Suala la Madini: Serikali ya Magufuli haikutueleza ukweli wote

Yumkini boss wake ndiye aliyekuwa anatorosha chini kwa chini alaf amwambie ili iwe nini
 
Swala la madini kutoroshwa JPM alishamwambia doto wakati anamuapisha kuwa anasikia madini bado yanatoroshwa, baada ya kuapishwa tu doto alienda mererani kama unakumbuka. swala la barrick kutokana na statement ya mama inaonekana kuna baadhi ya mambo serikali na barrick bado wanavutana ndio maana mama anasema sisi ndio wahitaji. hii maana yake mama anataka tuwakubalie barrick ili mambo yaende kama kawaida. mambo gani sisi hatuyajui, je tutaumia au tutafaidika tukikubali hayo mama anayoyasema tuyamalize hatujui. mama has to be very careful, asikubali kila jambo.
 
Kwani mwendazake alisema kuna nini kwenye hiyo mikataba?

Wote ni wale wale,bora ya huyu anayetaka twende sawa kila mtu afurahi.
 
Inahitajika hekima sana kudeal na cartels kama Barrick na Glencore's, hawa jamaa ni zaidi ya mafia ktk kulinda maslahi yao.

Tafadhali Mama yetu mpendwa yote yawe kwa maslahi ya taifa
 
SSH ana wenge anataka kuuza kila kitu, hivi mkataba wa zamani wa Barrick na wa saivi upi bora? Hapo ameshawakaribisha wa gesi Mtwara LNG waje tu atawaruhusu kwa masharti yoyote, Hellium mbugani, huyu anataka kuuza kila kitu, hizo kwake ndio akili.
Hii miktaba ifike mahali iwe open to the public.

Hii nchi imeliwa sana, mzungu hana huruma.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…