Suala la Madini: Serikali ya Magufuli haikutueleza ukweli wote

Suala la Madini: Serikali ya Magufuli haikutueleza ukweli wote

Chizi wewe, izo chuki zenu wasukuma sageni chupa mnywe,mama ndio Kashakuwa Rais ,hamtaki jitundikeni
Na wewe ni mmoja Kati ya wajinga wajingaaa... Hapa tuna msukuma ama tunaongelea Jambo la kitaifa??

Punguza mahaba Kwa wasukuma wanazo kubwa na ndefu watakuoa wewe!!
 
Naona chadema mnashangilia wee kama vile kuna chochotemna gain.

Hizi sifa zenu kwa Samia haziwezi kuwainua na chama lenu hilo.

Mngekuwa na akili mngetumia huu muda kupigani mifumo ambayo huwa mnadai ina wanyima ushindi lakini kwa kuwa nyie ni wajinga basi endeleeni kuungana na ccm kumsifia huku mkijifariji kwamba mnawakomoa mataga

Nimecheka kwa nguvu ulichoandika hapa ww kilaza mbobezi, unadhani ukisema huyo mama ni ccm, basi watu ndio wataacha kumsifia kwa kuacha kufuata njia za yule dhalimu? Subiri uone kama kuna mtu anaisifia ccm hapa. Kwa taarifa yako watu wanamsifia huyo mama kwa namna alivyoanza kutawala kwa kutupilia mbali udhalimu wa yule muovu, na hakuna mwenye habari yoyote na hiyo takataka yako iitwayo ccm. Kama unaona watu wakimsifu huyo mama wa ccm ni ccm imesifiwa, kipi kinakufanya upanick wakati ww ni mwanaccm?
 
..nakumbuka kuna wakati Prof.Kabudi alisema ni 50/50.

Huwezi kuamini, hiyo 50/50, mara 16% ina utata mtupu, ndio maana mara zote Kabudi alizokuwa akitoa ufafanuzi hajawahi kueleweka, zaidi ya kulazimisha kuwa nchi iko pazuri. Kwa yale maneno ya mama ya jana, ndio nimeunganisha dot kwanini Kabudi huwa haeleweki, na hataki maswali kwenye mambo hayo.
 
Tumpe muda mama, naamini utatuweka pazuri, wasioamini anachoongea mama ni wale ambao walikuwa wameshazoea kumezeshwa uongo bila kuhoji au ukihoji unapotelea ndani. Tangu mwanzo simuamini Prof Kabudi, kwa wale ambao mnakumbuka mwaka 2000 alipokuja na mswada wa white paper mtaungana nami juu ya hili.
 
Sisi kina nani?

Shida yako unafikiri kila mtu anategemea mtu ili aishi ndio nyie kila siku mnalaumu selikali kwa kuishi kwenu kwa shemeji zenu.

Dogo usikifiki kumsifia Samia unamkomoa mtu hapa!

Naona kivuli cha Magu bado kinawatesa na maenda nacho hadi mnakufa! Sasa hivi eti na nyie bavicha mmeungana na ccm kusifia wana ccm.
Na safari hii mtaongea mpaka kikwenu ngedere wa kijani nyinyi.

Mlijimilikisha chama, mkataka kujimilikisha nchi, yoyote aliepinga mipango yenu aligeuka adui.

Na una bahati kadi yangu ya CCM nimeiwacha mbali ningekutumia mpaka picha.

Selikali ndio nini??

Usikifiki ndio nini??

Maenda ndio nini??

Nyinyi ndio mliomfanya Mheshimiwa hayati rais Magufuli akachukuwa kwa tamaa zenu. Mkimuabudu na kumtukuza kuliko Mungu na wengine tuliposema hii si sawa mkatutilia fitina kwamba Sisi ni wapinzani.

Tukaitwa kujieleza na mengine mengi.

Sasa tunawaambia mkae kwa kutulia tunataka kujenga nchi.

Because of you, Tanzanians have suffering for good 5 years so you can benefit your bellies.

Tulieni nyie genge la wahuni
 
Tumpe muda mama, naamini utatuweka pazuri, wasioamini anachoongea mama ni wale ambao walikuwa wameshazoea kumezeshwa uongo bila kuhoji au ukihoji unapotelea ndani. Tangu mwanzo simuamini Prof Kabudi, kwa wale ambao mnakumbuka mwaka 2000 alipokuja na mswada wa white paper mtaungana nami juu ya hili.
Kabudi is not a good lawyer, but rather he was just a good law student.
 
Kuna baadhi ya vitu alivizungumza jana nikashindwa kumuelewa, kwa mfano aliposema kuhusu madini kutoroshwa kupitia chini ya ardhi kama ni kweli alijua hili alichukua hatua gani kumwambia bosi wake?

Hata kama bosi wake alikuwa na tabia za ubabe na kutosikiliza ushauri, lakini sidhani kama ushauri wake huo angemwambia mwendazake angekataa kuufanyia kazi hasa alivyokuwa akipigania rasilimali za hili taifa.

Inawezekana kabisa ile hotuba ya Rais jana alichanganya na kaumbea kidogo ili kunogesha kijiwe kama zilivyo tabia za wanawake wengi, awe makini huyu mama na hizi rasilimali za taifa letu, tusijekusikia tena zile habari mtoto wa fulani kakamatwa China na madawa wakaweka bond madini au gesi yetu, kuchekeana kukizidi mwishowe hugeuka msiba mkubwa.

Zaidi ya hapo naona Rais alikuwa sahihi, masuala ya mikataba ya madini tuliyoingia na wazungu lazima yapelekwe taratibu kwani yapo kisheria, bado tunawahitaji hao watu, Tanzania sio kijiji ndio maana Lissu yalimkuta aliposema haya, kulazimisha kubadilisha mikataba sasa hivi ni kujitafutia hasara tu kwa serikali yetu, kila siku ndege zetu zimekuwa zikikamatwa huko nje, hapa naamini ndio maana Rais alisema kuna baadhi ya mambo tusilazimishe kutunishiana misuli na hao jamaa, bado tunawahitaji.
hamna umbea. mtu kama mwendazake unamfikishiaje habari kama hii?
Yeye alishajitengenezea oval ya kusikia habari njema tu. habari ikiwa mbaya muhusika anaweza kuwa fired hapo hapo.

In short ni kuwa wasaidiz wake walikuwa wanaogopa kumwambia ukweli kutokana na character yake.

and yes its possible amefikishiwa hizi habari. but angefanya nn kama zinachafua image yake. ? alikuwa hapendi image yake ichafuke
 
Mama asikiri udhaifu ameshaanza kukiri unyonge unadai kodi yako halafu unaweka mikono nyuma hii haiwekani hata kidogo
Dai kodi mikono umeweka mfukoni maana wewe mama ni mwenye nyumba
kodi iko kisheria. unadai nn wkt sheria za nchi zimeshasema?
unadhani rais ndio anakusanya kodi. ziko mamlaka husika
na mama anachosema ni sheria zifuatwe. sio matamshi ya kibabe
 
Kabudi ni msomi asiye na maadili hata kidogo ni muongo muongo na alitumika sana kufanya utapeli wa kisiasa chini ya awamu ya tano.
Halafu kapewa wizara nyeti ya Katiba na Sheria.
 
Mataga mmekuwa watoto yatima, hata hamueleweki kabisa, yule jamaa wa mimacho mzee wa "kenda" [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] kaenda wizara gani vile?
Mkuu huu ulioandika ni upumbavu na utoto.
 
Back
Top Bottom