloelewana NAO wameropokwa na wakatishia kuingia mabarabarani

Watanganyika mtachelewa Sana kuendelea akili hamna NDIO Maana pamoja na utajiri mlonao kila Leo Kwa maelfu mnakimbilia ZANZIBAR kuja kuuza shanga kahawa magazeti na kufanya ukahaba hivi wamasai na rasilimali zote walizonaxo NI wakija kuuza ugoro ZANZIBAR??

Dhahabu yenu inafanya nini?
Almasi mwaifanya nini?
Gesi jee mwaipeleka wapi?
Tanzanait IPO wapi?
Makaa ya mawe hamna?
Mbuga zenu mnazifanyia nini
Mapori ya hakiba jee?
Maziwa ?
Mito ?
Ngombe nasikia Kwa Afrika hampo nambari ya mbali
Nini milchokua hamna?

Jee vyote hivyo mbona vimeshindwa kuwatoa ktk umasikini ?

Huko bandarini si miaka yote kunaneemesha matumbo ya wachache tuonesheni manufaa mliyopata katika kuendesha bandari zenu,?

Mwacheni MAMA awakombowe na hamtojkuja msahau mshasahau mlivyokuwa mkitumbwikizwa ktk Mto msimbaz ?
Au mumemiss kuibiwa fedha zenu kwenye akaunti zenu?
Au mumemiss kutekwa?

WAZANZIBAR NI AKILI KUBWA
Kilichodhihirishwa siyo chuki, kwa sababu Watanganyika hawawachukii Wazanzibari.
Kilichodhihirika hapa ni DHARAU YA WAZANZIBARI KWA WATANGANYIKA.
Jiulize, TPA, kwenye Awamu ya pili ya huu Mkataba ikianza 'Mazungumzo na DP World juu ya Bandari ya Zanzibar (maana Bandari ni suala la Muungano), Visiwa vya Unguja vitakalika?
 
Ondokeni hatuwataki mrudi kwenu Zanzibar
Bila ya Zanzibar Tanganyika inaweza kuanguka, Tanganyika inakusanya kodi za TRA kule Zanzibar na kuna maofisi kibao ya TRA wala wazanzibar hawanufaiki na hizi kodi za TRA, Tanganyika hajawahi kupeleka maendeleo yoyote Zanzibar kupitia kodi zao za TRA ambazo wazanzibari wanalipishwa, ndio manaa Tanganyika mnangangania muungano kuinyonya Zanzibar
 
Kwahiyo wabara kuona kuzuiliwa kumiliki ardhi Zanzibar Ni Negative siyo? Kuwa na akili Pana.
Wabara wakipewa ardhi Zanzibar wanajenga makanisa ndio upuuuzi mkubwa wanaowapelekea wazanzibari, Zanzibar ni kisiwa na sasa wazanzibari wenyewe ardhi iliyoko haiwatoshi hao watanganyika wanataka waendeleze makanisa na ushoga tu,
 
Ni wapuuzi sana Watu wa Bara,mie Sio Mzanzibari ila upuuzi Huwa sipendi..

Harafu wanavyowasema utadhani huo Muungano Wazanzibar ndio walilazimisha wakati ni Tanganyika
Huko zanzibar kumejaa makanisa, watanganyika wakipewa ardhi wanajenga mikanisa na kueneza ushoga
 
Hadi sasa anayenufaika na huu muungano ni serikali ya mapinduzi ZANZIBARA (SMZ).

Kama ilivyo Zanzibar hakuna mbunge na haikuwahi kutawaliwa na rais kutoka Tanganyika, lakini inashangaza mtu Kutoka Zanzibar anakuja kupewa mamlaka ya urais huku Tanganyika kwa kutuhadaa kuwa TANZANIA ni moja.

CCM na genge lake la pwani imetuharibia na kuiuza Tanganyika yetu.
 
Suala la ubaguzi kwa baadhi ya Watanzania halitaisha, mtu anamchukia mwarabu bila sababu, anamchukia mzanzibari bila sababu, udini ndio usiseme.

Nachukia mno ubaguzi na kukashifu dini za wengine
Isije Ikawa wao kwa Mujibu wa maelekezo ya deen yao lazima watuchukie ili wafuzu!
[emoji116][emoji116]
۞ يَا أَيُّهَا الَّذِينَ آمَنُوا لَا تَتَّخِذُوا الْيَهُودَ وَالنَّصَارَىٰ أَوْلِيَاءَ ۘ بَعْضُهُمْ أَوْلِيَاءُ بَعْضٍ ۚ وَمَن يَتَوَلَّهُم مِّنكُمْ فَإِنَّهُ مِنْهُمْ ۗ إِنَّ اللَّهَ لَا يَهْدِي الْقَوْمَ الظَّالِمِينَ

[ AL - MAIDA - 51 ]
Enyi mlio amini! Msiwafanye Mayahudi na Wakristo kuwa ni marafiki. Wao ni marafiki wao kwa wao. Na miongoni mwenu mwenye kufanya urafiki nao, basi huyo ni katika wao. Hakika Mwenyezi Mungu hawaongoi watu wenye kudhulumu.

Sahih Muslim 2167 a
Abu Huraira reported Allah's Messenger (ﷺ) as saying:

Do not greet the Jews and the Christians before they greet you and when you meet any one of them on the roads force him to go to the narrowest part of it.
حَدَّثَنَا قُتَيْبَةُ بْنُ سَعِيدٍ، حَدَّثَنَا عَبْدُ الْعَزِيزِ، - يَعْنِي الدَّرَاوَرْدِيَّ - عَنْ سُهَيْلٍ، عَنْ أَبِيهِ، عَنْ أَبِي هُرَيْرَةَ، أَنَّ رَسُولَ اللَّهِ صلى الله عليه وسلم قَالَ ‏ "‏ لاَ تَبْدَءُوا الْيَهُودَ وَلاَ النَّصَارَى بِالسَّلاَمِ فَإِذَا لَقِيتُمْ أَحَدَهُمْ فِي طَرِيقٍ فَاضْطَرُّوهُ إِلَى أَضْيَقِهِ ‏"‏ ‏.‏
Reference : Sahih Muslim 2167a
In-book reference : Book 39, Hadith 16
USC-MSA web (English) reference : Book 26, Hadith 5389
 
Njoo uone wanyamwezi walivyojazana huku washamba wakubwa wanashangaa kila kitu hawajawahi kuona wauza ugoro mnatusumbua sana
Nije mara ngapi sasa wakati ndio ruti zangu huko mtu akiwa na mjomba Oman familia nzima haifanyi kazi yaani nyinyi kama taifa basi uchumi una dorora ndio maana vijana wengi wa zanzibar wanapasuliwa marinda kwasababu hawataki kazi.
 
Back
Top Bottom