Pre GE2025 Suala la maslahi ya Tanganyika tunataka liwe addressed kampeni 2025!

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
na kuna issue nyingi tu za msingi, kipindi cha jiwe aliibua issue ya umeme wakawa wanadaiwa kama bilioni 200 kama nakumbuka, hawajawahi kulipa au wamelipa hatujui kwa sababu na rais naye ni wa kwao. na likija suala lolote la changamoto za muungano, huwa zinaangaliwa zaidi zile za wazanzibar, sasa ivi wametulia hata hatujui kama mama yao kawapendelea kimyakimya au vipi, inakuwaje miaka yote walikuwa wanaongea sasaivi wapo kimya? hivi wanasiasa huwa wanaakili kutafuta issue sensitive zinazoweza kuwadraw maccm waje kwenye meza ya mazungumzo na kutatua matatizo au?
 
Ukiutizama huu muungano Kwa hakika inaonyesha kama vile karume ndiyo alikuwa msomi alafu Nyerere aliishia la 3 C..
Kwakweli structure ya huu muungano inaonyesha kuwa Nyerere alifeli pakubwa sana, Tanganyika ni kama vile imezikwa mazima
 
Ukiutizama huu muungano Kwa hakika inaonyesha kama vile karume ndiyo alikuwa msomi alafu Nyerere aliishia la 3 C..
Kwakweli structure ya huu muungano inaonyesha kuwa Nyerere alifeli pakubwa sana, Tanganyika ni kama vile imezikwa mazima
inaonyesha nyerere ndio alikuwa anajibembeleza, sawa na unatafuta mwanamke halafu unakubali kuandika viwanja na nyumba zote majina yake alimradi akukubali wakati yeye hana chochote anachooffer.
 
Ukiutizama huu muungano Kwa hakika inaonyesha kama vile karume ndiyo alikuwa msomi alafu Nyerere aliishia la 3 C..
Kwakweli structure ya huu muungano inaonyesha kuwa Nyerere alifeli pakubwa sana, Tanganyika ni kama vile imezikwa mazima
Ingawa mawazo yangu sio ha kweli lakini naweza sema Intelijensia ya Zanzibar ni Baba Lao
 
CCM ndiye adui mkubwa wa Tanganyika na Zanzibar huru.
 

Attachments

  • downloadfile.png
    290.1 KB · Views: 4
Ninge
Ningekuwa karibu yako brooo, ningekutemea mate ya uso!! Rubbish
 
Muungano ni feki feki. Au tuunde m24 kwaajiri ya kuipigania Tanganyika??????
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…