Suala la Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) na Vipengele kadhaa vya Kisheria

I don’t see where the confusion is [with you].

I’m not arguing with you about that.

Chige seems to be still confused, though.
I know, we see eye to eye on this. I was asking the confusion between you and whoever is failing to master the fundaments of the English language and the rudimentary logic of kindergarten comprehension reading.
 
Aisee umeandika makorokocho kibao mpaka yanaboa kusoma, yaani nakereka sana mtu anapopotosha vitu kwa makusudi au sio kwa makusudi lakini anijifanya anajua, kumbe hajui.

Naomba kujua taaluma yako Mkuu, ili nianzie hapo nijue unafanya upotoshaji wa makusudi au sio wa makusudi.
 
Kama hapa hajaelewa hataelewa tena hata utumie maneno gani, safi hongera kwa ufafanuzi mzuri na rahisi.
 
Hapo pia ni sawa tu na kule. Hapo kuna maneno mawili "eligible" na "election" Eligibility ya Rais inapatikana ibara ya 39, kwahiyo kama atakuwa na sifa neno Shall litatumika kwamba ni lazima uchaguzi ufanyike. Kama hana sifa hatoendelea na kugombea.

The same pia kwa CAG, kuna maneno mawili "eligible" na "renewal". Eligibility ya CAG inapatikana ibara ya 144(3) kama sijakosea. Asiwe na zaidi ya miaka 60 ambapo Bunge limeongeza na kuwa 65, vipindi mwisho ni viwili vya miaka mitano mitano. Kama kuna hoja ya underperformance, katiba haijampa uhuru mteuzi kupima kwa jinsi atakavyoona inafaa. Anatakiwa kuunda tume ili kupitia ktk findings za tume hiyo ndipo afanye maamuzi. Kwahiyo eligibility ya CAG hivi ndivyo inavyopatikana.

Kwahiyo kama CAG yupo chini ya miaka 65, sio mgonjwa, amehudumu kipindi cha kwanza cha miaka mitano, hajaundiwa tume ya kumtuhumu kutokana na underperformance au misbehaviour au kuvunja maadili, CAG atakuwa "ELIGIBLE" kupewa kipindi cha pili cha miaka mitano mingine, hapo ndipo neno "Shall" linatumika. Kwamba ni lazima apewe mkataba mwingine.
 
Hapa uongeze sauti tu maana umeeleweka vizuri kabisa.

Hata babu na bibi hapa wameelewa.
 
We, the people of the United republic of stupidity know nothing more than day to day bread fetch duties, those constitution and allied issues are of no importance despite their effects on our daily life
 
Hakuna ibara kwenye Katiba inamlazimisha Rais kuunda Tume ibara ya 144(3) ni discretion yake kuunda ama la ndiyo maana inasema If the president considers ...... hapo hamlazimishi kuunda Tume mkuu!
 
Hakuna ibara kwenye Katiba inamlazimisha Rais kuunda Tume ibara ya 144(3) ni discretion yake kuunda ama la ndiyo maana inasema If the president considers ...... hapo hamlazimishi kuunda Tume mkuu!
Hebu nipe tafsiri ya hiki kipengele na hiyo Article 4 inayoongelewa hapo kama unaifahamu.

"(2) The Controller and Auditor-General may be removed from office only
for inability to perform the functions of his office (either due to illness or to any
other reason) or for misbehaviour, or for violating the provisions of the law
concerning the ethics of public leaders and shall not be so removed except in
accordance with the provisions of subarticle (4) of this Article."
 
