Suala la DP WORLD na chuki za Watanganyia dhidi ya Wazanzibar

Suala la DP WORLD na chuki za Watanganyia dhidi ya Wazanzibar

Hii issue imedhihirisha chuki waliokua nayo Watanganyika dhidi ya Wazanzibar na chuki hii inaongozwa na roho mbaya na roho ya Kwa nini

Tulitegemea unge dadavuliwa Mkataba na mapungufu yake lkn la ajabu matusi Kwa MAMA ndio ilikua pumulio la watanganyika dhidi ya Mkataba haikutukanwa Serikali halikutukanwa Bunge matusi yoooote Kwa mama na Uzanzibar wake

Watanganyika wamesahau kama uraisi NI TAASISI wamesahau kwamba kuna Baraza la mawaziri wamesahau kwamba issue ilienda Bungeni na Bunge limeamua Kwa mujibu WA Sheria

Lkn tujiulize Mama hakuna Jambo aliowafanyia watanganyika? Mbona mama aliwakita taabani Kwa kila kitu si kiuchumi kisiasa kijamii nk hata wale aloelewana NAO wameropokwa na wakatishia kuingia mabarabarani

Watanganyika mtachelewa Sana kuendelea akili hamna NDIO Maana pamoja na utajiri mlonao kila Leo Kwa maelfu mnakimbilia ZANZIBAR kuja kuuza shanga kahawa magazeti na kufanya ukahaba hivi wamasai na rasilimali zote walizonaxo NI wakija kuuza ugoro ZANZIBAR??

Dhahabu yenu inafanya nini?
Almasi mwaifanya nini?
Gesi jee mwaipeleka wapi?
Tanzanait IPO wapi?
Makaa ya mawe hamna?
Mbuga zenu mnazifanyia nini
Mapori ya hakiba jee?
Maziwa ?
Mito ?
Ngombe nasikia Kwa Afrika hampo nambari ya mbali
Nini milchokua hamna?

Jee vyote hivyo mbona vimeshindwa kuwatoa ktk umasikini ?

Huko bandarini si miaka yote kunaneemesha matumbo ya wachache tuonesheni manufaa mliyopata katika kuendesha bandari zenu,?

Mwacheni MAMA awakombowe na hamtojkuja msahau mshasahau mlivyokuwa mkitumbwikizwa ktk Mto msimbaz ?
Au mumemiss kuibiwa fedha zenu kwenye akaunti zenu?
Au mumemiss kutekwa?

WAZANZIBAR NI AKILI KUBWA
Duuu ya mtanganyika akimbilie Zanzibar kwa uchumi gani mlionao?

Maana hapa Dar Kila kituo daladala Kuna mzanzibar anauza pweza au anatembeza samaki wawili labda wamasai ndo wanakuja huko Tena wale wasio na mifugo
 
Kwa jinsi ulivoandika inaonekana unachuki zaidi na WA bara kuliko hata wabara walivo na chuki na kisiwani
 
Hii issue imedhihirisha chuki waliokua nayo Watanganyika dhidi ya Wazanzibar na chuki hii inaongozwa na roho mbaya na roho ya Kwa nini

Tulitegemea unge dadavuliwa Mkataba na mapungufu yake lkn la ajabu matusi Kwa MAMA ndio ilikua pumulio la watanganyika dhidi ya Mkataba haikutukanwa Serikali halikutukanwa Bunge matusi yoooote Kwa mama na Uzanzibar wake

Watanganyika wamesahau kama uraisi NI TAASISI wamesahau kwamba kuna Baraza la mawaziri wamesahau kwamba issue ilienda Bungeni na Bunge limeamua Kwa mujibu WA Sheria

Lkn tujiulize Mama hakuna Jambo aliowafanyia watanganyika? Mbona mama aliwakita taabani Kwa kila kitu si kiuchumi kisiasa kijamii nk hata wale aloelewana NAO wameropokwa na wakatishia kuingia mabarabarani

Watanganyika mtachelewa Sana kuendelea akili hamna NDIO Maana pamoja na utajiri mlonao kila Leo Kwa maelfu mnakimbilia ZANZIBAR kuja kuuza shanga kahawa magazeti na kufanya ukahaba hivi wamasai na rasilimali zote walizonaxo NI wakija kuuza ugoro ZANZIBAR??

