Pre GE2025 Suala la maslahi ya Tanganyika tunataka liwe addressed kampeni 2025!

Pre GE2025 Suala la maslahi ya Tanganyika tunataka liwe addressed kampeni 2025!

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Tufanye ipo huko ufipa so?
Inamaana we mwandishi hujui faida za Muungano au???
Kwani Tanzania ni muungano wa nchi mbili, zipi? si Tanganyika na Zanzibar? kama mzanzibari anakuja kutawala hapa, tunajuaje kama anatumia mipesa ya Tanganyika kujenga zanzibar? wakati za zanzibar hazijengi Tanganyika? kwanini zote mbili tanganyika na zanzibar zisifutike tuwe na Tanzania, ardhi tumiliki pande zote mbili na tuassimilate ili tuishi kote, kwa kufanya hivyo muungano utakuwa halisi na hautakuja kuvunjika tena wala malalamiko hayatakuwepo. sasa leo unakuwa na Rais wa muungano ambaye akienda zanzibar anakuwa chini ya rais wa zanzibar, tunakuwa na mzanzibari anayekuwa rais bara, ila mbara hawezi kuwa rais kule wakati mzanzibar anakuwa rais bara na zanzibar uksa, kwani tuna shida gani sisi watanganyika hadi tujibembeleze kiasi hicho?
Kuna ujinga nwingi sana kwenye huu muungano.

Inahitajika akili kisodatu kuelewa kasoro lukuki za muungano

Kamatunaamua kuungana tuungane jumla.
Kwanza wananchi wapandezote ukiwaangalia nikama ndugutu, sijui nini kinazuiya kuwa na muungano wenye tija.

Sent from my Infinix X6511B using JamiiForums mobile app
 
Ni chuki za kisiasa kuanza kuongelea huo upendeleo kwenye ajira wakati huku Bara sisi ni wakubwa kuliko huko Zenji na sidhani kuwa yupo mtu wa bara anayeumizwa na huu mgawanyo wenye kuonekana hauleti haki kwetu.

Chuki hizi chanzo chake ni Rais Samia mwenyewe kuwa mwenyeji wa kizimkazi. Lakini anafanya mengi sana ya maana huku huku bara na yanagusa uhai wetu kwa mapana yake
Haya ya "chuki" ndio utetezi pekee mlio baki nao mnaofaidika na kilichopo sasa hivi.

Na usipotoshe: Mwalimu alipo zungumzia "kuvisogeza hivyo visiwa" hakuwa na maana mnayo ilenga nyinyi sasa hivi.
Sasa mmekula na kujisahau, hadi mnawatapikia kabisa hao hao wanao walisha. Kama huu siyo uhayawani, tuuite kitu gani?
 
Huu upuuzi wa kuja kulalamikia humu jukwaani ni upotezaji wa muda, zipo mada za maana zaidi zenye kustahili mijadala kwani zinagusa maisha yetu ya kila siku.
Ajenda zako unaziona muhimu, au siyo; ila hii siyo muhimu!
Usiumize roho yako bure; acha wanao iona hii kuwa muhimu waijadili; na kwa maoni yangu, hii ni moja ya ajenda muhimu kabisa tukielekea kwenye uchaguzi mkuu.

Naelewa kuna 'subtext' nyuma ya ajenda yenyewe, hata kama wewe siyo mtu wa upande huo wa visiwani.
 
Ningekuwa na uwezo hivi visiwa vya Unguja na Pemba ningevisogezea mbali kabisa baharini - Julius Nyerere.

Aliyaona haya yote. Kijiografia visiwa hivi ni vidogo sana kuweza kuwa na uwiano ulio sawa na huku bara.

Vyakula vyao vingi vinatoka huku bara, mwaka 2008 May ulipotokea mgao mkubwa wa umeme wao pia waliteseka kwa miezi miwili.

Ni chuki za kisiasa kuanza kuongelea huo upendeleo kwenye ajira wakati huku Bara sisi ni wakubwa kuliko huko Zenji na sidhani kuwa yupo mtu wa bara anayeumizwa na huu mgawanyo wenye kuonekana hauleti haki kwetu.

Chuki hizi chanzo chake ni Rais Samia mwenyewe kuwa mwenyeji wa kizimkazi. Lakini anafanya mengi sana ya maana huku huku bara na yanagusa uhai wetu kwa mapana yake.
ni ukosefu tu wa akili ya watu kama wewe kuamini kwamba bara hawaumizwi na muungano na kwamba kuuongelea ni chuki za kisiasa.

1. wazanzibari wanauongelea wapendavyo, sio chuki, ila mtanganyika akiongea mnasema chuki.
2. kama hatuumizwi, mbona mtanganyika hawezi kumiliki ardhi kule, na hawezi kuajiriwa serikali ya kule, wakati wao, 20% ya ajira zinatangazwa hapa bara (ambazo wangepata watanganyika) wanapata wao, na ardhi wanamiliki wapendavyo.

hapo tunaongelea kawilaya kenye watu hata 2m hawafiki, kudai asilimia 20 ya ajira ndani ya watu 60+m.
 