Mkataba uombwa. Na ukiomba kuna possibility ya kukubaliwa au kukataliwa. Sijui hii cag ikoje? Kama alivyosema magufuli nadhani katiba haiwezi kumpa madaraka ya kuteua tu ikamnyima uwezo wa kutengua hata kama mteuliwa hakidhi malengo ya aliyemteua. Mara zote mwenye kutoa mkataba alazimishwi, anakuwa na haki ya kutoa au kukatalia mkataba wake kulingana na kiwango cha ufanyaji kazi anaoutaka. Hivyo kiuhalisia magufuli kwa hili yuko sahihi. Kama kahamua hivyo kwa chuki zake za kibinadamu kwa cag anayeondoka kama hotuba yake inavyoakisi, hiyo atajuana yeye na Mungu wake maana huko atakwenda kuhojiwa akiwa pake yake. Hao akina ndugai wanaoonekana kama vile wamemshawishi kufanya uhamuzi hawatakuwepo naye.
 
Chige mchokozi sana! Amefanya nimecheka kwa sauti alivyomjibu Nyani Ngabu!

ila kamwambia ukweli!

Ukweli gani?

Nilichosema mimi, kwamba, ‘shall’ as an auxiliary [modal] verb, kimsingi ina maana ile ile, iwe imetumika kwenye andiko la kisheria au kwenye riwaya.

Inatumika kuelezea ulazima wa kitu au jambo fulani.

Huyo Chige kaweka ki reference chake ambacho kinasema vilevile nisemavyo mimi.

Nami nimeweka rejea yangu, kisemwacho ni kilekile ambacho nimekisema.

Sasa hebu nieleze, nilipokosea ni wapi?

Unless labda uwe unafurahia tu mtu anapotoka nje ya mstari na kuanza ku get personal, kwa prejudices ulizonazo tayari.

Haya, eleza nilipokosea.
 

Zaidi soma:

[/QUOTE]
Wewe unayumbisha ukwerli; sheria inasema hivi. CAG atatumikia kwa kipindi cha miaka mitano; baada ya miaka hiyo mitano atachaguliwa CAG mwingine. Huyo CAG mwingine anakuwa ni mtu mwingine tofauti kabisa au anaweza kuwa ni huyo huyo CAG aliyekuwapo, lakini hataruhusiwa kutumikia kwa zaidi ya Miaka 10. Kifungu cha umri kinakuja tu kuwa iwapo atakuwa hajamaliza kipindi chake lakini akafikisha umri huo, basi atatakiwa kuachia.

Assad hakuachishwa kazi bali hakuteuliwa kipindi cha pili tu. Niliwahi kutoa mfano wa Rais Abdul Wakil wa Zanzibar ambaye naye alikuwa anaruhusiwa kuongoza kwa vipindi viwili lakini akaamua kuongoza kwa kipindi kimoja tu. Ni vivyo hivyo, Assad kaongoza kwa kipindi kimoja tu. Hata Rais Magufuli katiba inamruhusu kuongoza kwa vipindi viwili, lakini chama chake kinaweza kisimteue kugombea tena, na huwezi huwezi kusema katiba ya nchi imekiukwa, ni kwamba hakupewa kipindi cha pili. Vile vile wananchi wasipomchagua katika uchaguzi ujao, huwezi kusema Katiba imekiukwa.

Kuna watu wanasoma katiba kwa kutumia miwani ya jua.
 
The Constitution and The Public Audit Act, Pitia Ibara na vipengele husika kwa umakini utaona .
Weka vifungu tuvijadili hapa.

Mimi nimeweka vifungu vya katiba vinavyoeleza namna CAG anavyoweza kuondolewa, weka vyako.
 
Mjadala mzito sana unaoendelea kwenye mitandao ya kijamii hapa nchini hivi sasa ni iwapo Rais Magufuli alikuwa sahihi kikatiba kumwachisha kazi CAG, Profesa Assad, kabla ya kufikisha umri wa kustaafu kwa lazima atakapofika umri wa miaka 60

Tutambue pia kuwa Profesa Assad, hivi sasa amefikisha umri wa miaka 58

Nimeipitia Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, ya mwaka 1977, ibara ya 144, na sijaona mahali popote palipoelezea kuwa CAG, anaweza kuachishwa kazi mara tu amalizapo kipindi chake cha kwanza cha miaka 5, hoja inayopigiwa debe sana na hao watetezi wa serikali, waliomwachisha kazi, Profesa Assad

