Suala la DP WORLD na chuki za Watanganyia dhidi ya Wazanzibar

Chizi wewe magufuli alipokataa upuuzi wa kikwete.mbona taasisi ilikubali sababu kikwete alikubali. Unapochangia kuwa na kumbukumbu. Zanzibar inayo bahari pia wapeni si waliwatawala hao waarabu.


Kwanini huwapendi waarabu? Why uwachukie! Shida nini!
 
Anae kudharau na kukutukana hakuchagulii Yudi!
Ilaha unapokula na kipofu usimshike mkono

Sent from my vivo Y67 using JamiiForums mobile app
 
Hivi Kuna Mtanganyika yeyote mwenye akili timamu, asiyekuwa na maslahi yoyote kwenye uongozi wa Rais Mzanzibar ,anaweza akaridhia kuongozwa na Mzanzibar?
SSH ni bora kuliko naniuliuuu yule ,ila Uzanzibar wake sasa!
 
Chizi wewe magufuli alipokataa upuuzi wa kikwete.mbona taasisi ilikubali sababu kikwete alikubali. Unapochangia kuwa na kumbukumbu. Zanzibar inayo bahari pia wapeni si waliwatawala hao waarabu.

Ninyi dawa yenu mtawaliwe kinyerere, yani kinguvu nguvu, hakuna uhuru hata wa kumiliki tv wala nini! Kudhulumu na kutaifisha mali za watu n.k, kama hawa ndio mnawakubali sio!! Wale wanaoongoza nchi kwa haki bila dhulma wala mabavu hamuwakubali!!
 
Mimi ninachofirahi kuona ni hizi harakati za kuficha matatizo!
Tunamdanganya nani??
 
Wewe kama nani uwaamrishe wenzio warudi kwao? Hivi kwa akili yako hii ardhi ya Mwenyezi Mungu ni yakwako peke yako! Pole sana, acha ubaguzi, acha chuki na roho mbaya, Mwenyezi Mungu hapendi
Tufanye Serkali Moja ili iwe Dalili na Ushahidi kwamba Nyinyi wa-zenj Sio wabaguzi

Sent from my vivo Y67 using JamiiForums mobile app
 
Acha chuki fanya kazi lisha familia yako, mwanaume mzima unalalamika hata aibu huoni! Halafu unataka wanaowapenda waarabu wafuate nyayo zako!! Hivi fainali ya juzi kati ya Al ahly na Wydad casablanca uliifurahia kweli?
Tena nyamaza uwe na adabu nakulipia umeme halafu unaleta kibesi
 
Zanzibar IPO miaka Zaid ya 500 nyuma wakati nyinyi mnavaa ngozi tuu

Hawa waarabu ndio wanasema ukweli. Sio wewe mtumwa ulietelekezwa.
Msikilize Waziri wa Sultani anavyoeleza mbinu za Nyerere kuunda ASP chini ya utawala wa Sultani 1957
 
Waondoke wamakonde Kwanza
Mpate kubonyezana kizenji nyie watumwa msio na kabila, eti wanajiita WASHIRAAZ.

Unajua dunia inakushangaeni eti asili asili yenu ni Mkoa wa Shiraz Iran? Nyani weusi hivi?
 
Haya mambo yakulalamika kila siku wakati nyinyi ndio mnafaidika na huu muungano ndio mana mnaonekana watu wa ajabu, muungano wa mchongo bora ufe kila mtu ale 50 zake me sioni hata faida yake mpaka sasa,naomba siku atokee raisi mtanganyika mzalendo tuuvunjilie mbali na ipigwe kura watakao taka kubaki huku waseme nyie wengine muwe mnakuja na visa tuone kama mtaweza kuhama na majumba,maduka au mashamba yenu mnayomilki huku!Watanganyika hawana chakupoteza hawamiliki ardhi huko!
 
Kati ya vilaza niliosoma nao chuo walikuwa ni wazanzi.

Walikuwa slow learners sana class.

Mdembwedo sanaaaa

Mtihani ukifika ni kutetemeka mikono na jasho Hadi kwenye meno
Mimi watanganyika nilisoma nao chuo mbwebwe nyingiiiii lkn ukifika Mtihani ni kuingia na vibomu Tu hawasomi KAZI ulevi na umalaya
 
Hivi kwenye huu Muungano Wazanzibari wana faida gani??.Let them go where they belong. Mbarawa asiwe kuwadi wa kuuza Rasilimali za Watanganyika.
 
Zanzibar kuna uchumi gani wa watu kukimbilia watu ma mwinyi kama nyinyi kazi yenu kuvizia wazungu tu kuomba omba hela na kutaka kulelewa.
Njoo uone wanyamwezi walivyojazana huku washamba wakubwa wanashangaa kila kitu hawajawahi kuona wauza ugoro mnatusumbua sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…