Kuna ujinga nwingi sana kwenye huu muungano.

Inahitajika akili kisodatu kuelewa kasoro lukuki za muungano

Kamatunaamua kuungana tuungane jumla.
Kwanza wananchi wapandezote ukiwaangalia nikama ndugutu, sijui nini kinazuiya kuwa na muungano wenye tija.

Sent from my Infinix X6511B using JamiiForums mobile app
Ujinga kama upi?
 
ni ukosefu tu wa akili ya watu kama wewe kuamini kwamba bara hawaumizwi na muungano na kwamba kuuongelea ni chuki za kisiasa.

1. wazanzibari wanauongelea wapendavyo, sio chuki, ila mtanganyika akiongea mnasema chuki.
2. kama hatuumizwi, mbona mtanganyika hawezi kumiliki ardhi kule, na hawezi kuajiriwa serikali ya kule, wakati wao, 20% ya ajira zinatangazwa hapa bara (ambazo wangepata watanganyika) wanapata wao, na ardhi wanamiliki wapendavyo.

hapo tunaongelea kawilaya kenye watu hata 2m hawafiki, kudai asilimia 20 ya ajira ndani ya watu 60+m.
Ukosefu wa akili ni kauli yenye kuweza kusemwa na yoyote anayejisikia.

Mwenye akili timamu hawezi kuacha ardhi kubwa huku bara akaenda kuhangaika na ardhi ya visiwa, vile ni visiwa sijui unaelewa maana ya visiwa!. Vyakula wanavitegemea kutoka huku bara kama Comoro hawana tofauti nao.

Inategemea pia umri wako upo vipi kwa sasa, wazanzibari tangu miaka hiyo ya 70 wanauongelea muungano, mimi na wewe tunapoteza kitu gani kwa wao kuuongelea?., kwanini mtu mwenye kujielewa ahangaike katika kutukuza mawazo ya kulipa visasi?.

Tupunguze hizi roho za chuki na visasi, sisi ni bora kuliko kuendekeza akili za aina hiyo.
 
Hata kama wana hoja ?
huenda ni za kitapeli ambazo zinachochewa na vibaka wa kisiasa.

ni utumwa na uzembe wa kiwango kibaya sana kurubuniwa fikra, uhuru na haki huria na kibaka wa siasa 🐒
 
huenda ni za kitapeli ambazo zinachochewa na vibaka wa kisiasa.

ni utumwa na uzembe wa kiwango kibaya sana kurubuniwa fikra, uhuru na haki huria na kibaka wa siasa 🐒
Kwahiyo huoni kwa kusema hivyo utakuwa unaingilia uhuru wa mtu wa kutoa hoja au kwa kusema ukichosema inasikitisha hii kuwa hoja ya msingi, kama unathamini uhuru wa hoja kwanini hoja kwani isijadiliwe ? Kwanini mtu ana hoja ya msingi ionekane katumwa na sio wazo lake ? Kwanini wewe unataka utakachokisema wewe ndio iwe last say ?...kwanini hoja isipingwe na hoja na kwanini mtu kaleta hoja badala ya kujadili hoja unamu attack yeye personally ?
 
Kwahiyo huoni kwa kusema hivyo utakuwa unaingilia uhuru wa mtu wa kutoa hoja au kwa kusema ukichosema inasikitisha hii kuwa hoja ya msingi, kama unathamini uhuru wa hoja kwanini hoja kwani isijadiliwe ? Kwanini mtu ana hoja ya msingi ionekane katumwa na sio wazo lake ? Kwanini wewe unataka utakachokisema wewe ndio iwe last say ?...kwanini hoja isipingwe na hoja na kwanini mtu kaleta hoja badala ya kujadili hoja unamu attack yeye personally ?
utopian views and complains are useless and completely nonsense gentleman 🐒
 
utopian views and complains are useless and completely nonsense gentleman 🐒
I am not complaining, I don't like complaining, but I am telling you to stick with what has been said instead of attacking people personally, attacking people personally is not going to give us answers is it ? It not nonsense before you clarify it's nonsense...watu wanataka majibu hawataki sarakasi, ccm inawafundisha kuruka sarakasi kwenye maswali magumu badala ya kuyajibu and that is nonsense. Jibu Swali mkuu
 