Dhahabu yenu inafanya nini?
Almasi mwaifanya nini?
Gesi jee mwaipeleka wapi?
Tanzanait IPO wapi?
Makaa ya mawe hamna?
Mbuga zenu mnazifanyia nini
Mapori ya hakiba jee?
Maziwa ?
Mito ?
Ngombe nasikia Kwa Afrika hampo nambari ya mbali
Nini milchokua hamna?

Jee vyote hivyo mbona vimeshindwa kuwatoa ktk umasikini ?

Huko bandarini si miaka yote kunaneemesha matumbo ya wachache tuonesheni manufaa mliyopata katika kuendesha bandari zenu,?

Mwacheni MAMA awakombowe na hamtojkuja msahau mshasahau mlivyokuwa mkitumbwikizwa ktk Mto msimbaz ?
Au mumemiss kuibiwa fedha zenu kwenye akaunti zenu?
Au mumemiss kutekwa?

WAZANZIBAR NI AKILI KUBWA
Wewe ndio Traako kabisa, huna hata akili ya kukuvusha barabara
Umewaona hao tu waliopo huko
NJOO bara uwaone nduguzo walivyojaa wala usingetaman kuwataja hao wa bara kumi walioko, zenji
Inaonyesha ujawai kutoka wala kuvuka hayo maji ndo maana ni limbuken nimemaliza kusoma kipost chako nikahisi na kichefu chefu kwa jinsi ulivyomjinga
Kinachoulizwa ni kwanini bandari za zanzibar hazikuhusishwa katika mradi huu? Iwapo mpaka mito ya bara imeusishwA kwanini zanzibar?
Yaan wataka zanzibar isiguswe wakat ni Tanzania?
Kakojoe ulale
 
Bila ya muungano iyo mishahara yenu mutalipana vipi? Zanzibar ndio nchi pekee duniani inayolipa kodi mara mbili, Wazanzibar wanalipa ZRB kwa maendeleo ya Zanzibar lakini pia wanalipa TRA ni hela inayoenda Tanganyika kufanya maendeleo yenu huko bara mukajenga na barabara na mishahara yenu
Ndiyo maana tunataka tuvunje ilimsiendelee kupata shida
 
Hadi sasa anayenufaika na huu muungano ni serikali ya mapinduzi ZANZIBARA (SMZ).

Kama ilivyo Zanzibar hakuna mbunge na haikuwahi kutawaliwa na rais kutoka Tanganyika, lakini inashangaza mtu Kutoka Zanzibar anakuja kupewa mamlaka ya urais huku Tanganyika kwa kutuhadaa kuwa TANZANIA ni moja.

CCM na genge lake la pwani imetuharibia na kuiuza Tanganyika yetu.
Sisi hatuna hata Mwenyekiti wa kitongoji hapo Zanzibar lakini wazanzibari wamejazana
 
Hadi sasa anayenufaika na huu muungano ni serikali ya mapinduzi ZANZIBARA (SMZ).

Kama ilivyo Zanzibar hakuna mbunge na haikuwahi kutawaliwa na rais kutoka Tanganyika, lakini inashangaza mtu Kutoka Zanzibar anakuja kupewa mamlaka ya urais huku Tanganyika kwa kutuhadaa kuwa TANZANIA ni moja.

CCM na genge lake la pwani imetuharibia na kuiuza Tanganyika yetu.
Sisi hatuna hata Mwenyekiti wa kitongoji hapo Zanzibar lakini wazanzibari wamejazana
 
Kwahiyo wabara kuona kuzuiliwa kumiliki ardhi Zanzibar Ni Negative siyo? Kuwa na akili Pana.
Bora we unaeleza kwa mifano
Wabara atupo negative wala chuki aijazidi ni kwamba tu tupo wengi zaidi tunaskika
 
Wabara wakipewa ardhi Zanzibar wanajenga makanisa ndio upuuuzi mkubwa wanaowapelekea wazanzibari, Zanzibar ni kisiwa na sasa wazanzibari wenyewe ardhi iliyoko haiwatoshi hao watanganyika wanataka waendeleze makanisa na ushoga tu,
Chunguza akili yako alafu jitafakari sana. Kwahiyo kwako Ni chili kwa wabara siyo unagative Tena. Mvunjeni muungano mkae kwenu. Kama ishu Ni kujenga makanisa. Unawezaje kuwaita watanganyika wanaendeleza ushoga?. Una Fuvu bovu Sana. Yule Askari aliyekalia mjengo kwenye gari Ni mtanganyika?. Jiheshimu usije kutusababishia bani hapa.
 
