Relief Mirzska
JF-Expert Member
- Jun 13, 2017
- 13,992
- 22,396
Nani kakwambia mimi ni Chadema??Nikafikiri unakuja na ufafanuzi kumbe ni ujinga ujinga tu!
Wewe unafikiri kuna chochote chadema mna gain hapa kwa kumsifia sifia mama? [emoji23][emoji23][emoji23]
Mimi ni Mtanzania mwenye nia njema na mapenzi ya kweli juu ya nchi yangu. Mimi sio kama wewe uliyeamini kwenye kusifia na kuabudu binaadam mwenzio ili ule na unye.
Nyinyi ndio mlitaka rais Magufuli aongezewe muda au unabisha???