JUA ni Kali Sana
JF-Expert Member
- Feb 7, 2025
- 1,202
- 1,543
Hakika, ni kama vile Nyerere alijipendekeza flani hivi na inaonyesha yeye ndiyo alilazimisha huu Muunganoinaonyesha nyerere ndio alikuwa anajibembeleza, sawa na unatafuta mwanamke halafu unakubali kuandika viwanja na nyumba zote majina yake alimradi akukubali wakati yeye hana chochote anachooffer.
kwahiyo wamekuja kuziba nafasi ya watoto wa tanganyika masikini kupata mkopo.ila huu muungano daaah yani wanafunzi wa vyuo vikuu toka zanzibar wanaruhusiwa kuomba mkopo heslb na kwao pia zanzibar
Hilo deni la umeme walisamehewa kipindi hiki cha utawala wa Mama Abdul, yaani wao wanasamehewa sisi huku tunapandishiwa bei kuwalipia wao, huu muungano ni wa kishetani kabisa.na kuna issue nyingi tu za msingi, kipindi cha jiwe aliibua issue ya umeme wakawa wanadaiwa kama bilioni 200 kama nakumbuka, hawajawahi kulipa au wamelipa hatujui kwa sababu na rais naye ni wa kwao. na likija suala lolote la changamoto za muungano, huwa zinaangaliwa zaidi zile za wazanzibar, sasa ivi wametulia hata hatujui kama mama yao kawapendelea kimyakimya au vipi, inakuwaje miaka yote walikuwa wanaongea sasaivi wapo kimya? hivi wanasiasa huwa wanaakili kutafuta issue sensitive zinazoweza kuwadraw maccm waje kwenye meza ya mazungumzo na kutatua matatizo au?
ni muungano uliojaa hofu kwenye mioyo ya watanganyika, mzanzibari anaweza kuuongelea apendavyo ndio maana hata bungeni alitokea mmoja kuwa twende kwao kwa passport, yaani kawilaya kama kale kanatupelekesha hadi kanatuchagulia rais atutawale na bado kanasema twende kwao na passport. lakini uhakika, akitokea mtu akaadress hii hissue, 99% ya watanganyika hawataki hata kusikia na anaweza kupata hata kura kwa sababu hiyo tu. sasa opportunity ipo afu chadema wanazubaa kwa nini?Hilo deni la umeme walisamehewa kipindi hiki cha utawala wa Mama Abdul, yaani wao wanasamehewa sisi huku tunapandishiwa bei kuwalipia wao, huu muungano ni wa kishetani kabisa.
rais wa zanzibar anaweza kuja kugombea na bara akatawala. ila wa bara hawezi kugombea kule. ni kaeneo kadogo sana, likija suala la ajira wao wanataka wapate 20% ila wabara marufuku kuajiriwa kule, wanasema wasije kupora ajira za wazanzibari. ni nini hiki?Upo sahihi ndgu mwandishi..
Point Namba 7. Hapo bora kungekua na rais wa tanganyika pia make zanzibar wanae. Na awepo rais wa tanzania
Kwani alikuwa ni malaika?Nani alifosi muungano btn zbar and Tanganyika? Kwaio Nyerere alikua mjinga?
Na Zanzibar ni nchi Gani Tena?Ndio maana machadomo mnapuuzwa,Tanganyika ndio Nchi gani tena? 😁😁
Naomba nijibu alikua mjinga au sio mjinga?Kwani alikuwa ni malaika?
Shortly alikua mjinga?hata sijui nyerere alikula nini siku hiyo, kama alikuwa hajielewi vile?
ilitakiwa iwe wilaya kabisa hat amkoa haitoshi. halafu wanapata 20% ajira, wanapata mkopo wa elimu huku na kule, wakati watoto wa kitanganyika wanapata huku tu na kule kwao hawatakiwi kuonekana, wanamiliki ardhi wapendavyo wakati wewe huwezi kwenda kumiliki kule, nyerere angekuwepo leo alitakiwa kupigwa hata vibao viwili hakika.Na Zanzibar ni nchi Gani Tena?
nakuhakikishia, TL akisimama leo akasema muungano urekebishwe, kura zote zake kwa sababu hili jambo linawakera sana watanganyika, hata wanaojifanya wanapenda muungano wa aina hii wanasema tu kinafiki ila ukija kwenye kura wote wanataka muungano reasonable, sio kawilaya kanakuja kutuendesha nchi ya watu 50m+Hoja muhimu sana hizi
Tuwasikilize wasagaji na mashoga tu?Gentleman,
wananchi wa Tanzania hawana haja ya kubabaika na utapeli wa kisiasa, wala muda wa kutumia kuskiza vibaka wa kisiasa 🐒
Kwanza lawama zote angepewa hayati JPM kwa kumteua Samia kuwa makamu wake na akamteua tena 2020 akiwa makamu.Naamini hapa ndipo mahali pa kuwa wazi na kueleza kilichopo mtaani ili viongozi wetu kama sio kujirekebisha basi watafute solution ya kudumu kwenye mambo mbalimbali.