Ninyi dawa yenu mtawaliwe kinyerere, yani kinguvu nguvu, hakuna uhuru hata wa kumiliki tv wala nini! Kudhulumu na kutaifisha mali za watu n.k, kama hawa ndio mnawakubali sio!! Wale wanaoongoza nchi kwa haki bila dhulma wala mabavu hamuwakubali!!
Soma elewa .usikurupuke kujibu. Angalia niliyemjibu utaelewa kwanini nilimjibu hivyo.
 
Hii issue imedhihirisha chuki waliokua nayo Watanganyika dhidi ya Wazanzibar na chuki hii inaongozwa na roho mbaya na roho ya Kwa nini

Tulitegemea unge dadavuliwa Mkataba na mapungufu yake lkn la ajabu matusi Kwa MAMA ndio ilikua pumulio la watanganyika dhidi ya Mkataba haikutukanwa Serikali halikutukanwa Bunge matusi yoooote Kwa mama na Uzanzibar wake

Watanganyika wamesahau kama uraisi NI TAASISI wamesahau kwamba kuna Baraza la mawaziri wamesahau kwamba issue ilienda Bungeni na Bunge limeamua Kwa mujibu WA Sheria

Lkn tujiulize Mama hakuna Jambo aliowafanyia watanganyika? Mbona mama aliwakita taabani Kwa kila kitu si kiuchumi kisiasa kijamii nk hata wale aloelewana NAO wameropokwa na wakatishia kuingia mabarabarani

Watanganyika mtachelewa Sana kuendelea akili hamna NDIO Maana pamoja na utajiri mlonao kila Leo Kwa maelfu mnakimbilia ZANZIBAR kuja kuuza shanga kahawa magazeti na kufanya ukahaba hivi wamasai na rasilimali zote walizonaxo NI wakija kuuza ugoro ZANZIBAR??

Dhahabu yenu inafanya nini?
Almasi mwaifanya nini?
Gesi jee mwaipeleka wapi?
Tanzanait IPO wapi?
Makaa ya mawe hamna?
Mbuga zenu mnazifanyia nini
Mapori ya hakiba jee?
Maziwa ?
Mito ?
Ngombe nasikia Kwa Afrika hampo nambari ya mbali
Nini milchokua hamna?

Jee vyote hivyo mbona vimeshindwa kuwatoa ktk umasikini ?

Huko bandarini si miaka yote kunaneemesha matumbo ya wachache tuonesheni manufaa mliyopata katika kuendesha bandari zenu,?

Mwacheni MAMA awakombowe na hamtojkuja msahau mshasahau mlivyokuwa mkitumbwikizwa ktk Mto msimbaz ?
Au mumemiss kuibiwa fedha zenu kwenye akaunti zenu?
Au mumemiss kutekwa?

WAZANZIBAR NI AKILI KUBWA
jambo usilolijua ni kwamba, wazanzibari ndio wenye chuki na bara tangu enzi, na watu wa bara wamezuiwa wasiongee chochote kuhusu zanzibar, wakati wazanzibar wanaongea na kutubagua everyday. nadhani ifike mahali viongozi wa pande zote mbili wakae na watu wao wawaelimishe, ili kama tunaendelea na muungano, tuheshimiane na kupendana. I tell you, hii ni reprisal tu/retaliation, watanganyika wamebaguliwa na wazanzibar kwa kila kitu, na mtanganyika akitaka kuongea tu, wazenji huwa wanasema wewe ni mdini, wanaamini kuongea chochote dhidi ya zanzibar ni udini. ila wao wakiongea dhidi ya tanganyika sio udini. ufa upo sana tu mioyoni mwa watu na unatakiwa kuponywa. na wengi huwa hawaamini inakuwaje kanchi kama wilaya tena kasiko kuwa na mbele wala nyuma kanasimama na kujibizana na linchi likuuubwa lenye watu zaidi ya 58m?

kuhusu dhahabu, almasi etc, maisha ya watu wa bara ni bora mbali sana kuliko maisha ya watu wa visiwani. hili hakuna ubishi. mishahara makazini bara ni bora kuliko visiwani. elimu bara ni bora kuliko visiwani. kila kitu mmezidiwa. miji kama Arusha, geita, mwanza, kahama n.k, imekuwa na ina mzunguko mkubwa wa pesa kwasababu ya hayo madini. zanzibar kilichojaa ni uvivu, kuzamia bara kutafuta maisha, madawa ya kulevya na ushoga. ila ukweli ni kwamba maisha yenu ni magumu sana hata pamoja na kuwapa uhuru wa kuishi bara, kumiliki ardhi bara na kufanya biashara bara kama raia.
 