I am not complaining, I don't like complaining, but I am telling you to stick with what has been said instead of attacking people personally, attacking people personally is not going to give us answers is it ? It not nonsense before you clarify it's nonsense...watu wanataka majibu hawataki sarakasi, ccm inawafundisha kuruka sarakasi kwenye maswali magumu badala ya kuyajibu and that is nonsense. Jibu Swali mkuu
it's wastage of time dealing with utopian thinking of political bandits gentleman 🐒
 
it's wastage of time dealing with utopian thinking of political bandits gentleman 🐒
Yan kwenye magroup yenu ya WhatsApp ndio mawazo yenu haya, aisee this country has a very long way to go, au wewe WASIRA MASTA ? MANAKE AISEE, SIELEWI 😂😂😂
 
Yan kwenye magroup yenu ya WhatsApp ndio mawazo yenu haya, aisee this country has a very long way to go, au wewe WASIRA MASTA ? MANAKE AISEE, SIELEWI 😂😂😂
usikate tamaa gentleman,
but utajichosha bure tu with nonsense issues, kwasabb hayupo wa kupoteza muda kuskiza vitu visivyokuepo...

Yes,
Infact as a country,
we have long, but very bright way to go in the process of transforming this country into prosperous regardless of political bandits setbacks, but together we can 🐒
 
Gentleman,
wananchi wa Tanzania hawana haja ya kubabaika na utapeli wa kisiasa, wala muda wa kutumia kuskiza vibaka wa kisiasa 🐒
Jibu hoja,acha kupaniki.
Mali za Tanganyika haziwezi kuibwa na kutumika kujenga Zenji.
Tanganyika lazima itetewe na kupiganiwa,sio shamba la bibi
 
Naamini hapa ndipo mahali pa kuwa wazi na kueleza kilichopo mtaani ili viongozi wetu kama sio kujirekebisha basi watafute solution ya kudumu kwenye mambo mbalimbali.

1. Raia wengi, wanaamini mtu mwenye courage pekee kuongelea suala la muungano, ni TL.

2. eneo dogo kama zanzibar, lenye watu hada 2m hawafiki, kuwa sawa na eneo kubwa lenye watu zaidi ya 55m, watu hawaridhiki.

3. suala la ardhi, zanzibar wanamiliki bara wapendavyo, ila bara marufuku kumiliki zanzibar?

4. kazi, asilimia 20% kazi bara wanapata wazanzibar, ila marufuku mtanganyika kuajiriwa zenji.

5. raia wa zanzibar waliowengi hasa wasio na makazi bara, hawawapendi watanganyika wala muungano. hata wale waliofaidika na tanganyika na kuishi bara, chuki wanazo nyingi sana na ipo wazi.

6. viongozi wa kuteuliwa kama mawaziri, wakurugenzi n.k, hatuwezi kuwa sawa, not fair.

7. Rais anatoka zanzibar, anaweza kuwa Rais zanzibar na akawa rais bara, ruksa, nasemani rais bar akwa sababu hata akiitwa rais wa muungano akienda zanzibar anakuwa chini ya rais wa zanzibar.

8. wengi pamoja na kwamba wapo tayari hata uvunjike, lakini kwa sababu tumeshaishi pamoja miaka mingi, wanasema hata usipovunjika itakuwa safi, ila kipengele cha rais wa zanzibar kiondoke, issue ya umiliki wa ardhi iondoke, na issue za ajira ziwe fair mtu aajiriwe pande zote mbili.

9. haiji kichwani, wewe unasema unapenda muungano, ila hautaki tuungane. kama tungemiliki ardhi kwa pamoja, wabara wata assimilate zanzibar na wazanzibari wataassimilate bara, na hapatakuwa na Tanganyika wala Zanzibar, itakuwapo TANZANIA. sasa kama wewe haupendi tuassimilate to each other, muungano upo wapi sasa na ni wa nini? si utakuwa muungano wa upande mmoja? yaani leo hii zanziba anaamini anapenda muungano ila akiruhusu ardhi ya zanzibar imilikiwe watanganyika wataimiliki yote na wazanzibar watakosa au zanzibar haitakuwepo tena, sasa kama unataka iwepo, unataka muungano upi na kivipi?

TL akija na gia hii kwenye kampeni, ndipo ajajua nini hasa kilichopo kwenye mioyo ya watanganyika, hata kitendo cha kutawaliwa na mzanzibari ambaye hatujui maslahi yake yapo bara au zenji, na hatujui pesa zetu kama zinapelekwa kujenga zenji au la. ni hayo tu. TL nishakupa password ya kuteka mioyo ya wabara tayari, kuichukua au kuiacha ni juu yako.
Hayo yote hata wakuu wa nchi waliopita wanafahamu hili jambo.
Huyu wa sasa ni wazi kabisa anatumia mamlaka yake kunufaisha na kunufaisha Zanzibar na Watu wake.
Natamani Sana mabadiliko hata kuyashiriki Ila kwa namna gani??? Upinzani ndo hawaelewei.
Wananchi tunataka Imani ya kweli katika utendaji na sio hadithi.
 
Back
Top Bottom