1. Raia wengi, wanaamini mtu mwenye courage pekee kuongelea suala la muungano, ni TL.
2. eneo dogo kama zanzibar, lenye watu hada 2m hawafiki, kuwa sawa na eneo kubwa lenye watu zaidi ya 55m, watu hawaridhiki.
3. suala la ardhi, zanzibar wanamiliki bara wapendavyo, ila bara marufuku kumiliki zanzibar?
4. kazi, asilimia 20% kazi bara wanapata wazanzibar, ila marufuku mtanganyika kuajiriwa zenji.
5. raia wa zanzibar waliowengi hasa wasio na makazi bara, hawawapendi watanganyika wala muungano. hata wale waliofaidika na tanganyika na kuishi bara, chuki wanazo nyingi sana na ipo wazi.
6. viongozi wa kuteuliwa kama mawaziri, wakurugenzi n.k, hatuwezi kuwa sawa, not fair.
7. Rais anatoka zanzibar, anaweza kuwa Rais zanzibar na akawa rais bara, ruksa, nasemani rais bar akwa sababu hata akiitwa rais wa muungano akienda zanzibar anakuwa chini ya rais wa zanzibar.
8. wengi pamoja na kwamba wapo tayari hata uvunjike, lakini kwa sababu tumeshaishi pamoja miaka mingi, wanasema hata usipovunjika itakuwa safi, ila kipengele cha rais wa zanzibar kiondoke, issue ya umiliki wa ardhi iondoke, na issue za ajira ziwe fair mtu aajiriwe pande zote mbili.
9. haiji kichwani, wewe unasema unapenda muungano, ila hautaki tuungane. kama tungemiliki ardhi kwa pamoja, wabara wata assimilate zanzibar na wazanzibari wataassimilate bara, na hapatakuwa na Tanganyika wala Zanzibar, itakuwapo TANZANIA. sasa kama wewe haupendi tuassimilate to each other, muungano upo wapi sasa na ni wa nini? si utakuwa muungano wa upande mmoja? yaani leo hii zanziba anaamini anapenda muungano ila akiruhusu ardhi ya zanzibar imilikiwe watanganyika wataimiliki yote na wazanzibar watakosa au zanzibar haitakuwepo tena, sasa kama unataka iwepo, unataka muungano upi na kivipi?
TL akija na gia hii kwenye kampeni, ndipo ajajua nini hasa kilichopo kwenye mioyo ya watanganyika, hata kitendo cha kutawaliwa na mzanzibari ambaye hatujui maslahi yake yapo bara au zenji, na hatujui pesa zetu kama zinapelekwa kujenga zenji au la. ni hayo tu. TL nishakupa password ya kuteka mioyo ya wabara tayari, kuichukua au kuiacha ni juu yako.
Hata kama wana hoja ?Gentleman,
wananchi wa Tanzania hawana haja ya kubabaika na utapeli wa kisiasa, wala muda wa kutumia kuskiza vibaka wa kisiasa 🐒
Ningekuwa na uwezo hivi visiwa vya Unguja na Pemba ningevisogezea mbali kabisa baharini - Julius Nyerere.tutajie hata moja tu. kama wewe mtu wa bara umepigwa marufuku kumiliki ardhi zanzibar, ila mnzanzibari ana ruhusa kumiliki hata eka milioni hapa bara,
kawilaya kama kale kanataka asilimia 20% ya ajira zinazotangazwa wapate wao, ila wewe marufuku kupata ajira kule kwao.
mawaziri na viongozi hadi marais toka zanzibar wanatawala bara, ila wewe marufuku kuteuliwa kwenda kutawala kule,
wao wana kitambulisho chao na kile cha NIDA wewe una NIDA peke yake.
ndio nauliza, kwani tunachojibembeleza sana ambacho hatuwezi kuishi bila wao ni nini? faida yao ipo wapi.
Ni ajenda muhimu, lakini hawezi kuibeba kama ulivyo iweka wewe hapa.TL akija na gia hii kwenye kampeni, ndipo ajajua nini hasa kilichopo kwenye mioyo ya watanganyika, hata kitendo cha kutawaliwa na mzanzibari ambaye hatujui maslahi yake yapo bara au zenji, na hatujui pesa zetu kama zinapelekwa kujenga zenji au la. ni hayo tu. TL nishakupa password ya kuteka mioyo ya wabara tayari, kuichukua au kuiacha ni juu yako.