Wabara wakipewa ardhi Zanzibar wanajenga makanisa ndio upuuuzi mkubwa wanaowapelekea wazanzibari, Zanzibar ni kisiwa na sasa wazanzibari wenyewe ardhi iliyoko haiwatoshi hao watanganyika wanataka waendeleze makanisa na ushoga tu,
bro, makanisa tushajenga sana huku bara. zanzibar watu hawazidi hata milioni 2, bara watu ni zaidi ya milioni 58. mbona huku bara mnakuja na mnaishi vizuri tu wakati makanisa yapo? hizi ndio akili za kuamini mwarabu ndio mungu wenu wa pili mnawalamba makalio milele.
 
Hapa Kenya pia twauza port kwa DP world. Pale Somalia berbera pia walinunua. Wamenyangaya Yemen socotra island. Wale wanafahamu geopolitics wanaelewa yanayojiri. Hii yote inahusikana na kumiliki red Sea. Hii imeleta mzozo na USA. Hii ndio chanzo cha vita vya Yemen na Sudan . Mkumbuke UAE na Saudi Arabia ni familia moja.
 
Hii issue imedhihirisha chuki waliokua nayo Watanganyika dhidi ya Wazanzibar na chuki hii inaongozwa na roho mbaya na roho ya Kwa nini

Tulitegemea unge dadavuliwa Mkataba na mapungufu yake lkn la ajabu matusi Kwa MAMA ndio ilikua pumulio la watanganyika dhidi ya Mkataba haikutukanwa Serikali halikutukanwa Bunge matusi yoooote Kwa mama na Uzanzibar wake

Watanganyika wamesahau kama uraisi NI TAASISI wamesahau kwamba kuna Baraza la mawaziri wamesahau kwamba issue ilienda Bungeni na Bunge limeamua Kwa mujibu WA Sheria

Lkn tujiulize Mama hakuna Jambo aliowafanyia watanganyika? Mbona mama aliwakita taabani Kwa kila kitu si kiuchumi kisiasa kijamii nk hata wale aloelewana NAO wameropokwa na wakatishia kuingia mabarabarani

Watanganyika mtachelewa Sana kuendelea akili hamna NDIO Maana pamoja na utajiri mlonao kila Leo Kwa maelfu mnakimbilia ZANZIBAR kuja kuuza shanga kahawa magazeti na kufanya ukahaba hivi wamasai na rasilimali zote walizonaxo NI wakija kuuza ugoro ZANZIBAR??

Dhahabu yenu inafanya nini?
Almasi mwaifanya nini?
Gesi jee mwaipeleka wapi?
Tanzanait IPO wapi?
Makaa ya mawe hamna?
Mbuga zenu mnazifanyia nini
Mapori ya hakiba jee?
Maziwa ?
Mito ?
Ngombe nasikia Kwa Afrika hampo nambari ya mbali
Nini milchokua hamna?

Jee vyote hivyo mbona vimeshindwa kuwatoa ktk umasikini ?

Huko bandarini si miaka yote kunaneemesha matumbo ya wachache tuonesheni manufaa mliyopata katika kuendesha bandari zenu,?

Mwacheni MAMA awakombowe na hamtojkuja msahau mshasahau mlivyokuwa mkitumbwikizwa ktk Mto msimbaz ?
Au mumemiss kuibiwa fedha zenu kwenye akaunti zenu?
Au mumemiss kutekwa?

WAZANZIBAR NI AKILI KUBWA
Good point
 
Bila ya muungano iyo mishahara yenu mutalipana vipi? Zanzibar ndio nchi pekee duniani inayolipa kodi mara mbili, Wazanzibar wanalipa ZRB kwa maendeleo ya Zanzibar lakini pia wanalipa TRA ni hela inayoenda Tanganyika kufanya maendeleo yenu huko bara mukajenga na barabara na mishahara yenu
Wajinga Sana hawajielewi
 
Back
Top Bottom