Hata hivyo nije kwenye kipengele cha pili, ambacho kwangu Mimi ndicho nilichokiiona cha hatari zaidi, pale nilipomsikia Rais Magufuli akimsisitizia, huyo CAG mpya, Charles Kicheere, kuwa aende akachape kazi na asifikiri kuwa hiyo nafasi yake ni mhimili mwingine na akaendelea kusisitiza kuwa awe mtii kwa mihimili mingine ya Bunge na Mahakama na asithubutu kubishana nayo na akaendelea kusisitiza kuwa yeye nafasi yake ni ya utumishi wa kukagua hesabu za serikali pekee na yeye Rais ndiye Mkuu wa mhimili huo wa serikali na akaendelea kumpiga mkwara mzito kuwa kwenye mamlaka ya kidunia, haiwezekani Rais apewe mamlaka ya kuteua bila pia kupewa mamlaka ya kutengua!

Akaendelea kumpiga mkwara mzito huyo CAG mpya kuwa anaweza akadumu kwenye nafasi yake kwa mwaka mmoja pekee, kwa kuwa yeye Rais ndiye mwenye uwezo wa kumtumbua!

Tunajua kuwa zipo nafasi nyeti ambazo zimepewa kinga Kikatiba, ikiwemo hiyo ya CAG na majaji wa Mahakama kuu wa kutoweza kutumbuliwa "kienyeji" na Rais

Tunajua kuwa Rais kabla hajaanza kutumikia nafasi hiyo ya Urais, anaapa kuitii na kuilinda Katiba ya nchi yetu.

Hivi kwa mwenendo anaoendelea nao Rais wetu wa kuisigina Katiba ya nchi yetu waziwazi, ndipo ninapoyakumbuka maneno ya usia na busara sana ya Baba wa Taifa letu, Mwalimu Nyerere, aliposema kuwa tunamchagua Rais wetu na anaapa kuitii na kuilinda Katiba ya nchi yetu, kwa hiyo inapotokea Rais wetu anaamua kuivunja Katiba hiyo, Rais wa aina hiyo HATUFAI

Ni wajibu wa watanzania wote tukemee tabia hii ya Rais wetu, kwa nguvu zetu zote, kwa kuisigina waziwazi Katiba ya nchi yetu na tusipofanya hivyo hivi sasa, huko mbele kilio kitatuumbua!


Karibuni wadau tujadili kwa staha mada hiyo muhimu sana kwa mustakabali wa Taifa letu
 
Uwezo wa kumtumbua kweli anao, ila sio anaamka tu anajisikia anatumbua, kuna process lazima afate imeandikwa kabisa, ataunde tume na watapata proof kua ni kweli CAG ana makosa then anatumbuliwa kisheria.
 
Uwezo wa kumtumbua kweli anao, ila sio anaamka tu anajisikia anatumbua, kuna process lazima afate imeandikwa kabisa, ataunde tume na watapata proof kua ni kweli CAG ana makosa then anatumbuliwa kisheria.
Sasa ni kwanini hafuati hiyo process iliyoandikwa kisheria iwapo ana nia ya kumtumbua??

Inabidi tu "a-reverse" uamuzi wake huo na Profesa Assad aendelee na kazi yake hadi afikishe umri wa kustaafu
 
Katiba unayoongelea ni katiba ipi?
Kukanyaga katiba kama unaonyesha ni kutafuata katiba, Je nani anafuata katiba hapa Tanzania?

Wakati tunajadili rasmu ya warioba mlijadili kichama na kupinga hoja kwa kufunika kombe, Leo unakuja na story za Kukanyaga katiba

Nyie kama wana ccm mlikanyaga rasmu ya maoni ya wananchi, Tulikaa kimya

Sasa ndani ya chama mwisho wenu kupiga kura ilikuwa 2015,Kwa sasa hata ukishinda kura za maoni mwenyekiti anaweza kukata jina ndani ya ccm

Mwaka 2020 ndio utajua picha ni ya kichina au kisukuma
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…