kirengased
JF-Expert Member
- Jan 10, 2016
- 6,348
- 7,058
Zingatia nenolangu nililosema "mataahira ni mengi".Umeambiwa mchele utakaoletwa utawekwa virutubisho. Wee peleka kijana wako apige ubwabwa kugeuzwa yeye kua ubwabwa. Eti wakienda nje wanapiga ubwabwa umeambiwa huo umewekwa virutubisho hivi wanataka kuwekea watoto wetu?
Watafiti wanasema Afrika IQ zawengi ni below 70 which is considered as mental retarded!!!
Pia tafiti zinadai Kila kwenye watu wanne kunakichaa mmoja...